Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Tamko la JK lawaondosha Wanyarwanda Kagera! Waacha ng'ombe, mashamba na nyumba

Hapo unaweza hata kumpata hata dem wa bure ukasepa naye huku kusini.
Hivi hujua moja ya strategi ya serikali ya Kagame ni kuwatumia wanawake wa kitusi ili afanikiwe lengo lake Kama huna taarifa uliza watanzania waliiooa watusi au wale waliopata kuwa na mademu wa kitusi watakujuza? kama wapo ambao hawajapata majanga basi ni wache sana wenye imani ya Mungu wengi yamewakuja?

Wanaume wote vibolo mkononi wanaoendaga kufanya kazi Rwanda theni wakifika huko wakaingia kichwakichwa kwa kuwapapatikia mabinti wa kitutsi wanaojiona superior wamekutwa na majanga mengine nii ya kusikitisha na kutia aibu hayasimuliki.

TENA HUKO KUSINI NAKO PAMULIKWE maana kuna wengi walikuwa huko mpanda walipewa uraia na wengine hawakuomba lakini wapo wanaishi nao waangaliwe kwa jicho la tahadhari maana kiukweli wengi ni ploted hawaitakii mema Tanzania si aghalabu kukuta na matatizo ya mtwara wapo behind.
 
kwa iyo hii ndo sababu ya watanzania kuingia kwenye uhasama wa kijinga na rwanda??
Hivi wewe kule kwenue Rwandwa mbona asilimia 90 ya vijana wa kiume ni wavuta unga ila kutangaza munaona aibu kwa kuwa mmejivika kitambaa cha utakatifu ndio maana kamwe hwezi kutangaza. Vile vile kusema ndio sababu ya kuingia kwenye uhasama na Rwanda unakosea sana hivi nyie kuwaua binadamu wenzenu mnaona ni kama kuchinja kuku ndio maana unaona ni ujinga mtu akiwashauri muache kuwaua Wakongomani kwa sababu kweni ni kama kuua nzi.

Hivi huko Kongo mnafanya nini? maana sasa hivi tunasikia mnawasomba kwa nguvu vijana waliomaliza chuo na kidato cha sita mnawapeleka Kongo wakajiunge na M23 na wakikataa mnawatishia kuwaua na kutowapa vyeti/shahada zao za kuhitimu?

sasa hizo zote ni alama za nykati abazo Tanzania inabidi tuzisome ILA TAMBU HAWANA UHASAMA NA WANYARWANDA SIE TUNAWAPENDA NA KUWAJALI NA HATUJAWAHI KUWA NA CHUKI BAINA YETU ILA kwa faida zenu na ubinafsi uliwatawala mumeanza kuwachukia Tanzania from no where kibaya zadi mnapandikiza chuki zenu mpaka kwa watoto wenu ambao ni marafiki zetu na pengine tumesoma na kucheza pamoja mmefanya mpaka urafiki wetu unakuwa wa mashaka tuongee kwa tahadhari, tusitaniane kama zamani na tutembeleane inapobidi. hivi nyie inawafuraisha mbona duniani ni mapito tu hayo yote ni ya nini?
 
Hivi hujua moja ya strategi ya serikali ya Kagame ni kuwatumia wanawake wa kitusi ili afanikiwe lengo lake Kama huna taarifa uliza watanzania waliiooa watusi au wale waliopata kuwa na mademu wa kitusi watakujuza? kama wapo ambao hawajapata majanga basi ni wache sana wenye imani ya Mungu wengi yamewakuja?

Wanaume wote vibolo mkononi wanaoendaga kufanya kazi Rwanda theni wakifika huko wakaingia kichwakichwa kwa kuwapapatikia mabinti wa kitutsi wanaojiona superior wamekutwa na majanga mengine nii ya kusikitisha na kutia aibu hayasimuliki.

TENA HUKO KUSINI NAKO PAMULIKWE maana kuna wengi walikuwa huko mpanda walipewa uraia na wengine hawakuomba lakini wapo wanaishi nao waangaliwe kwa jicho la tahadhari maana kiukweli wengi ni ploted hawaitakii mema Tanzania si aghalabu kukuta na matatizo ya mtwara wapo behind.[/QUOTE}
Hapo boild,italized na underlined...hapajanipendeza......
 
Hapo boild,italized na underlined...hapajanipendeza......[/QUOTE]

kwani na wewe ni mmoja wao! mimi kiukweli hapana naongea kwa uthibitisho maana nimeshuhudia utakuta mtu anaenda kufanya kazi nyumbani kaacha mke na watoto akifika huko anasahau kama kuna mke na watoto kweli hao ni vibolo mkononi nimeshaona Wanaume zaidi ya wawili mmoja kila mke akitaka kwenda kumtembelea anamwambia hata mimi ndio naja hivyo mke anaacha kwenda mwhisho wa siku kaugua kapoeza fahamu mke anataarifiwa anakwenda ndio anajua siri ya mtungu mume alishaoa tena kwa kufnga ndoa kazaa na mtoto lakini baada ya kuugua tu yule mke si kamtosa cha ajabu akazuia na mali zote hivyo mke akaishia kumuuguza mumewe badhati mbay alirudi Tanzania na maiti ya mumewe maana hakupona.

Mwingine nae hivyo hivyo mpaka sasa kabanwa na shangingi ili hali mkewe alimwacha nyumbani na watoto sita tena wakubwa mwisho kaishia kutoa talaka kwa mkewe ili yeye aendelee na shangingi sasa hao ni mfano hai wako wengi waliopatwa na majanga maana hao wanawake wanaoitwa wa kitutsi akishapata anachotaka humuoni ingawa pengine wako wachache wenye mapenzi ya dhati lakini wengi mmh usishangae ukamuoa akija kwako anakwambia huyu ni kaka yangu kube mume mwenzio.
 
Mji wa Biharamulo umeanza kutoa matangazo kwa kutumia magari vijijini kuwaomba Wanyarwanda kuanza kuondoka nchinio

1. Bei za ng'ombe zimeshuka kwa 50% ikizingatiwa Rwanda walishaondoa marufuku ya kuingiza ng'ombe

2.majumba wamewakabidhi baadhi ya ndugu na marafiki wa Kitanzania.

3. Wengine wameaanza kukimbilia Arusha , Dar es salaam na mikoa ya pembezoni mwa Kagera.

Hii ni kutokana na agizo la raisi alilojionea .

Baada ya kushitushwa na escort kubwa ya magari na silaha nzito kuvuka pori la Kasindaga /Burigi Kagera na kuona baadhi ya makundi ya ng'ombe ya Wahima kutoka Rwanda.

Ingawa baada ya kuwaoji wengine wamehusisha na kutokuwepo na mahusiano mazuri bana ya Kagame na Kikwete kuwa ndo sababu ya kurudishwa Rwanda.

My heart bleeds for Tz! Such a country with enormous potential to be not only EAC economic power house, but a continental one as well! But guess what...Tanzanians are too confortable with their inferiority complex & ignorance. For them, they are the 'good guys' everyone else is a villain. Kenyans are this, Ugandans & Rwandese are that...! Well, but ofcourse they have nothing to compare their 'confort with' and they are lost in history. I giggle with sadness for example when I see how many Bongoz cite the 1979 incident with Idd Amin to assert their military capabilities...what a fuss! And u know what is even more interesting? They mumour a war with Rwanda, & expel pple that know their territory inside-out...what a clever strategy!

We must all realize that name-calling, prejudices and complexes will neverbuild Africa. The Western or Eastern powers that are constantly cited as being a reason why everyone is 'jealous' of Tanzania, derive their strength from diversity, not seggregation.




Ahhh...and guess what, Tanzania has nothing to gain from SADC than from EAC...SA is using you & milking ur illitrate population through your corrupt leaders. Look around Dar whether it's hospitality industry or new shopping centres, how much shares do Tanzanians have? The mining sector, etc...
 
Hao majamaa wa kinyarwanda warudi tu! Hivi wanadhani sisi ni miti na wanyama? Mbona hawatulii kwao? Wakija bongo wanaua ndugu zetu,wanavamia mashamba yetu,wanabaka wake zetu na mbaya zaidi,wanaiba mali zetu.sasa ndo ujirani gani huu? Silaha nzito hawaachi nyuma.mi nimewashuhudia kwa macho yangu mwaka juzi nikiwa masomoni huko LUKOLE HIGH SCHOOL,NGARA.hawana huruma hawa majamaa.waondoke tena haraka iwezekanavyo.balaa gani hili? MAJANGA!!
 
RWANDA NI NCHI NDOGO SANA,naweza kuilinganisha na mkoa wa kagera.sasa kama wanataka vita na kambi kubwa kama hii yenye mikoa 30 na ushehe basi wathubutu kukutwa na bwana jk.watathibitiwa kiseya mpaka wababuke.wao waende zao wakafie mbali huko.
 
SYMPHATHY FOR MY BELOVED BROTHERS AND SISTERS OF KAGERA REGION.nikiwa kama mkwelima wa wahangaza,inaniuma sana kuona wakwe zangu wanapatwa na majanga kama hayo.mwaka 2012 mwanzoni walianza kupitisha mifugo yao pande za ntobeye ngara,wakaua watu wengi tu.sasa tena bimlo,duh! mbona makubwa haya jamani? huko kwao hapakaliki nn?
 
RWANDA NI NCHI NDOGO SANA,naweza kuilinganisha na mkoa wa kagera.sasa kama wanataka vita na kambi kubwa kama hii yenye mikoa 30 na ushehe basi wathubutu kukutwa na bwana jk.watathibitiwa kiseya mpaka wababuke.wao waende zao wakafie mbali huko.

Rwanda ni nchi ndogo sana? The good thing ni kwamba inaanza kutanuka kaka...ask Kabila how & why M23 started! Utajua what might be awaiting Tz na ubaguzi imeanzisha against Kinyarwanda speking Tanzanians!
 
Naamini wanyarwanda watajutia mifugo yao, wamejazana wakifuga maeneo ya vijiji vya Mavota, Nyakayenze, Nyakanazi, Nyantakara, Msalabani,Lusahunga, Runzewe, Nyampalahala...vyote vyapatikana wilayani Biharamulo. Na wanachungia mifugo yao katika pori la hifadhi la Biharamulo japo siku hizi Maliasili wameweka kambi hapo walau imepunguza kasi zao.

Kagame alisahau ihsaan zote na uhuru waliofanyiwa na Tanzania.

Kahama na Mwanza pia wamejaa, ningeshauri uhamiaji wangeanza kusimamisha mabasi na kufanya ukaguzi.

Pale Dar (Ukonga na Kitunda) pia wametapakaa sana, nawajua wengi sana eneo hilo na wamejiimarisha kwa kujenga.

Ukiingia mgodi wa Tulawaka, kwa wale vibarua wanaojishughulisha pale wengi wao ni Wanyarwanda. Wanaoongoza kwa uporaji na kuuliwa na askari wa mgodi huo...wengi wao ni wanyarwanda.

Wanaoongoza utekaji magari na hasa mabasi eneo la mkoa wa Kigoma, Kagera na Geita...ni wanyarwanda. Nimeyashuhudia hayo.

Pale Katoro, wanaoongoza kujishughulisha na pilika za biashara wapo wanyarwanda wengi tu pale. Ukienda kwenye mgodi wa Nyarugusu na pori lote la hifadhi wa mlima kati ya Katoro-Geita...wanaofugia msitu ule ni wanyarwanda.

Ukienda Ilemela kule wanapouza mbao...wanaoingiza na kusafirisha mbao wengi wao ni Wanyarwanda na nawajua sana.

Ukiwa eneo moja katika kijiji cha Mkunkwa pale wilayani Biharamulo...asilimia 50% ni wanyarwanda.

Serikali ingeomba msaada hapa JF tuwaonyeshe mahali zaidi, au ifungue link maalum tuwape muongozo.

swali ni je,hao Wanyarwanda unaowasema wana vibali vya kuishi nchini?
 
Naomba kukosoa kicha cha habari hii wandugu, si kwa ubaya bali kuweka mambo sawa. Jamani Rais JK hajatoa tamko la kuwaondosha Wanyarwanda Kagera/Tanzania bali alitoa tamko la kuwaondoa wahamiaji haramu awe mnyarwanda, awe mmadagascar, awe mrundi, awe mkenya awe kutoka nchi gani anayeishi hapa nchini kinyume na utaratibu. Hana passport, hana hati ya ukimbizi nk. Wakimbizi halali na wale wote walio nchini kiutaratibu hawahusiki humu.

Hivyo naomba tunavyojadili humu tusiongeze chokochoko zisizo na sababu. Kama wewe si mtanzania usitegemee Tanzania kugombana na Rwanda sahau kabisa. Kwa taarifa yako Kikwete siyo zoba unavyodhani ni raisi makini na mpenda ujirani mwema.
 
Rwanda ni nchi ndogo sana? The good thing ni kwamba inaanza kutanuka kaka...ask Kabila how & why M23 started! Utajua what might be awaiting Tz na ubaguzi imeanzisha against Kinyarwanda speking Tanzanians!

Acha kutishia nyau watu wazima bwiga weee
 
Kwa jinsi ninavowajua watutsi,hata wakifukuzwa kwa viboko sitowahurumia!Wana roho mbaya jamanii,mwee usiombe.Kama unawajua vizuri,kamwe huwezi kuwatetea even if wanaonewa.BORA WAHAMIAJI HARAMU 100 KUTOKA ZAMBIA,KULIKO MHAMIAJI HARAMU AU HALALI M1 KUTOKA RWANDA!!!Mi nashauri wanyimwe vibali hata kama watafuata utaratibu kwa sababu hawa watu wanaweza kutusaliti any time t kutokana na UKABILA walionao.
 
SYMPHATHY FOR MY BELOVED BROTHERS AND SISTERS OF KAGERA REGION.nikiwa kama mkwelima wa wahangaza,inaniuma sana kuona wakwe zangu wanapatwa na majanga kama hayo.mwaka 2012 mwanzoni walianza kupitisha mifugo yao pande za ntobeye ngara,wakaua watu wengi tu.sasa tena bimlo,duh! mbona makubwa haya jamani? huko kwao hapakaliki nn?

watu wa kagera walirudi sana nyuma kimaendeleo kwa sababu ya hawa blood sucker, wanachuma wanapeleka kwao halafu yanatutukana , tukichukua hatua yanaanza kulia kinafiki soma vitabu walivyoandika watusi vyenye uchochezi wa kikabila dhidi ya jamii nyingine unaweza ukaanzisha vita kwa kutumia fimbo kwenda kumtoa huyo nyoka hapo kigali. Hamna zawadi kubwa ya kikwete kwa watanzania kama atavuruga hii mitandao yote aliyiiweka kagame hata kwa nguvu za kijeshi.
 
Zoezi liendelee mikoa yote na kwa raia wote wageni, likiisha nasubiri muungano kufa wapemba wote kwao kudadeki isiwe tabu kila mtu na kwao,mpango wa kufanya tanganyika shamba la Bibi ukome.
 
Acha kutishia nyau watu wazima bwiga weee

Sisi hatutishi kaka...mtajuta soon or later. Halafu wala sio kwamba Rwanda inatakiwa kufanya chochote, hao watoto waliochishwa mama/baba ndo watakuja kulipsha kitu safi badae...
 
Sisi hatutishi kaka...mtajuta soon or later. Halafu wala sio kwamba Rwanda inatakiwa kufanya chochote, hao watoto waliochishwa mama/baba ndo watakuja kulipsha kitu safi badae...

Sio rahisi kama unavyofirikiria
 
Back
Top Bottom