Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunnah Tanzania (BASUTA) kuhusu mkataba baina ya Tanzania na DP World

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa.
UJUHA😕😕😕😕😕😕😕😕
 
Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."

BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".


My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Mbona umepost huu ujinga nusu nusu . Ngoja nikusaidie kuuleta hapa wote.
IMG-20230824-WA0042.jpgIMG-20230824-WA0043.jpgIMG-20230824-WA0041.jpgIMG-20230824-WA0044.jpg
 
Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."

BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".


My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Mbona umepost huu ujinga nusu nusu . Ngoja nikusaidie kuuleta hapa wote.
View attachment 2727574View attachment 2727575View attachment 2727576View attachment 2727577
Hoja za TEC ambazo hawakubaliani nazo ziko wapi? Argument should be based on facts. Nachoona ni personal attack towards TEC.
Hao jamaa Basuta nahisi wameishia wote darasa la pili
 
Basi hapa ndio unajibu hoja za dp world 😂😂😂😂😂🚮🚮
Hapa sijaongelea mkataba kwani hapo juu mm nimeongelea mkatba kumbe hata kusoma haujanisoma na kama umenisoma basi hujanielewa soma tena hoja yangu vizuri usiwe unakurupuka
Hoja yangu mm nawacheka nyie wakristo kujifanya mnaakili kushinda wenzenu kumbe na nyie mna ujinga ujinga wa maisha ajabu mnawacheka wengine
 
Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla.
---

Tamko la Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) likielezea kuhusu makubaliano ya uendeshaji na uendelezaji wa bandari."

BASUTA haturidhishwi na 'undumilakuwili' na ukosefu wa uadilifu wa wapingaji wa mkataba ambao walifumbia macho mikataba mingi ya hovyo huko nyuma katika sekta mbalimbali ikiwemo madini na hawakutaka ifutwe lakini wako tayari kwa gharama yoyote kuhakikisha mkataba huu unafutwa na unakufa".


My Take
TEC wamechokonoa vingi.
Hawa ndo TEC sasa, akili kubwa, Waarabu walifundisha uchawi matokeo yakr ndo haya Wavaa kobazi!!!
 

Attachments

  • VID-20230824-WA0003.mp4
    8.2 MB
Acha
Wakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote

Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?

Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yote
Wakristo mnajiona mnaakili lakini hata nyinyi ni wale wale hamna lolote

Katika karne ya 21 bado unaamini kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba au kafa na kufufuka huu sio ujuha kweli
Yaan nyinyi ndio mnajiona mnaakili na kama mngekuwa mnaakili maraisi wakatoliki wamepita bado nchi yetu ipo pale pale wamefanya lipi ?

Wanachopinga BASUTA sio kutetea mkataba bali wanachooji hapo kuwa miaka yote walikuwa wapi kupinga mikataba mibovu kwanini leo waje au kuna masalahi walikiwa wanafaidika na lengo la hao BASUTA ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi ya Katholiki kupinga maovu ya nchi basi wapinge yote
Acha kuwalisha mawazo yako, hawajasema hivyo ulivyosema wamesema watajibu hoja kwa hoja,

Wana jf wanachambua je hizo ndizo hoza kweli au ni kushtumu na kulalamika juu ya TEC? Na hapa ndipo wanauona uwezo wa kufikiri na kuchambua mambo yenye maslahi kwa taifa.
 
Hawa ndo TEC sasa, akili kubwa, Waarabu walifundisha uchawi matokeo yakr ndo haya Wavaa kobazi!!!
Akili kubwa Kiaje bwana,this is all about history ,hatuishi tena kwenye vifungo vya historia ila Tunajifunza kwao.

Hapa ni kwamba Wazungu walitafuta mtu mjanja mjanja Kwa mbinu zao na wakamtanguliza Nyerere.

Na ndio walikuwa wanamsaidia kwenye ujasusi nk.
 
Elimu Elimu Elimu. Hii kitu inatukomboa na mambo mengi hususani kama haya ambayo yanahitaji pengine mtu aliyekwenda shule kuweza kutafsiri baadhi ya Sheria au mambo Fulani.
Unahisi Elimu ya madrasa pekee itaweza kutafasiri Sheria kama SHERIA?

Think out Loud🤔
 
Wanakera kujifanya wao wana akili kuliko wenzao wakati hii nchi aliwahi kuongoza raisi mkatoliki akafanya madudu kwa mikataba mibovu alibinafsisha vitu vingi miaka 2003 lkn mbona walikuwa kimya hawakutoa waraka wa kupinga na nchi yetu mbona hatukuwa na maisha mazuri ikiwa wao wana akili badala yake maisha yale yale tu

soma coments zao wakristo wengi uone wanavyojiona bora kumbe wana ujinga wa milele kichwani Mkataba ni mbovu unatakiwq urekebishwe lakni hatutaki viongozi wa dini kuingilia serikali ya mungu mpeni mungu na ya kaisari mpeni kaisari hao mapadri wanafki watulie tu
 
Huu waraka ndio unawakilisha brain halisi za waislam.

Bado kesho watashangaa na kuulizana kwa nini wenzetu upande wa pili wanachosema kinakuwa na nguvu!?
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliye waroga?
 
Small brains akili hazitoshi hata kuvukia barabara.
Upeo unaishia kwenye tende na harua.
Msipojua kuongoza lazima akili kubwa ziwaongoze.
Mngekuwa akili kubwa mngeongoza nyie nchi,
 
Back
Top Bottom