Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
ππ simiyu Kuna Nini aiseeunatupiwa kokote kule, simiyu aende nani kama wote mmeomba dodoma
Hivi oral interview szinafanyika kwa lugha gani?Umri bado mdogo hata kama ushamaliza chuo muda mrefu, hauwezi kufanana na mwenye umri mkubwa katika kipindi cha Utumishi wa Umma.
Huyo mwenye umri mkubwa atawahi kustaafu kabla yako, hivyo anatakaiwa kuingia kwenye Utumishi wa Umma kabla ya wewe.
Kitu pekee kitakachokuokoa ni kufaulu Oral kwa Alama za Juu. Wapo waliopita kwa namna hii wengi tu
KiingerezaHivi oral interview szinafanyika kwa lugha gani?
Mungu atende muujiza zisiwepo kabisaKiingereza
Lazima mkandwe aisee, lazima muende Dodoma.Mungu atende muujiza zisiwepo kabisa
Oya simiyu ndio mkoa wenye waganga wa kienyeji wengi tanzaniaππ
ππ simiyu Kuna Nini aisee
Tukikandwa ndo rushwa zitatembea Zaid ya mwanzoLazima mkandwe aisee, lazima muende Dodoma.
Kwahy hizo rushwa zitaanza kwenu waalimu na watu wa afya ila wengine hapakuwa na rushwa?Tukikandwa ndo rushwa zitatembea Zaid ya mwanzo
Zilikuwepo ila sasa ndo itazidi balaa maana sidhan kama wabunge na waziri wataacha kuwaweka watoto wao kwanzaKwahy hizo rushwa zitaanza kwenu waalimu na watu wa afya ila wengine hapakuwa na rushwa?
Zilikuwepo ila kupata ulikuwa bila jasho la kufanya interview kwahiyo hapa watu wa connection ndo wataongeza umakini zaidKwahy hizo rushwa zitaanza kwenu waalimu na watu wa afya ila wengine hapakuwa na rushwa?
Acha visingizio ww, nenda kafanye usailiZilikuwepo ila sasa ndo itazidi balaa maana sidhan kama wabunge na waziri wataacha kuwaweka watoto wao kwanza
VyoteHivi kutoboa usaili wa ajira portal ni
Kuwa smart Sana (kufaulu mitihani)
Au BAHATI?
Vyote
Kingereza ndio ht kama utafundisha Kiswahili, waalimu anzeni kurudi shule kusoma mapema tuu.So walimu tunabidi tuanze kupiga msuli mdogo -mdogo ?
Je oral lugha inayotumika ni kiingereza?
HahahahaaaMungu atende muujiza zisiwepo kabisa
Muda utaongea..hakuna interviewAcha visingizio ww, nenda kafanye usaili
Interview zenyewe ukute ni mwakani hukoKingereza ndio ht kama utafundisha Kiswahili, waalimu anzeni kurudi shule kusoma mapema tuu.
Muda utaongea..hakuna interview
Waalimu na watu wa afya wasione hii, hasa Utawala2025 π na wengineo wasiotaka Interview π