Elections 2015 Tamko la Edward Lowassa Baada ya NEC Kumtangaza Dr Magufuli Kuwa Mshindi wa Kiti cha Urais

So sad jinsi yeyote akigusa matok?o anakamatwa na computer yake
 
Hivi huyu mheshimiwa Lowasa atapewa nafasi gani katika chama ili alinde maslahi yake na wale waliochangia uchaguzi?
 
Mbowe na wabunge wote wa ukawa wajiuzulu nafasi zao kumuunga mkono Rais wao kuonesha wanaamini madai haya.

Too low man! You lost you are credibility! Muda si mrefu tutaambiwa kwa ulimi wako usha mlamba Dr. Mihogo 0713 yake.
 
Tupe maelekezo sisi wafuasi wako hapa TANZANIA tufanyeje!

Hata huo ushindi feki tuna uwezo wa kuutengua!
 
kama LAURENT BAGBO VILE,YAANI NA HIVI UPO NJE YA IKULU WALA HUTUSUMBIU AKILI,ETI RAIS,ITAKUWA RAIS WA MONDULI
 
1980. .
Jomo Kenyatta alisema haya; _

"Kenya naongoza wagonjwa mahututi ila siku wakizinduka, hapatakalika. ..
Ila kiongozi wa Tanzania anaongoza MAITI , ni ngumu hawa watu kufufuka. .. "

SHKAMOOh
MZEE
JOMO
KENYATTA
 
Word!...

Ingawa hilo halitatokea...Wataenda bungeni...Wataapa....Baadae watatoka kwenye hotuba ya Rais kufungua Bunge...Kisha watarudi baada ya hotuba....Na JPM ataendelea na kazi yake ya Urais wa JMT mpaka 2020

Kwa mtu mwenye maono ya kiuongozi, likitokea jambo hili lazima atajua kuna mushkeli mahali hivyo ni lazima kutafuta njia ya kuwarudisha watu wawe wamoja. Na sio kuonyesha kiburi ambacho hakita lijenga taifa kama ilivyo sasa.
 
1980. .
Jomo Kenyatta alisema haya; _

"Kenya naongoza wagonjwa mahututi ila siku wakizinduka, hapatakalika. ..
Ila kiongozi wa Tanzania anaongoza MAITI , ni ngumu hawa watu kufufuka. .. "

SHKAMOOh
MZEE
JOMO
KENYATTA

Kenyatta alikufa 1978. Huo mwaka 1980 alizungumza kutoka kaburini
 
Hivi huyu mheshimiwa Lowasa atapewa nafasi gani katika chama ili alinde maslahi yake na wale waliochangia uchaguzi?

mkuu mzee amechanjiwa na matajiri ili waje walau kufidia kwenye gesi : sasa sijui itakuwaje na hali hii
 

Ni kweli mm binafsi ninauzuni maana nikifikilia gharama alizozitumia yule mzee ni hatari yaan kala hasara ambayo hajawah kupata toka kazaliwa inauma sana...!
 
Lowassa wewe ni mtu wa Mungu, ulisema utasamehe 7?70. Naomba na hili usamehe 7?70 mzee. Hatuko tayari kuchinjana sababu ya masiasa yenu hayo. Kama ni mpaka tone la mwisho zianze na familia zenu kwanza sawa mzee.
 
Pimaaa
Safari ya matumaini
Safari ya matumain
Safari ya matumai
Safari ya matuma
Safari ya matum
Safari ya matu
Safari ya mat
Safari ya ma
Safari ya mab
Safari ya maba
Safari ya mabad
Safari ya mabadi
Safari ya mabadil
Safari ya mabadili
Safari ya mabadilik
Safari ya mabadiliko
Safari ya mabadilik
Safari ya mabadili
Safari ya mabadil
Safari ya mabadi
Safari ya mabad
Safari ya maba
Safari ya mab
Safari ya ma
Safari ya m
Safari ya mo
Safari ya mon
Safari ya mond
Safari ya mondu
Safari ya mondul
Safari ya monduli 🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃[/
 
Ulitaka kusiwe na ulinzi hata kwako na mkeo na wanao unaweka ulinzi sembuse mkuu wa nchi
 
day dreaming in his safari ya matumaini ya kuukwaa urais wa JMT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…