Elimu ni ghali!Elimu Elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu ni ghali!Elimu Elimu
Hilo ni swali.Wametoa waraka kuunga mkono uwekezaji au kushutumu waraka wa wenzao ?......
Ona ha Wahhabi (siasa kali) wanailalamikia Serikali ya Saudia kwa sababu inafungulia mtu kuishi kwa uhuru. Serikali Ina Agenda zake za kiuchumi wao wanaletaawazo ya kimjahidina- kilichowapata nafikiri kila mtu akijua
View: https://m.youtube.com/watch?v=-ITUE3q6pEI&pp=ygUuU2F1ZGkgQXJhYmlhIHR1cm5pbmcgYWdhaW5zdCBNdXNsaW0gV2FoaGFiaXNtIA%3D%3D
Pia kule Abu Dhabi Serikali imeingia kwenye mgogoro na Islamist kwa sababu ya kutambua umuhimu wa Dini ya Kikiristo; Msikiti Serikali imeamuri upewe Jina Mary Mother of Jesus Mosque.
View attachment 2727457
Kwanini hilo jukumu la kupinga maovu wapewe TEC tu? wakipinga wao wanakatazwa? Aacheni upumbavu njoo na hoja za msingi za kukubali huo mkataba wa dpw, mambo ya biblia waachie wao na waumini wao.BASUTA wao lengo lao ni kutaka kukomesha hii tabia kama kazi yako kupinga maovu ya nchi basi pinga yote tujue kweli wewe msema kweli maovu kibao ya nchi na pamoja na
Wao si ndio wanajifanya wanasema kweli miaka yote ya dhambi na mabaya na mikataba mibovu wanayoingia serikali walikuwa wapi mbona wanapinga kwa kuchagua matukioKwanini hilo jukumu la kupinga maovu wapewe TEC tu? wakipinga wao wanakatazwa? Aacheni upumbavu njoo na hoja za msingi za kukubali huo mkataba wa dpw, mambo ya biblia waachie wao na waumini wao.
Mikataba ya nyuma haikuvujishwa ila huu wa DP ndio ulivujishwa. Tuelewe Hilo kwanza. Ndio maana ulikuwa umesainiwa tayari.Wao si ndio wanajifanya wanasema kweli miaka yote ya dhambi na mabaya na mikataba mibovu wanayoingia serikali walikuwa wapi mbona wanapinga kwa kuchagua matukio
Nyie wakristo mnadhambi sana that's why mlimpa shida yesu kuwakomboa ktk dhambi ajab mumekombolewa dhambi still mnatenda dhambi hao mapadri ni wanafki tu miaka yote walikuwa kimya au walikuwa wanapata maslahi
Aliyeuvujisha unajua dini yake?Hawakuwaambia kondoo waivujishe sababu wawekezaji ni wazungu 'wenzetu'
Hakuna. Wao wanalalamika kwanini hawakupinga mikataba ya zamani Bali wanaupinga huu.Hoja zimejibiwa?
Basi hapa ndio unajibu hoja za dp world 😂😂😂😂😂🚮🚮Wakristo mnajiona mnaakili lakini na nyie ni wale wale tu
Karne ya 21 unakubali kuwa kuna mtu alizaliwa bila ya baba hivi leo leo akirudi najua hawezi rudi na hana uwezo wa kurudi si tunampeleka pale muhimbili kupima DNA yake kwa vyovyote tutamjua baba...
Kwa hiyo tuhalalishe mkataba mbovu kisa huko nyuma tulishawahi kuwa na mikataba mingine mibovu? Hii dini ina majuha kweli...Helo Baraza Kuu la Jumuiya za Ansaar Sunna Tanzania (BASUTA) Wameshutumu Vikali kile wamepita Undumilakuwili na Ukosefu wa Uadilifu Kwa Wanaopinga mkataba wa Bandari kwa kile wameita kugumbia macho Mikataba ya hovyo iliyowahi ingiwa hapo kabla...