TAMISEMI ongezeni muda wa kutuma maombi ya ualimu na afya

Samahani wana jf Kuna mtu ashawah pata kazi utumishi na vyeti vyake havijapigwa muhuri ya hakimu
Ondoa hofu wana kibao tu wamepata check number, we tuma maombi muda unaelekea kuisha.
 
Ondoa hofu wana kibao tu wamepata check number, we tuma maombi muda unaelekea kuisha.
Huyu ndugu yetu anamashaka na utumishi nazani kule ajira portal sio tamisemi kama sijakosea maana kule wana wengi wanadai vyeti ni lazima viwe verfied na mwanasheria
 
Muda n mfup na mbaya watoto wa maskin taarfa zinawafkia late na wengine unakuta vyet bado vko chuo na nauli Gafla hana[emoji4][emoji19]
 
Ni kweli mtoa hoja una a valid concern, kwa bahati mbaya ni kua idadi ya siku za Tangazo kua wazi zimepangwa kwa kuzingatia vigezo.

Kwa upande mwingine deadline haiwezi kubadilishwa kwa kuangalia “subjective factors” mfano mtu fulani hajachukua transcript and all that, ila kwa vigezo ambavyo viko fair kwa waombaji wote.

Najua kuna watakaoumia ila pia wengi wata meet timeline iliyowekwa.

The earlier, the better!
 
MCT wanakuta ufuate leseni mwenyewe na sio kumtumia mtu ila pia Wana uwezo wa kkukutumia kwa njia ya EMS au hata kwa DMO ama RMO tatizo ni kwamba haitofika kwa wakat
 
Mkuu ondoa shaka wataongeza mpaka ijumaa ila endelea kufuatilia documents zako.
 
Acheni uzembe Cheti unatakiwa uwe nacho unapokuwepo ili ikitokea tu ajira omba


Siioni haja ya kuongeza muda kwa kisingizio Cha Muda
 
Uongo nakupinga asilimia mia
Mi nmemaliza 2021 mwaka jana 2022 nmechukua transcript yangu hapo Dodoma tena ilitumwa kutokea daresalam

Uongo hautakusaidia mzee
 
MCT wanakuta ufuate leseni mwenyewe na sio kumtumia mtu ila pia Wana uwezo wa kkukutumia kwa njia ya EMS au hata kwa DMO ama RMO tatizo ni kwamba haitofika kwa wakat
Mkuu kwa hapo usiwasingizie MCT,watu kibao huyo Dodoma Messengers kawachukulia,mskanie barua ya maombi ya cheti na leseni,mpatie na kitambulisho cha mpiga kura.Kazi imeisha.
 
Cheti pamoja na leseni wanachukuliwa,barua ya maombi na kitambulisho chà muombaji pamoja na kitambulisho chà aliyetumwa,ndiyo vinavyohitajika.Usiwavunje moyo.
 
Utaomba wakati ujao mkuu..
 
Mkuu kwa hapo usiwasingizie MCT,watu kibao huyo Dodoma Messengers kawachukulia,mskanie barua ya maombi ya cheti na leseni,mpatie na kitambulisho cha mpiga kura.Kazi imeisha.
Sawa chief, hivi ofisini za MCT ziko maeneo gan ? Na mtu anatakiwa kushuka wapi ukitokea Dar?
 
Sawa chief, hivi ofisini za MCT ziko maeneo gan ? Na mtu anatakiwa kushuka wapi ukitokea Dar?
Jamaa unaweza ukashukia stendi ya Shabiby au Kimbinyiko au maeneo yaliyopo karibu na hizo stendi,ukachukua boda kwa 1000 akakukimbiza Jakaya Kikwete,utahudumiwa,ndipo walipoweka kambi,ila kikawaida huwa pale Kambarage Tower,bilashaka wameona waende Jakaya Kikwete Convention Center kwasababu ya jam.
 
Mdau ambaye una jambo la kufuatilia,liwe la kiofisi au siyo la kiofisi,na halikulazimu wewe kuwepo Dodoma au upo Dodoma ila umebanwa na kazi nyingi,wasiliana na 'DODOMA MESSENGERS' kwa 0765920855,usaidiwe kulifuatilia na kulitatua ukiwa hukohuko uliko,kwa gharama nafuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…