Ustaadhi 22
JF-Expert Member
- Sep 5, 2021
- 996
- 1,907
Duuu Kama ni kweli,Basi Elimu ni muhimu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote Kwa pamojaWametoa waraka kuunga mkono uwekezaji au kushutumu waraka wa wenzao ?......
Ndipo hapo huwa tunaupima uwezo wa mtu/watu kufikiri na kuchambua mambo.Mwenye kuwaza mwisho wa urefu wa pua yake amejulikana kwa urahisi sana.Vyote Kwa pamoja
Mwagito ulivyotabasamu ndiyo nimefahamu kwamba hauna meno kwenye taya la chini.Unoge be?
Inabidi waislamu wawapinge hawa watu wao, maana wanawadhalilisha kwa kiwango cha SGR. Yaani ukisoma matamko yao, tena wengine kakaa shehe mmoja tu na kuto tamko binafsi, UNAWEZA UKADHANI TEC NDO WANA MKATABA NA DPW..!!Wametoa waraka kuunga mkono uwekezaji au kushutumu waraka wa wenzao ?......
The devil is at work trying everything possible to manipulate the thinking capacity of the intelligent mammals to side with the evil missions whose approach shall not be accorded with the aspired instruments to exploit the natural resources of the country. (TNG_TZ)Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao
yani kuwekwa wamoja na wajinga kama hao waliotoa waraka big nooo.Nchi inahitaji viongozi waweze kutuweka wamoja.
Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa"
View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1694707474065227802?s=20
Upande wa pili wasemacho kina nguvu!?..unapimaje nguvu!?..upande wa pili walitoa waraka wanatoa maagizo kondoo kuanza kulia kwa makelele ya juu,kondoo namaanisha kwenye kila sekta,so ni sawa na kuitikia 'amina' kwenye Misa..ni makelele tu,hakuna nguvu yoyote,ndiyo maana Maza 'kakaa tu kimya' na soon tunasaini 'hga' na mwarabu ili chapu kazi ianzeHuu waraka ndio unawakilisha brain halisi za waislam.
Bado kesho watashangaa na kuulizana kwa nini wenzetu upande wa pili wanachosema kinakuwa na nguvu!?
Mnatuonea kwa sababu sisi ni waislamu.🤔Jamani tusomeshe Watoto..Shule muhimu saaana