LGE2024 TAMISEMI: Wananchi 26,769,995 wamejiandikisha katika Daftari la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa hadi kufikia Oktoba 19, 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huo ni uongo bwana,hakuna ,ni uongo!


View: https://youtu.be/B9D0iuBx7n0?t=21
 
Chadema mshakata tamaa jitoeni kwenye siasa sajilini saccos maana hamna mnachoweze
Ni kweli kabisa, cdm hawawezi siasa za hadaa, hivyo ni bora wakae pembeni wawaachie ccm wanaoweza siasa za hadaa.
 
Kama 2.6M nchi nzima ntakubaliana nae ila kwa namba ya 26 million. Haikubaliki duniani wala mbinguni🤣!

Daftari la kujiandikisha limesusiwa kama msiba wa shoga.
 
CCM nawashauri kwa nguvu zote waendelee kuhamasisha watu kujiandikisha na kwenda kupiga kura na mwisho wa zoezi hili waibe kura kama ilivyo kawaida yao kudharau na kutukana maamuzi ya wananchi.Hii ya kuendelea kuiba kura na kujipigia kura itatengeneza UASI mzuri dhidi ya serikali ya wezi inayojichagua kwa kujipigia kura bila ridhaa ya wananchi.Maana ni ajabu kuona eti katikati ya maisha magumu waliyonayo watanzania eti chawa wanamwambia mama yao kwamba bado anapendwa sana na watanzania,ni mwehu tu,machawa na wapambe ndio wanaweza kuamini hivyo.
 
Nashaur siku ya kupiga kura zaidi ya kura zao za maruhani walizozoea,waweke watu mahsusi wachkue idadi sahihi ya walioenda kupiga kura ili wabaki na ukweli waujadili kwenye vikao vyao,itawasaidia,wajiulize maswali ya msingi na wajijibu kwa dhati.
Tumefikaje hapa?
Tunaelekea wapi?
Hadi lini tutafanya hivi?
Kwa maslahi ya nani haswaa tunafanya hivi?
Inajenga nini mioyoni mwa wanaoongozwa?

Koz siku yaja, isije kama mwizi!
 
Ukweli huu wanaujua, ila hawana uthubutu wa kuujadili maana ni ukweli unaoumiza.
 
Mcherengwa ameamua kuwa jambazi kabisa 😂, let's see his final destination
Final destination ni ataendelea alipoishia.

Pelekeni hii kitu mahakamani uchafuzi huu usitishwe. Otherwise acheni kujisemesha kama hamna la kufanya.

Upinzani msijidanganye kwa kusema ‘yana mwisho’ huo mwisho ni lini? Acheni kulalamika, msijifariji eti watake wasitake blhbla..

Hii tactic imetumika over n over na wameendelea kujitangazia ushindi.

Wananchi wamelala tamaa hawana matumaini na vyama vya siasa..

Vyama vya siasa vinatengeneza mazingira ya kuchukua ryzyku the rest haiwahusu.

Vyama vyote ni dugu moja!
 
Sawa
 
Zoezi limefungwa jana jioni asubuhi hii tayari Mchengerwa ana data za Tanganyika yote, ni uongo wa kiwango cha juu sana, angesubiri hata zipite japo siku tau ndiyo atoe hizi takwimu zake za kupika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…