Iblis Bin Shetan
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,824
- 2,445
Si kama wale Mapadri zero wanatoa waraka kanisani halafu wanataka serikali iwaogope kwani hii nchi ni ya kikristoNa wewe ni zero kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si kama wale Mapadri zero wanatoa waraka kanisani halafu wanataka serikali iwaogope kwani hii nchi ni ya kikristoNa wewe ni zero kabisa
Hao tu kidogo unaweza kusema lakini wakifika kwenye maandishi yanayosomwa kulia kuja kushoto mavi matupuOnly 3 out of 20 Millions!!??
Pale msomi zaidi ni form six tena ya shule za kiislamu robo ya muda anasoma elimu dunia robo tatu anajifunza kaswidaWaliotoa huu waraka wana kiwango gani cha elimu?!
Inashangaza sana.Hivi,wanapaswa kutoa mawazo yao kuhusu DP World au kushutumu wengine waliotoa maoni yao?Kwa nini hawataki kujifunza kukubaliana kutokukubaliana?Wakiambiwa maneno makali watajinunisha kwa akili hizo kweli?
Kuna sehemu nimesoma nikakutana na sentsensi "serikali yetu sikivu" nikajua hakuna kitu hapaBinafsi, anayewapinga TEC, kama hachambui vipengele vya mkataba against tamko la TEC, NAMWONA HANA AKILI..!!
Mtu anaunga nmkono mkataba lakini hana ubavu wa kunukuu hata kifungu kimoja cha mkataba ili kujenga hoja ya kuukubali!! Hebu tupeni CV yake huyu!! Tusije tukamhukumu kumbe tukawa tumemwonea kwa mujibu wa elimu yake!!Elimu Elimu
Wewe ni mjinga kabisaSi kama wale Mapadri zero wanatoa waraka kanisani halafu wanataka serikali iwaogope kwani hii nchi ni ya kikristo
Bora mm mjinga kuliko wale Mapadri wajinga waliotoa waraka kanisani halafu wanataka serikali iwasikilize wao kwani hii nchi inaongozwa na kanisaWewe ni mjinga kabisa