TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Hivi oral interview szinafanyika kwa lugha gani?
 
😁😁

😁😁 simiyu Kuna Nini aisee
Oya simiyu ndio mkoa wenye waganga wa kienyeji wengi tanzania

Mkuu wa mkoa kenani kihongosi siku alifanya mkutano na waganga wa jadi

Guess what alijaza ukumbi na wengine wakakaa nje

Simiyu sio poaaa
 
Kwahy hizo rushwa zitaanza kwenu waalimu na watu wa afya ila wengine hapakuwa na rushwa?
Zilikuwepo ila kupata ulikuwa bila jasho la kufanya interview kwahiyo hapa watu wa connection ndo wataongeza umakini zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…