Mimi nisome kwani nimeomba hizo nafasi?Utumishi Wana uzoefu kuna moja ya TRA waliitwa watu elfu 12+ ukafanyikia uwanja wataifa, mikando haikwepeki mkuu, wee soma sana hapo tena deeply haswaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nisome kwani nimeomba hizo nafasi?Utumishi Wana uzoefu kuna moja ya TRA waliitwa watu elfu 12+ ukafanyikia uwanja wataifa, mikando haikwepeki mkuu, wee soma sana hapo tena deeply haswaa
Ndugu mwalimu soma sana acha masihala,hakuna sandakalawe psrs,na usizuge kama hujaomba,wakati nafasi umeziomba maana ni muda sana umeanza kupotosha watu kwamba interview hakunaMimi nisome kwani nimeomba hizo nafasii
Umepiga kwenye mshonoNdugu mwalimu soma sana acha masihala,hakuna sandakalawe psrs,na usizuge kama hujaomba,wakati nafasi umeziomba maana ni muda sana umeanza kupotosha watu kwamba interview hakuna
Interview ipo mm nime comfirm lazima mkandwe ndo maana mchakato umekuja psrs ili tupate walimu wenye content,sio zoa zoa ile ya TAMISEMI,ilikuwa inabeba makapi inaacha walimu wenye content,wakisingizia bahati ,kumbe kujuana kulitangulizwa😂😂
Sasa hvi hayo malalamiko ya upendeleo hayatakuwepo maana ukikandwa unaona alama zako😀 mfano una 20 mwenzako ana 78 lazima ufunge mdomo
psrs kama umefeli ata kama umemaliza zamani hakupi guarantee,unaachwa anayepata ni yule aliye perform vzr usaili
Wengi familia duni sasa huwa najiuliza hizi connection huwa wanazitoa wapi na education wengi ni mbururaEducation wengi walikuwa wanaenda sababu ya uhakika wa ajira japo mshahara duni
Education ni kozi ya wanyonge (Angalia kuanzia vyuoni kwao mpaka maisha ya walimu wengi wametokea familia duni)
Kama education ambapo kuna maslahi duni Na usahili si bora mtu asome Tax management sasa ili akipata kapata
Kwani Utumishi huwa anapata wapi fungu la usaili hadi Tamisemi akose na wote ni taasisi za Serikali?Kanuni sio shida shida anayehitaji watu hana Fungu la usaili.
Waalimu wapya wasimkamate mwanao lazima uyaite maji mma mana unawachoma sana 😂Ndugu mwalimu soma sana acha masihala,hakuna sandakalawe psrs,na usizuge kama hujaomba,wakati nafasi umeziomba maana ni muda sana umeanza kupotosha watu kwamba interview hakuna
Interview ipo mm nime comfirm lazima mkandwe ndo maana mchakato umekuja psrs ili tupate walimu wenye content,sio zoa zoa ile ya TAMISEMI,ilikuwa inabeba makapi inaacha walimu wenye content,wakisingizia bahati ,kumbe kujuana kulitangulizwa😂😂
Sasa hvi hayo malalamiko ya upendeleo hayatakuwepo maana ukikandwa unaona alama zako😀 mfano una 20 mwenzako ana 78 lazima ufunge mdomo
psrs kama umefeli ata kama umemaliza zamani hakupi guarantee,unaachwa anayepata ni yule aliye perform vzr usaili
Mkuu usaili haupo watu watapangiwa Moja Kwa Moja Cha msingi omba uwepo.Hii taarifa nimeipata leo ni Real
Bahati mbaya mm si mnufaika kiongozi,sipo kwenye hizi kada tajwaMkuu usaili haupo watu watapangiwa Moja Kwa Moja Cha msingi omba uwepo.
Usaili lazima utaendeshwa mikoani chini ya usimamizi wa watu toka utumishi ila tutegemee rushwa na kujuana kwingi.Mkuu usaili haupo watu watapangiwa Moja Kwa Moja Cha msingi omba uwepo.
Usaili lazima utaendeshwa mikoani chini ya usimamizi wa watu toka utumishi ila tutegemee rushwa na kujuana kwingi.Mkuu usaili haupo watu watapangiwa Moja Kwa Moja Cha msingi omba uwepo.
Mbona roho zinawauma.Usaili lazima utaendeshwa mikoani chini ya usimamizi wa watu toka utumishi ila tutegemee rushwa na kujuana kwingi.
Akili kisado utumishi hawana fungu la usaili mwajiri anayeomba kibali ndiye anayeajiri.Kwani Utumishi huwa anapata wapi fungu la usaili hadi Tamisemi akose na wote ni taasisi za Serikali?
Sasa watachujaje Assume Kiswahili Dodoma nafasi 8, waombe 200, watawachujaje?Mbona roho zinawauma.
Mnapewa za ndani ndani mnakalia uchawi.
Mwezi wa 9 watu wanatakiwa wawe kazini.
Vip kuhusu mikoa walioomba mtu unachaguliwa kutokana na ulipoomba au inakuwajeAkili kisado utumishi hawana fungu la usaili mwajiri anayeomba kibali ndiye anayeajiri.
Jiandae kufanya usaili.Mbona roho zinawauma.
Mnapewa za ndani ndani mnakalia uchawi.
Mwezi wa 9 watu wanatakiwa wawe kazini.
HalllaaaaaInasemekana usaili upo,ila wata decentralise,inawza ikawa kikanda.
unatupiwa kokote kule, simiyu aende nani kama wote mmeomba dodomaV
Vip kuhusu mikoa walioomba mtu unachaguliwa kutokana na ulipoomba au inakuwaje
utumishi wanazo mbinu kama una ndugu mwambie ajiandae safari wameuma sana meno sura za mbuzi halllaaaSasa watachujaje Assume Kiswahili Dodoma nafasi 8, waombe 200, watawachujaje?
Umesahau : system ndio inasahihisha sio watu kwa hiyo wajiandae kweli..kupata single digit nje nje 0-9Ndugu mwalimu soma sana acha masihala,hakuna sandakalawe psrs,na usizuge kama hujaomba,wakati nafasi umeziomba maana ni muda sana umeanza kupotosha watu kwamba interview hakuna
Interview ipo mm nime comfirm lazima mkandwe ndo maana mchakato umekuja psrs ili tupate walimu wenye content,sio zoa zoa ile ya TAMISEMI,ilikuwa inabeba makapi inaacha walimu wenye content,wakisingizia bahati ,kumbe kujuana kulitangulizwa😂😂
Sasa hvi hayo malalamiko ya upendeleo hayatakuwepo maana ukikandwa unaona alama zako😀 mfano una 20 mwenzako ana 78 lazima ufunge mdomo
psrs kama umefeli ata kama umemaliza zamani hakupi guarantee,unaachwa anayepata ni yule aliye perform vzr usaili