much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Chadema mshakata tamaa jitoeni kwenye siasa sajilini saccos maana hamna mnachowezeUongo wa wazi, kisha hapo watu watarajie matokeo ya haki? Kupiga kura hapo ni kupoteza muda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema mshakata tamaa jitoeni kwenye siasa sajilini saccos maana hamna mnachowezeUongo wa wazi, kisha hapo watu watarajie matokeo ya haki? Kupiga kura hapo ni kupoteza muda.
10 m ni kubwa sana yaani kama wamejitahidi ni 2.6 million sasa wameongeza sifuri tu mbele.Hata 10m hawafiki.
Huo ni uongo bwana,hakuna ,ni uongo!Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kufikia Oktoba 19, 2024, Jumla ya watanzania wenye sifa Milioni 26,769,995 sawa na asilimia 81% wamejiandikisha kwenye daftari la Mpigakura, tayari kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Waziri Mchengerwa ametoa takwimu hizo leo Jumapili Oktoba 20, 2024 akiwa Wilayani Rufiji Mkoani Pwani, akiitaja Mikoa ya Tanga, Pwani, Mwanza, Dar Es salaam na Dodoma kuwa Vinara katika uandikishaji huo.
Mhe. Mchengerwa kando ya Kutangaza kutoongezwa kwa siku za kujiandikisha, amewashukuru watanzania wote waliotumia haki yao Kikatiba katika kujiandikisha kwenye Daftari hilo, akiwataka pia wale wote wenye sifa za kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi kujitokeza kwa wingi kuanzia Oktoba 26, 2024 ili kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali kwenye serikali za Mitaa.
Mhe. Mchengerwa kadhalika ametoa wito kwa wasimamizi wa Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria na taratibu zinazosimamia Uchaguzi huo, akihimiza pia suala la usimamizi na utekelezaji wa falsafa ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha haki, usawa na Uhuru wa kuchagua unatamalaki kwenye Uchaguzi huo wa baadae mwaka huu.
kaa nyumbani kwa kutulia uongozwe wewe 🐒Uongo wa wazi, kisha hapo watu watarajie matokeo ya haki? Kupiga kura hapo ni kupoteza muda.
Ni kweli kabisa, cdm hawawezi siasa za hadaa, hivyo ni bora wakae pembeni wawaachie ccm wanaoweza siasa za hadaa.Chadema mshakata tamaa jitoeni kwenye siasa sajilini saccos maana hamna mnachoweze
Ni kweli, niongozwe na vilaza wanaotumia nguvu kuliko akili.kaa nyumbani kwa kutulia uongozwe wewe 🐒
Basi futeni chama fanyeni issue zingineNi kweli kabisa, cdm hawawezi siasa za hadaa, hivyo ni bora wakae pembeni wawaachie ccm wanaoweza siasa za hadaa.
wewe akili si zimelala yaani zero brain unaona 0 ni kama ni c tu🐒Ni kweli, niongozwe na vilaza wanaotumia nguvu kuliko akili.
CCM nawashauri kwa nguvu zote waendelee kuhamasisha watu kujiandikisha na kwenda kupiga kura na mwisho wa zoezi hili waibe kura kama ilivyo kawaida yao kudharau na kutukana maamuzi ya wananchi.Hii ya kuendelea kuiba kura na kujipigia kura itatengeneza UASI mzuri dhidi ya serikali ya wezi inayojichagua kwa kujipigia kura bila ridhaa ya wananchi.Maana ni ajabu kuona eti katikati ya maisha magumu waliyonayo watanzania eti chawa wanamwambia mama yao kwamba bado anapendwa sana na watanzania,ni mwehu tu,machawa na wapambe ndio wanaweza kuamini hivyo.Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema kufikia Oktoba 19, 2024, Jumla ya watanzania wenye sifa Milioni 26,769,995 sawa na asilimia 81% wamejiandikisha kwenye daftari la Mpigakura, tayari kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.
Waziri Mchengerwa ametoa takwimu hizo leo Jumapili Oktoba 20, 2024 akiwa Wilayani Rufiji Mkoani Pwani, akiitaja Mikoa ya Tanga, Pwani, Mwanza, Dar Es salaam na Dodoma kuwa Vinara katika uandikishaji huo.
Mhe. Mchengerwa kando ya Kutangaza kutoongezwa kwa siku za kujiandikisha, amewashukuru watanzania wote waliotumia haki yao Kikatiba katika kujiandikisha kwenye Daftari hilo, akiwataka pia wale wote wenye sifa za kuwania nafasi mbalimbali za Uongozi kujitokeza kwa wingi kuanzia Oktoba 26, 2024 ili kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali kwenye serikali za Mitaa.
Mhe. Mchengerwa kadhalika ametoa wito kwa wasimamizi wa Uchaguzi na wadau wote wa Uchaguzi kuendelea kuzingatia sheria na taratibu zinazosimamia Uchaguzi huo, akihimiza pia suala la usimamizi na utekelezaji wa falsafa ya 4R za Rais Samia Suluhu Hassan ili kuhakikisha haki, usawa na Uhuru wa kuchagua unatamalaki kwenye Uchaguzi huo wa baadae mwaka huu.
Ukweli huu wanaujua, ila hawana uthubutu wa kuujadili maana ni ukweli unaoumiza.Nashaur siku ya kupiga kura zaidi ya kura zao za maruhani walizozoea,waweke watu mahsusi wachkue idadi sahihi ya walioenda kupiga kura ili wabaki na ukweli waujadili kwenye vikao vyao,itawasaidia,wajiulize maswali ya msingi na wajijibu kwa dhati.
Tumefikaje hapa?
Tunaelekea wapi?
Hadi lini tutafanya hivi?
Kwa maslahi ya nani haswaa tunafanya hivi?
Inajenga nini mioyoni mwa wanaoongozwa?
Koz siku yaja, isije kama mwizi!
Final destination ni ataendelea alipoishia.Mcherengwa ameamua kuwa jambazi kabisa 😂, let's see his final destination
SawaFinal destination ni ataendelea alipoishia.
Pelekeni hii kitu mahakamani uchafuzi huu usitishwe. Otherwise acheni kujisemesha kama hamna la kufanya.
Upinzani msijidanganye kwa kusema ‘yana mwisho’ huo mwisho ni lini? Acheni kulalamika, msijifariji eti watake wasitake blhbla..
Hii tactic imetumika over n over na wameendelea kujitangazia ushindi.
Wananchi wamelala tamaa hawana matumaini na vyama vya siasa..
Vyama vya siasa vinatengeneza mazingira ya kuchukua ryzyku the rest haiwahusu.
Vyama vyote ni dugu moja!
Kwahiyo ulivyokataa kujiandikisha ulidhani watu wengine hatutajiandikisha?Uongo wa wazi, kisha hapo watu watarajie matokeo ya haki? Kupiga kura hapo ni kupoteza muda.
Kujumlisha kiteknolojia kunachukua dakika ngapi?
Hata ungejiandikisha na ndugu zako waliokufa, sio kwa idadi hiyo.Kwahiyo ulivyokataa kujiandikisha ulidhani watu wengine hatutajiandikisha?