GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mimi Rais Samia na Mwenyekiti wa CCM Taifa natangaza rasmi hapa kuwa sitaki nyie akina Kitenge, Zembwela, Pindi Chana, UVCCM Wote, Rais Mstaafu Kikwete na Wengineo wote Mjipendekeze Kwangu kwani siwahitaji na hakuna ambacho huwa nawatuma mkiseme bali ni Kuwashwawashwa Kwenu tu mkidhani nitawasifu na nawafurahia. Mnikome sawa?
Akisema haya GENTAMYCINE nitamuamini, Kura yangu ya 2025 anayo na nitamkubali zaidi.
Tofauti na hili ( hapo ) hilo Tamko la CCM si tu kwamba nitaliona ni Batili bali pia nitaliona ni la Kimkakati, limejaa Unafiki na lina Agenda Maalum kwa Lengo Maalum kwa Kipindi hiki na Jambo Mtambuka kwa sasa la Mama, Mwarabu na Bahari yetu.
Akisema haya GENTAMYCINE nitamuamini, Kura yangu ya 2025 anayo na nitamkubali zaidi.
Tofauti na hili ( hapo ) hilo Tamko la CCM si tu kwamba nitaliona ni Batili bali pia nitaliona ni la Kimkakati, limejaa Unafiki na lina Agenda Maalum kwa Lengo Maalum kwa Kipindi hiki na Jambo Mtambuka kwa sasa la Mama, Mwarabu na Bahari yetu.