Mbona una akili ndogo hivi, hata wanaowalipa basi wawe wanawapiga msasa kidogo, uchaguzi huru na wa haki wewe unaelewa maana yake ni wapinzani washinde?Sasa kama watz wameamua nyinyi mnataka muwalazimishe kuchagua upinzani? Kwa nini msiende mahakamani? Sasa nyinyi wakati wa kampeni mlikuwa mnahangaika na kuwaeleza watz jinsi utakavyoingia barabarani kupitia beberu Amsterdam. Kama hamjui watz hawapendi kibaraka hata siku moja.
Malalamiko mengi ni hisia tu. Kilimanjaro wameacha ukabila wamechagua maendeleo, kwa hiyo ulidhani CHADEMA itapona?Hapana, nilitaka genge haramu chini ya jiwe libwebwe na vyombo vya dola kutangazwa washindi.
Jiwe ndiye mtu aliyeharibu hiyo nchi kwa kiwango kikubwa sana, historia itamkumbuka sana huyo kiumbe. Kwa sasa ukisema wewe ni Mtized unadharaulika sana tofauti na mwanzo, mwisho wa siku unaanza kusingizia uraia wa nchi nyingine, very shamefulWangewarudishia kwanza wazawa wa SA ardhi yao iliyoporwa kabla ya kuzungumzia masuala ya Tanzania. Katika uchaguzi huu, endapo wananchi wazalendo wasingeona mbali na kufanya uamuzi mzuri wa kuwakataa hawa vibaraka wa London & Washington, basi nchi yetu ingetumbukia na kuzama kwa mara nyingine tena katika minyororo ya utumwa na kwenye lindi la ukoloni, ambamo Rais Magufuli amejitahidi kwa kiasi kikubwa kutunasua na kutunusuru.
Alafu anasema anaenda kupambana na rushwaDunia nzima imeshuhudia Wizi wa CCM
Malalamiko mengi ni hisia tu. Kilimanjaro wameacha ukabila wamechagua maendeleo, kwa hiyo ulidhani Chadema itapona?
Sijui tuwaite maharamia sijui tuwaite majangili au wezi washamba!Wizi walifanya akina mkapa na kikwete lakini huu NI UJAMBAZI KABISA.
Lipumba anasema kuna mbunge wake alikwenda kupiga kura kwenye kituo akiwa na familia yake ya watu 7.
Cha. Ajabu huyo mbunge wake amepata kura 00000000.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Yaani mpaka kura yake watu wamepita nayo.
Huu uchaguzi CCM walikuja na matokeo yao, kura za wananchi zimechakachuliwaToa hoja yako mwenye akili nyjngi basi!! Acha kubwabwaja tuuu!!
Sijuwi tuwaite maharamia sijuwi tuwaite majangili au wezi washamba!
Wewe ulikuwa wapi wakati CCM wanafanya hayo? Kwa hiyo wewe ni zezeta basi!!Huk uchaguzi ccm walikuja na matokeo yao, kura za wananchi zimechakachuliwa
Assume nilikuwepo, Je ningefanya nini??Wewe ulikuwa wapi wakati CCM wanafanya hayo? Kwa hiyo wewe ni zezeta basi.!!
Dunia nzima inapinga mapinduzi ya october 28. CCM imepora dola.
Ovyoooo kabisaa...Sasa kama watz wameamua nyinyi mnataka muwalazimishe kuchagua upinzani? Kwa nini msiende mahakamani? Sasa nyinyi wakati wa kampeni mlikuwa mnahangaika na kuwaeleza watz jinsi utakavyoingia barabarani kupitia beberu Amsterdam. Kama hamjui watz hawapendi kibaraka hata siku moja.
Watakuwa wametumwa na HASHIMU RUNGWE..NA LIPUMBA...Hawa akina EFF wanahoji eti mtu kapata 84% ya kibali cha watanzania kuwaongoza, inakuwaje kuwaogopa 16% ya walioshindwa wanapoandamana kwa amani? EFF wametumwa na nani?
Ni walewale
Waangalizi walikataliwa wangeingiaje?Hawa jamaa walileta mwangalizi ili awape ukweli? Au wanahukumu kwa kusikiliza upande mmoja?
CCM iliandaa waangalizi fakeWaangalizi wengi walizuiwa na ccm ndio iliyokuwa inachagua nani wa kuwaangalia na ni nani asije.