Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ndio mana nkakuuliza ww n mgeni wa ajira Portal?I mean watu 11,000 ndio nafasi zote za kazi naona kama ni kundi kubwa sana kuwafanyia interview kumbuka wanaohitajika ni walimu 11,000
let say watakaoapply ni 22,000
je hawa watu wataweza kuwafanyia interview?
Mawazo ya usiku haya😁though lolote litokee watu wakakandwe tu kubabakeeee
Hao 11k n watu wachache sana mbele ya ajira Portal