Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
[emoji112][emoji28][emoji28][emoji28]Huu waraka ndio unawakilisha brain halisi za waislam.
Bado kesho watashangaa na kuulizana kwa nini wenzetu upande wa pili wanachosema kinakuwa na nguvu!?
Akikujibu ni tag.Hao BASUTA wamekosea wapi katika hicho walichokiandika ? Je wameandika uongo na kama uongo, uko wapi ?
Dah ujinga wao hawauoni na kujifanya wana sole rights ya kusemea watanzania wote kwa slogan za kijinga.Haijawa leaked ila watu wanajua ukweli kuhusu hiyo mikataba. Sasa shida ni kuwa leaked au kujulikana kile kilichomo kwenye mikataba ?
Tumia akili.
Hiyo haikuwa ajenda Yao Bali kukemea unafiki na undumilakuwili wa TECLakini nimeon
a
Kwenye huu waraka nimeona kwamba badala ya kujikita kwenye vifungu vya mkataba na kuonyesha jinsi vilivyo na faida wao wanawatupia lawama TEC as if TEC hawana haki ya kushauri chochote. Nadhani ni muhimu kujifunza namna ya kujadili au kushiriki kwenye mjadala. Kama wao wanaona mkataba ni mzuri kwa nini wawalaumu wanaoona baadhi ya vipengele kwenye mkata havifai? Ni shida sana kuwa na viongozi wa aina hii ambao wakisema jambo wanakuwa "subjective".
Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...CC FaizaFoxy , THE BIG SHOW , Sir John Roberts ,
Hivi hakuna utafiti uliowahi kufanywa kuonyesha kwa nini hawa watu kwa Tanzania brain zao zipo hivi!!??
Only 3 out of 20 Millions!!??Ukitaka kujua brain zao halisi muangalie Prof Nguli na former CAG prof Assad au the Fullbright professor ambaye rekodi yake UDSM haijawahi kuvunjwa Prof Lipumba..bado sijamtaja Dr Dau one of the very bright former student pale UDSM ... ndo utajua wakoje...
Kwa hiyo kwa sababu wamefungia macho mikataba ya hovyo iliyopita na huu waufumbie macho?Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
Uelewa wako ni finyu sana.Usipende kujumuisha na wasiohusika, Wa - attack hao hao walioandika, na sio ujumuishe waislamu wote. Acha Chuki zako kwa dini nyingine. Nyie ndo huwa mnasema wachaga wote wabahili, wakati huenda kuna wachaga ambao hata wewe huwafikii kwa utoaji; Au wahaya wote wanapenda sifa , wakati huenda kuna wahaya ambao, wewe kwa mijisifa sifa yako hawakufikii; Au kabila fulani wana roho mbaya, wakati huenda katika kabila hilo kuna watu wana roho nzuri hata wewe huwafikii.
Hivyo usipende sana kuhukumu na wasiohusika, sababu hiko kilichoandikwa haimaanishi waislamu wote wa Tanzania nzima wamekipitia na kukiidhinisha kabla ya kuwa published. Na halikadhilika haimaanishi walichosema /walichoaandika TEC haimanishi wakatoliki wote wamekimepitia na kukiidhinisha kabla ya kuwa published.
Kaa ujitafakari. Usijione bora kuliko watu wengine. Huenda hao unaowadharau wakawa bora zaidi kuliko wewe Mbele ya Muumba wa Mbingu, ardhi na vilivyomo.
NdiyoKwa hiyo kwa sababu wamefungia macho mikataba ya hovyo iliyopita na huu waufumbie macho?
Hivi,wanapaswa kutoa mawazo yao kuhusu DP World au kushutumu wengine waliotoa maoni yao?Kwa nini hawataki kujifunza kukubaliana kutokukubaliana?Wakiambiwa maneno makali watajinunisha kwa akili hizo kweli?
Aisee yaani Kuna watu ni wapuuzi sana, leta hoja zako kwanini una support mkataba sio kusema kwa kua huko nyuma mikataba mibovu ilipita na huu upite
Zero iq
bwana nitapaliwa umenichekesha kwelo😀😀
Hawa Basuta hata Mwandamo wa Mwezi Mtukufu wameubinafsisha!
Na wewe ni zero kabisaWakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote
Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?
Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yote