Rubi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,615
- 331
Hivi hujua moja ya strategi ya serikali ya Kagame ni kuwatumia wanawake wa kitusi ili afanikiwe lengo lake Kama huna taarifa uliza watanzania waliiooa watusi au wale waliopata kuwa na mademu wa kitusi watakujuza? kama wapo ambao hawajapata majanga basi ni wache sana wenye imani ya Mungu wengi yamewakuja?Hapo unaweza hata kumpata hata dem wa bure ukasepa naye huku kusini.
Wanaume wote vibolo mkononi wanaoendaga kufanya kazi Rwanda theni wakifika huko wakaingia kichwakichwa kwa kuwapapatikia mabinti wa kitutsi wanaojiona superior wamekutwa na majanga mengine nii ya kusikitisha na kutia aibu hayasimuliki.
TENA HUKO KUSINI NAKO PAMULIKWE maana kuna wengi walikuwa huko mpanda walipewa uraia na wengine hawakuomba lakini wapo wanaishi nao waangaliwe kwa jicho la tahadhari maana kiukweli wengi ni ploted hawaitakii mema Tanzania si aghalabu kukuta na matatizo ya mtwara wapo behind.