Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Dar ni wengi mno, watengeneze mechnism ambapo wananchi watapata fursa ya kuwataja wahamiaji haramu. Wakenya wengi sana wapo hapa, hata wazungu pia. Wanafanya kazi bila vibari
 
waondoke kesho naelekea Ngara nitawahimiza kuondoka.
 
wewe umeongea vizuri na kuelewesha vizuri. ubarikiwe.asante.
lakin wengine wanatukana tu

Nashukuru umeelewa,na nxt tym usijifanye we unajua haki na kufikiri kuliko wengine! Mungu akutie nguvu
 

Kwani walipanga kukaa Tz milele?
Au walikua wanangojea mradi wa vitambulisho ili wajiandikishe?
Mtu kwao bhana wahenga walisema.
 
Kwani walipanga kukaa Tz milele?
Au walikua wanangojea mradi wa vitambulisho ili wajiandikishe?
Mtu kwao bhana wahenga walisema.

Leo nilikuwa kwenye awamu ya pili ya mchakato wa vitambulisho vya taifa, ukiwa na sura ya Kinyarwanda nyarwanda inabidi uhojiwe kwa kina zaidi.
 
Dar ni wengi mno, watengeneze
mechnism ambapo wananchi watapata fursa ya kuwataja wahamiaji haramu.
Wakenya wengi sana wapo hapa, hata wazungu pia. Wanafanya kazi bila
vibari

Hii itamuasha Rais na Watanzania wote kuwa UKARIMU wetu usifanywe kitu cha mzaha.
 
Hakuna ubaya nchi yeyote to enforce sheria za uhamiaji au kulinda mipaka yake,lakini when you start discriminatory kutumia hizo sheria kwa watu fulani to score a political point that is a big problem,its obvlious hii ni matokea ya differences ya Kikwete na Kagame,politics za visasi na crackdown kama hizi ni very dangerous na mnaoshangilia hili the same politics na crackdown zinaweza kutumika kuwanyamazisha nyie(infact zimeshatumika),na hii nafikiri sio nzuri kwa EAC na inaweza ukawa msumari kwa uhusiano wa TZ na Rwanda,i hope Rwanda wataichukulia vizuri na kuona ni internal issue ya TZ na sheria zao za uhamiaji...la sivyo itakuwa another step to RIP EAC.
 
Hili jambo lazima tuliangalie kwa makini, maana pia kuna Watanzania wenzetu wanaishi Rwanda, wasijefanyiwa mizengwe.
 
Tusipende kuhukumu wengine jamani.Leo wao kesho matatizo utapata wewe.Utakimbilia wapi?.Unajua binadamu tuna matatizo sana.Natoa mfano,siku moja zamani ,kuna jamaa pembezoni mwa DSM kulikuwa na ujambazi mkubwa na kulikuwa na kichaka kikubwa hapo[miti mingi mizuri na kuna giza].sasa watu walikuwa wanakabwa hapo.Wananchi wakasema tatizo ni ue msitu ,kwani watu wanajifisha hapo.basi wakakati ule msitu.pakawa wazi.Lakini wakaendelea kukabwa mchana peupe .na kuona kumbe waliuonea tu msitu .kumbe ni watoto wao wenyewe ndio majambazi.
 

Angalia kwenye red hizo utajua wewe siyo Mtanzania. Wanyarwa wanapende nile "nivile" Anaoingia badala ya anayeingia, mnafanya badala ya tunafanya, wanaowaibia badala ya wanaoyuibia, kwa hiyo wewe si mhusika.
Kwenda zako we Mnyarwanda
 
Niliwai kusema kuwa kimya kingi cha Kikwete kina mshindo, sasa alichokifanya Kikwete ni kum-overtake Kagame kwa kasi zaidi.

Akifanya na hivi na kwenye JANGA LA MADAWA YA KULEVYA,walau imani itarudi kidogo kwake..
 

Sasa jiulize kwann nyie watutsi tu ndo mfukuzwe? Mna shida gani? Unijibu. Sasa km unaona kagame atawapokea wajenge nchi yao walikua wakifanya nn hapa kwetu? Ugonvi mliuanza nyie sasa msilalamike. Na nyie mliojiingiza polisi msako unaanza soon. Stay tuned ww unayeishi 'carlifornia'... kama kuupigilia msumari uhusiano kati ya rwanda na TZ mlianza nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…