Tamko la CCM nitaliamini 100% endapo tu Mwenyekiti wake Taifa na Rais Samia atakuja na uthubutu ufuatao

Huko Milembe kwa Vichaa nilikuwa na Waliokuzaa. Umesema huwa hufungui posts zangu je, hii ni ya nani?

Juha mkubwa Wewe.
Tatizo walionizaa wanajitambua waliokuzaa wewe walikutelekeza palw centro police ukapelekwa nyumba za misaada , ukapandwa na kichaa kutoka kwenu ,saivi huna akili umeoa kichaa mwenzio
 
🤣🤣🤣Hawezi manake yeye binafsi ndio muasisi wa chawa,namnukuu;Nina chawa wangu,ukinigusa watakuparua,mwisho wa kunukuu.
🤣🤣🤣Chawa wa sa100
 
Ha
Hana obovu huo, tatizo la machawa hasa lilianzia kwa mtangulizi
 
Uvccm, kitenge na zebwela, kuna mchizi mmoja hujamtaja naye huwa na kiherehere akijiita chawa aliyetukuka kindakindaki ni wapuuzi watupu wale. Wale wanasukumwa na upepo hawana uwezo wa kutoa misimamo yao
 
If only She can dare and have those Guts. I doubt.....!!!

Hata wew akija rafik ako akuambie ukawachane wengine kua hawana issue kwenye mambo yako sizan kama utaeza
 
Hauko mbali na ufalme wa mungu.Ndio hakna kazi rahis kama kuongoza watu.Mleta uzi nilitaka kumwambya asiwe mchonganishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…