Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Huo waraka umeandkwa kwenye kijiwe Cha kahawa. Very stupid .
 
Kuna watu wanauchafua uislam kwa maksudi.
N.B.
MIE SIO MUISLAM
 
Mi nilipomsikiliza Prof Shivji na Lipumba na Fatuma Karume na Malima kigoma na Sheikh Ponda yale maoni yao ninaamin ndio waislamu wamewakilishwa. Nasikitika tu inawezekana wakaupitisha huu mkataba lakin Mark ma words. Rais ajae atauvunja. Hiyo hasara cjui ninani atailipa tena maana tuna mafaini kama yote huko nje.
 
Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---
Hapa ndio nimeamini kuwa kigezo cha kupata Cheo cha Ushekhe ni wingi wa mjini anayofuga na sio elimu na hekima... Sasa kitu gani hiki wameandika na kuleta ktk umma wa watanzania.... Na shukuru Mungu nilitaka huku.. Akili yangu ingekuwa zero iq loh🤔
 
Hakuna. Wao wanalalamika kwanini hawakupinga mikataba ya zamani Bali wanaupinga huu.
Shida ni undugu na mwarabu katika dini umeondoa uelewa katika jambo kubwa la kutumainiwa na nchi. Hatukatai uwekezaji ila uwe wenye kutunufausha haijalishi nani anawekeza. Akiwa mbingo na anavigezo Sawa tu ilimradi kuwe na utaratibu mzuri
 
Hekima
Hekima inawaongoza kukaa kimya hata kama mnaelekea kutengana katika UTANZANIA wenu kwa sababu ya dini zenu
Ila ndo uhalisia bongo wengi wadini , basi tu hazijatokea scenario, hili la bandari mwanzo mzuri wa kufichua hali halisi
 
Wamejibu Hoja?.
Hiyo mikataba mingine ilikuwa leaked kama huu?
Masheikh wamekuja na logical fallacy inaitwa Redd Herring

Jaribio la kubadilisha mada au ku divert hoja kutoka kwenye hoja ya msingi kwenda upande mwingine

Yani trafiko amekukuta unaenesha gari rafu ukiwa umelewa unahatarisha usalama wa watu. Anakuandikia faini kwa kosa hilo

We unasema " sipaswi kulipa faini kwa uendeshaji hovyo wa gari. Kuna watu wengi mtaani ambao ni wahalifu na hatari na polisi mlitakiwa mhangaike na hao na sio kunisumbua mlipa kodi kama mimi"

Ni kweli wahalifu wa hatari mitaani wapo lakini hiyo ni ishu nyingine. Hoja ya msingi ni je ni kweli umefanya kosa? Unastahili kulipishwa faini kwa kosa hilo?

Sasa masheikh kwa hoja zao inaonesha dhahiri wamekiri kuwa kuna tatizo kwenye huu mkataba ila hoja yao kubwa ni kwamba huko nyuma kulikuwa kuna mikataba mibovu pia so watu wanabidi wakubali huu mbovu kwasababu ya rekodi za miaka ya nyuma.
 
Upande wa pili wasemacho kina nguvu!?..unapimaje nguvu!?..upande wa pili walitoa waraka wanatoa maagizo kondoo kuanza kulia kwa makelele ya juu,kondoo namaanisha kwenye kila sekta,so ni sawa na kuitikia 'amina' kwenye Misa..ni makelele tu,hakuna nguvu yoyote,ndiyo maana Maza 'kakaa tu kimya' na soon tunasaini 'hga' na mwarabu ili chapu kazi ianze
Brother kama kweli ww ni muumini, basi kuna jambo kubwa la kujitafakari elimu dunia wengi wameipa kisogo, ni muda muafa wa kuhimizana on the long run haisaidii. Maana nchi haiendeshwi na imani
 
Masheikh wamekuja na logical fallacy inaitwa Redd Herring

Jaribio la kubadilisha mada au ku divert hoja kutoka kwenye hoja ya msingi kwenda upande mwingine

Yani trafiko amekukuta unaenesha gari rafu ukiwa umelewa unahatarisha usalama wa watu. Anakuandikia faini kwa kosa hilo

We unasema " sipaswi kulipa faini kwa uendeshaji hovyo wa gari. Kuna watu wengi mtaani ambao ni wahalifu na hatari na polisi mlitakiwa mhangaike na hao na sio kunisumbua mlipa kodi kama mimi"

Ni kweli wahalifu wa hatari mitaani wapo lakini hiyo ni ishu nyingine. Hoja ya msingi ni je ni kweli umefanya kosa? Unastahili kulipishwa faini kwa kosa hilo?

Sasa masheikh kwa hoja zao inaonesha dhahiri wamekiri kuwa kuna tatizo kwenye huu mkataba ila hoja yao kubwa ni kwamba huko nyuma kulikuwa kuna mikataba mibovu pia so watu wanabidi wakubali huu mbovu kwasababu ya rekodi za miaka ya nyuma.
Mkuu hii umeiweka vizuri,

Na kwenye hili mm naamini pale chama cha kijani kuna watu hawaelewani maana hili kataba nina asimia nyingi tungekuja kustukia vifaa vishatua bandarini hapo kama mikataba mingine ya kila siku, je hii aliyevujisha ana lengo gani hasa bado sijapata jibu
 
Mkuu hii umeiweka vizuri,

Na kwenye hili mm naamini pale chama cha kijani kuna watu hawaelewani maana hili kataba nina asimia nyingi tungekuja kustukia vifaa vishatua bandarini hapo kama mikataba mingine ya kila siku, je hii aliyevujisha ana lengo gani hasa bado sijapata jibu
Kuna matabaka ndani ya uongozi

Kuna baadhi ya viongozi hawakubaliani na utawala uliopo wanamuwekea tu poker face kumhadaa ili ajue yupo pamoja nao.
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Back
Top Bottom