Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Ni CCM tena, Chama Cha Matatizo yote Tanganyika..ila mara hii CCM italeta balaa zito.

Sasa wale waliokuja na hoja za udini badala ya kujadili vipengele vibovu kwenye mkataba usishangae watakaa kimya kisa Answaar wameongea!
 
Huu waraka ndio unawakilisha brain halisi za waislam.

Bado kesho watashangaa na kuulizana kwa nini wenzetu upande wa pili wanachosema kinakuwa na nguvu!?
[emoji112][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Haijawa leaked ila watu wanajua ukweli kuhusu hiyo mikataba. Sasa shida ni kuwa leaked au kujulikana kile kilichomo kwenye mikataba ?

Tumia akili.
Dah ujinga wao hawauoni na kujifanya wana sole rights ya kusemea watanzania wote kwa slogan za kijinga.
 
Lakini nimeon

a

Kwenye huu waraka nimeona kwamba badala ya kujikita kwenye vifungu vya mkataba na kuonyesha jinsi vilivyo na faida wao wanawatupia lawama TEC as if TEC hawana haki ya kushauri chochote. Nadhani ni muhimu kujifunza namna ya kujadili au kushiriki kwenye mjadala. Kama wao wanaona mkataba ni mzuri kwa nini wawalaumu wanaoona baadhi ya vipengele kwenye mkata havifai? Ni shida sana kuwa na viongozi wa aina hii ambao wakisema jambo wanakuwa "subjective".
Hiyo haikuwa ajenda Yao Bali kukemea unafiki na undumilakuwili wa TEC
 
CC FaizaFoxy , THE BIG SHOW , Sir John Roberts ,

Hivi hakuna utafiti uliowahi kufanywa kuonyesha kwa nini hawa watu kwa Tanzania brain zao zipo hivi!!??
Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...
 
Hili ndo tatizo la elimu ya madrasa. hawana uwezo wa kujikita kwenye contents za mkataba na kuudadavua badala yake wanatumia hoja dhaifu za kukosoa matamko ya taasisi na wadau wengine waliojikita zaidi kuuchambua mkataba na kuukataa. Ni bora wangenyamaza tu kuliko kutuletea aibu kama hii ya kutokuwa na weledi wa mambo.
 
Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...
Only 3 out of 20 Millions!!??
 
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
Kwa hiyo kwa sababu wamefungia macho mikataba ya hovyo iliyopita na huu waufumbie macho?
 
Usipende kujumuisha na wasiohusika, Wa - attack hao hao walioandika, na sio ujumuishe waislamu wote. Acha Chuki zako kwa dini nyingine. Nyie ndo huwa mnasema wachaga wote wabahili, wakati huenda kuna wachaga ambao hata wewe huwafikii kwa utoaji; Au wahaya wote wanapenda sifa , wakati huenda kuna wahaya ambao, wewe kwa mijisifa sifa yako hawakufikii; Au kabila fulani wana roho mbaya, wakati huenda katika kabila hilo kuna watu wana roho nzuri hata wewe huwafikii.

Hivyo usipende sana kuhukumu na wasiohusika, sababu hiko kilichoandikwa haimaanishi waislamu wote wa Tanzania nzima wamekipitia na kukiidhinisha kabla ya kuwa published. Na halikadhilika haimaanishi walichosema /walichoaandika TEC haimanishi wakatoliki wote wamekimepitia na kukiidhinisha kabla ya kuwa published.

Kaa ujitafakari. Usijione bora kuliko watu wengine. Huenda hao unaowadharau wakawa bora zaidi kuliko wewe Mbele ya Muumba wa Mbingu, ardhi na vilivyomo.
Uelewa wako ni finyu sana.
Hujaelewa nilichokiandika
tena kwa maneno
machache sana.
Soma upya nilichoandika.
Usipoelewa tena utakuwa
limbukeni.
 
Hivi,wanapaswa kutoa mawazo yao kuhusu DP World au kushutumu wengine waliotoa maoni yao?Kwa nini hawataki kujifunza kukubaliana kutokukubaliana?Wakiambiwa maneno makali watajinunisha kwa akili hizo kweli?

Bado ni hao hao wa DPW ndio wanaohangaika na TEC. Tutajionea mengi awamu hii.
 
Aisee yaani Kuna watu ni wapuuzi sana, leta hoja zako kwanini una support mkataba sio kusema kwa kua huko nyuma mikataba mibovu ilipita na huu upite

Zero iq

Eti imekuwa ni ushindani! Kisa ilipita mikataba ya hovyo huko, na huu upite! Hawa watu hata akili zao hazieleweki. Ila hawa huwa wanatumika kirahisi sana na watu wenye malengo yao ya kohomola. Hawana chochote wanachopata hapo, zaidi wanatumika kwa bei chee na kuchochowewa udini. Miaka yote huwa hawanufaiki na kitu, ila wakidangangwa kidogo wanajaa [emoji19]
 
Hizo ndio akili wanazosikiliza CCM. Wakitetea mkataba hakuna hata kifungu kimoja wanachosema kiko sawa au hakiko sawa. Ni kama kasuku vile
 
Wakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote

Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?

Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yote
Na wewe ni zero kabisa
 
Back
Top Bottom