Stan Mashamba
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 3,183
- 2,479
Umenena vema ila ni kinyume na utashi wa CCM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha nimeitoa kwenye maktaba ya shule ya msingi Sumbawanga.
Hata mamlaka ya shetani inatoa mamlaka piaPadre alikiuka muongozo wa nchi kuhusu itifaki ya utoaji taarifa kuhusu ugonjwa wa UVIKO. Tiini mamlaka za nchi kwa maana nazo zimetoka kwa MUNGU WA MBINGUNI
Ndiyo maana na sisi tukapata dikteta kama Uganda na RwandaKama mbingu zinaweza kutoa mamlaka duniani, Jehanum nayo ina uwezo huo
Ndiyo maana na sisi tukapata dikteta kama Uganda na RwandaKama mbingu zinaweza kutoa mamlaka duniani, Jehanum nayo ina uwezo huo
Usichokijua bora ufunge domo lako!Andiko lako limeshiba, limeenda shule na linafundisha.
Kiufupi hatuna usalama wa Taifa, tuna usalama wa CCM wenye mbinu za medani za kuiwezesha CCM kuendelea kubaki madarakani kimagumashi lakini hopeless kabisa kwenye mambo ya haki za wananchi!
Hata kama mlifanya utafiti majibu yenu mlipaswa kupeleka kwa waziri ambaye ndiyo msemaji wa masuala ya Afya ya watanzania. Vinginevyo tunarudia kuwaambia tiini mamlaka, bila hivyo mtaonekana wafanya fujoUmeandika maelezo mazuri sana ya namna utafiti unavyofanyika kuanzia satage ya mwanzo kabisa inayohusiana na kitu ambacho huwa kina-trigger uwepo wa hypothesis (kuona). Hata hivyo umesahau kuandika chochote kuhusiana na "heading" au kichwa cha habari cha bandiko lako. Very good short notice on "scientific reaseach approach"
Kama umesoma falsafa huwa kuna 'substance (mambo ya msingi) and accident (mambo yasiyo ya msingi)'. Kwenye mjadala huu jambo la msingi ni hoja anayoijadili. Whether anafundisha Sumbawanga au Kinyerezi si jambo la msingi kwenye mjadala huu. So, it's useless to concentrate on it.Mara useme umefundisha kanuni ya OPHETA kama mwalimu wa Sekondari, ghafla umegeuka unasema wewe ni mwalimu wa Sumbawanga Primary School.
Nashindwa kupata namna nzuri ya kuchangia kwenye mjadala huu. Kila ninachojaribu kukiandika nakifuta. Najionea huruma na inasikitisha sana!Hata kama mlifanya utafiti majibu yenu mlipaswa kupeleka kwa waziri ambaye ndiyo msemaji wa masuala ya Afya ya watanzania. Vinginevyo tunarudia kuwaambia tiini mamlaka, bila hivyo mtaonekana wafanya fujo
Tutiii tuuu hata kama tunaelekea shimoni? Kumbuka hata madikteta kama Hitler nazo zilikuwa mamlaka.Padre alikiuka muongozo wa nchi kuhusu itifaki ya utoaji taarifa kuhusu ugonjwa wa UVIKO. Tiini mamlaka za nchi kwa maana nazo zimetoka kwa MUNGU WA MBINGUNI
Unamfahamu Kitima vilivyo? Unayajua madudu aliyofanya SAUT Mwanza? Au unadhani kwa sababu yeye ni padre basi amekuwa mtakatifu hana mapungufu? Unaijua bussiness aliyokuwa anaifanya na CRDB pale SAUT? The motive behind unajua?Mamlaka zinazotoka kwa Mungu wa mbinguni hazina kashfa ya kura za kwenye mabegi meusi.
Hata sijakuelewa kuhusiana na hii madaHata kama mlifanya utafiti majibu yenu mlipaswa kupeleka kwa waziri ambaye ndiyo msemaji wa masuala ya Afya ya watanzania. Vinginevyo tunarudia kuwaambia tiini mamlaka, bila hivyo mtaonekana wafanya fujo
Hata kama mlifanya utafiti majibu yenu mlipaswa kupeleka kwa waziri ambaye ndiyo msemaji wa masuala ya Afya ya watanzania. Vinginevyo tunarudia kuwaambia tiini mamlaka, bila hivyo mtaonekana wafanya fujo
Hata Kama kiongozi amepatikana kwa kuiba kura Basi tuendelee kutii tu?Padre alikiuka muongozo wa nchi kuhusu itifaki ya utoaji taarifa kuhusu ugonjwa wa UVIKO. Tiini mamlaka za nchi kwa maana nazo zimetoka kwa MUNGU WA MBINGUNI