Amekudanganya bwana. Sio kwamba zinatumwa kwa njia ya simu kila siku jioni? Huyo atakuwa na lake jambo huko ofisini 😄Waziri anafikiri kila mtu ni mjinga ,kuna demu wangu ni mtendaji mpaka sasa yupo ofisini anawasubiri waandikishaji wampelekee idadi ya leo
Nina kimada mwalimu alikuwa anaandikisha, nimeenda kumchukua na baiskeli yangu kanambia kesho ndio wanakabidhi kazi kwa VEO, na hakuna aliyekuja kuchukua idadi ya leo.Kujumlisha kiteknolojia kunachukua dakika ngapi?
Huwa wanatuma ikifika saa 12 jioni kwa WEOs/VEOs.Amekudanganya bwana. Sio kwamba zinatumwa kwa njia ya simu kila siku jioni? Huyo atakuwa na lake jambo huko ofisini 😄
Mkuu, kama ni hivyo kwamba bado hajapata takwimu zingine, basi asilimia itaongezeka.Waziri anafikiri kila mtu ni mjinga ,kuna demu wangu ni mtendaji mpaka sasa yupo ofisini anawasubiri waandikishaji wampelekee idadi ya leo
PoleWaziri anafikiri kila mtu ni mjinga ,kuna demu wangu ni mtendaji mpaka sasa yupo ofisini anawasubiri waandikishaji wampelekee idadi ya leo
Amekudanganya bwana. Sio kwamba zinatumwa kwa njia ya simu kila siku jioni? Huyo atakuwa na lake jambo huko
Jana ilikua siku ya mwisho so walikua wanakabidhi vitabu/madaftariAmekudanganya bwana. Sio kwamba zinatumwa kwa njia ya simu kila siku jioni? Huyo atakuwa na lake jambo huko ofisini 😄
Achana nae kinega huyo.Zoezi lilikuwa manual, na limefungwa jioni hii hii, wamekusanyaje matokeo yote na kupata idadi hiyo? Bado kuna wajinga wa hivyo?
Tena wa wali-maharage kuchanganya na mayai ya kuchemsha.Ushuzi mtupu apo takwimu za kupika
Hivi hawa viongozi kwanini wanatuonea watanzania kuwa ni wajinga kiasi cha kutudanganya bila aibu?Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kufikia Oktoba 19, 2024, Jumla ya watanzania wenye sifa Milioni 26,769,995 sawa na asilimia 81% wamejiandikisha kwenye daftari la Mpigakura, tayari kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Waziri Mchengerwa ametoa takwimu hizo leo Jumapili Oktoba 20, 2024 akiwa Wilayani Rufiji Mkoani Pwani, akiitaja Mikoa ya Tanga, Pwani, Mwanza, Dar Es salaam na Dodoma kuwa Vinara katika uandikishaji huo.
Mhe. Mchengerwa kando ya Kutangaza kutoongezwa kwa siku za kujiandikisha, amewashukuru watanzania wote waliotumia haki yao Kikatiba katika kujiandikisha kwenye Daftari hilo, akiwataka pia wale wote wenye sifa za kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi kujitokeza kwa wingi kuanzia Oktoba 26, 2024 ili kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali kwenye serikali za Mitaa.
Mhe. Mchengerwa kadhalika ametoa wito kwa wasimamizi wa Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria na taratibu zinazosimamia Uchaguzi huo, akihimiza pia suala la usimamizi na utekelezaji wa falsafa ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha haki, usawa na Uhuru wa kuchagua unatamalaki kwenye Uchaguzi huo wa baadae mwaka huu.
Sikutegemea swali kama hili kutoka Kwa mtu kama wewe!! Kweli?Kujumlisha kiteknolojia kunachukua dakika ngapi?
Ripoti zilikuwa zinaenda kila siku kwa kurusha kwa simuKumbe uandikishaji ulikuwa wa kielectroniki maana jumla ya waliojiandikisha imepatikana mapema kwa kujua idadi yao.
Mimi na watu wangu wote ninaowajua wamejiandikishaMimi na watu wangu wote nnao wajua hamna aliyejiandikisha...
hii nchi tumechagua uongo kuwa sehemu ya maisha yetu.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kufikia Oktoba 19, 2024, Jumla ya watanzania wenye sifa Milioni 26,769,995 sawa na asilimia 81% wamejiandikisha kwenye daftari la Mpigakura, tayari kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Waziri Mchengerwa ametoa takwimu hizo leo Jumapili Oktoba 20, 2024 akiwa Wilayani Rufiji Mkoani Pwani, akiitaja Mikoa ya Tanga, Pwani, Mwanza, Dar Es salaam na Dodoma kuwa Vinara katika uandikishaji huo.
Mhe. Mchengerwa kando ya Kutangaza kutoongezwa kwa siku za kujiandikisha, amewashukuru watanzania wote waliotumia haki yao Kikatiba katika kujiandikisha kwenye Daftari hilo, akiwataka pia wale wote wenye sifa za kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi kujitokeza kwa wingi kuanzia Oktoba 26, 2024 ili kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali kwenye serikali za Mitaa.
Mhe. Mchengerwa kadhalika ametoa wito kwa wasimamizi wa Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria na taratibu zinazosimamia Uchaguzi huo, akihimiza pia suala la usimamizi na utekelezaji wa falsafa ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha haki, usawa na Uhuru wa kuchagua unatamalaki kwenye Uchaguzi huo wa baadae mwaka huu.