Duuu BASUTA inaitaka Serikali ikaze Uzi kutokukubali kukubali mashinikizo ya kundi lolote lile. Experience shows that makundi ya UISLAM WA SIASA KALI Duniani kote huwa wanakinzana na Serikali. Hata huko Saudia na Egypt imetokea hiyo. Sasa kama hawajui ni kwamba Huyo Rais wetu ingawa ni mswalihina mzuri, avaa Hijabu, Bado ni Mserikali tuu. We ngoja wake na hoja zao za kijahidina atawashangaza siku si nyingiTamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na