Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Brother kama kweli ww ni muumini, basi kuna jambo kubwa la kujitafakari elimu dunia wengi wameipa kisogo, ni muda muafa wa kuhimizana on the long run haisaidii. Maana nchi haiendeshwi na imani
Hiyo elimu dunia yako haijakusaidia chochote,maana umeandika togwa tu hata mwenyewe ukisoma unashangaa
 
Kuna matabaka ndani ya uongozi

Kuna baadhi ya viongozi hawakubaliani na utawala uliopo wanamuwekea tu poker face kumhadaa ili ajue yupo pamoja nao.
Hii naunga mkono na inatugharimu kwelikweli
 
Ansar Sunna wameniangusha Sana. Nao wameingia kwenye shimo. TEC inanguvu sana , kauli moja tu wote wametoka mafichoni. Bado Tamko la Ahmadiya.
Hao hawajaingia kwenye shimo

Walikuwepo kwenye shimo tangu kitambo we ndo umechelewa kujua
 
Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---
Mimi nimeiona mipasho tu na chuki kwa Wakatoliki;hoja za msingi zinazobishaniwa hazijaguswa kwa Waraka wa TEC.Bado naamini Waraka wa TEC umeandaliwa kisomi,ukiwa na akili ndogo huwezi kuelewa.
Mwisho:Ndugu zangu Waislamu wekezeni nguvu kwenye Elimu Dunia naona mmebobea kwenye Elimu ahera na Dunia inawaacha nyuma kwa kasi sana!
 
Hiyo elimu dunia yako haijakusaidia chochote,maana umeandika togwa tu hata mwenyewe ukisoma unashangaa
sawa mkuu ila ukipata muda soma vizuri apo kwa makini ata kwa baadae inaweza saidia maana wengine sisi ni waandishi wabovu,

Swali la kufungia umeona watu wa imani ambao ni wasomi wakisapoti tamko hili??
 
Sijaambulia hata moja hapa inamaana hawa basuta wamekuja kuishambulia tec badala ya kutoa maoni yao😂😂😂😂😂
 
sawa mkuu ila ukipata muda soma vizuri apo kwa makini ata kwa baadae inaweza saidia maana wengine sisi ni waandishi wabovu,

Swali la kufungia umeona watu wa imani ambao ni wasomi wakisapoti tamko hili??
Apo,ata...ulisoma wapi!?..we usomi unauchukulia vipi!?..vyuo vitu vinatoa watu wanaovaa suti na tai jua Kali na nyuzi joto 30-35,huyo ana akili timamu!?..
 
Apo,ata...ulisoma wapi!?..we usomi unauchukulia vipi!?..vyuo vitu vinatoa watu wanaovaa suti na tai jua Kali na nyuzi joto 30-35,huyo ana akili timamu!?..
ata,,,, hata

mkuu, waislamu wa arabuni na sisi huku tanzania kuna utofauti mkubwa. Mm naweka nukta mkuu
 
Asante sana comrade.
 
Kabla ya kusoma hayo mengine yote yaliyoandikwa huko chini, kipande hiki hapa pekee kinaonyesha udhaifu mkubwa wa tamko lenyewe.

1. Kama paliwahi kuwepo mikataba mibovu huko nyuma, na bila shaka ilikuwepo, hili Baraza kama waliiona nani aliwazuia wasiitolee tamko?

2. Hili tamko, ni la Mikataba Mibovu, au ni kuhusu shutuma kwa hao wanaoitwa "ndumila Kuwili"?

3. Hawa ni maadui wa nchi, hawana tofauti yoyote na hao wanaotafuta kutuuza huko nje.

4. Hawana chochote kinachotuunganisha kama waTanzania, mbali kabisa na madai wanayofanya hapa.

Ngoja nikasome walichoandika humo.
 
Wewe una elimu gani? Pumbavu mnaficha udini wenu kwenye elimu na elimu yenyewe ni ya kuunga uga
Afu wewe kichwa box kweli unatukana tu watu badala ya kujikita kwenye hoja au ndo umewaandikia huo upumbavu
 
Sijaambulia hata moja hapa inamaana hawa basuta wamekuja kuishambulia tec badala ya kutoa maoni yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
It's true niliona live TV Iman kwenye hili waislam wenzangu wa Ansari Sunna wamepuyanga it's a pathetic opinions and shows how they are incompetent [emoji134][emoji134][emoji34][emoji34]
 
Kwani BASUTA ni lini mikataba hiyo ya madini na mingine imewahi kuwekwa hadharani? Kwa kumbukumbu zangu mkataba huu wa bandari ndio wa kwanza kuwekwa hadharani.
 
Lilotafutwa limepatikana sasa kila mtu adai chake tuheshimiane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…