LGE2024 TAMISEMI: Wananchi 26,769,995 wamejiandikisha katika Daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hadi kufikia Oktoba 19, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Waziri anafikiri kila mtu ni mjinga ,kuna demu wangu ni mtendaji mpaka sasa yupo ofisini anawasubiri waandikishaji wampelekee idadi ya leo
Amekudanganya bwana. Sio kwamba zinatumwa kwa njia ya simu kila siku jioni? Huyo atakuwa na lake jambo huko ofisini 😄
 
Hivi hawa viongozi kwanini wanatuonea watanzania kuwa ni wajinga kiasi cha kutudanganya bila aibu?
 
Kwahapa Sio kweli
Japo Waliamua Kupita Nyumba kwa nyumba Mtaani Ila Hiyo idadi ni Uongo
 
Kujumlisha kiteknolojia kunachukua dakika ngapi?
Sikutegemea swali kama hili kutoka Kwa mtu kama wewe!! Kweli?
Issue siyo kujumlisha tu Bali ni kukusanya taarifa zenyewe kutoka Halmashauri zaidi ya 180...!halafu ndio waanze kuzijumlisha . Huoni kama waziri amepika data?
Tufikiri hiyo taarifa ni kweli, kwahiyo maana yake siku ya UCHAGUZI tutegemee midururu mirefu ya wapiga kura. Haitakaa itokee
 
hii nchi tumechagua uongo kuwa sehemu ya maisha yetu.
Too bad!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…