Tamko la Padre Kitima na changamoto ya Korona dhidi ya Usalama wa Nchi: Tunakwenda wapi baada ya hapa?

Tamko la Padre Kitima na changamoto ya Korona dhidi ya Usalama wa Nchi: Tunakwenda wapi baada ya hapa?

Hata kama mlifanya utafiti majibu yenu mlipaswa kupeleka kwa waziri ambaye ndiyo msemaji wa masuala ya Afya ya watanzania. Vinginevyo tunarudia kuwaambia tiini mamlaka, bila hivyo mtaonekana wafanya fujo
Mungu mwema wa mbinguni. Huyu Lu-ma-ga naomba afiwe mke, baba, na hata mama yake mzazi . Tuone kama atamsubiri huyo waziri mkuu au waziri mwenye dhamana amtangazie huo msiba !!. Watu mnajikomba mpaka mnatia aibu utu wenu.

Mamlaka zingine siyo za kuendekeza. UKWELI USEMWE . Kwanini tunaionea Corona aibu ?! Gonjwa lenyewe limeanzia huko China na si Tz
 
Unamfahamu Kitima vilivyo? Unayajua madudu aliyofanya SAUT Mwanza? Au unadhani kwa sababu yeye ni padre basi amekuwa mtakatifu hana mapungufu? Unaijua bussiness aliyokuwa anaifanya na CRDB pale SAUT? The motive behind unajua?
Hoja, siyo mtu !!. Huko kwenye vipi ?!
 
Mara useme umefundisha kanuni ya OPHETA kama mwalimu wa Sekondari, ghafla umegeuka unasema wewe ni mwalimu wa Sumbawanga Primary School.

Soma vizuri. Nafundisha Simbawanga Primary School. Kama ukiweza, Ukija utanikuta pale pale walahi. Karibu
 
Nashindwa kukujibu hapa Mama Amon. Nikiangalia kama vile uko sawa, lakini nafsi yangu pia haikubaliani na namna Covid 19 walivyoingia na kuendelea kubaki bungeni.

Hao wadada wamewaachia maumivu makubwa supporters waliojitolea kuwaunga mikono. Wengine wako magerezani, vilema, na hata kufirisiwa. Halafu nini !!. Wanashirikiana na system kuingia bungeni dhidi ya chama !!. Bado siwaelewi

Mwisho nakuona ukiwakemea Cdm kuchakachua utaratibu. Lakini sikuoni ukiilaani system kuendesha uchaguzi wa hovyo kabisa kutokea duniani !!. Sijui ni kunguru muoga ?!
 
Padre alikiuka muongozo wa nchi kuhusu itifaki ya utoaji taarifa kuhusu ugonjwa wa UVIKO. Tiini mamlaka za nchi kwa maana nazo zimetoka kwa MUNGU WA MBINGUNI

Majizi ya kura mnalazimisha kila mtu kuamini ushirikina, kwa hili la corona, serikali ya majizi ya kura watu wenye akili wamewaonyesha enough is enough. Watu wanasema ukweli liwalo na liwe.
 
Mwisho nakuona ukiwakemea Cdm kuchakachua utaratibu. Lakini sikuoni ukiilaani system kuendesha uchaguzi wa hovyo kabisa kutokea duniani !!. Sijui ni kunguru muoga ?!
Msingi wa kukemea CHADEMA ni ushahidi nilio nao.
Msingi wa kukemea system unaanzia kwenye ushahidi ulio mikononi mwa CDM.
Mpaka leo hawajafanya postmortem ili kutupa facts.
Hata Lissu alipoongea na waandishi wa habari just after elections hakuweka concrete facts mezani.
No concrete facts no ground for speaking against the system.
CDM wanafanya post morten analysis lini?
Any idea?
 
Hapa umesema ukweli, na sina tatizo na huu ukweli wako, ila umeamua kusema ukweli sasa dhidi ya cdm kwakuwa tu sasa ww ni Covid 19, na hufaidiki tena na cdm bali na mfumo.
 
CDM wafanye postmortem wasifanye hiyo ni juu yao, lakini wengi wetu uhuni na uhayawani ule wakati wa uchaguzi mkuu tumeuona kwa macho yetu. Na hata cdm wakiweka huo ukweli unaosema, chombo gani kitaongea kwa huyu mlevi wa madaraka?
 
Hapa umesema ukweli, na sina tatizo na huu ukweli wako, ila umeamua kusema ukweli sasa dhidi ya cdm kwakuwa tu sasa ww ni Covid 19, na hufaidiki tena na cdm bali na mfumo.
Badala ya kuongelea ukweli niliousema unaongelea kwa nini nimesema ukweli huo.
This is a tangential argument.
Ishia hapo.
 
wengi wetu uhuni na uhayawani ule wakati wa uchaguzi mkuu tumeuona kwa macho yetu. Na hata cdm wakiweka huo ukweli unaosema, chombo gani kitaongea kwa huyu mlevi wa madaraka?
Kauli kwamba "wengi wetu ...tumeona kwa macho yetu" haina mashiko.
Kinachotakiwa ni taarifa za mawakala wa CDM.
Then, taarifa hizo zigonganishwe na taarifa za NEC ili kujua divergence per polling station.
Postmortem analysis kama hiyo inayo manufaa kwa chama, hata kama sio kimahakama.
 
umeamua kusema ukweli sasa dhidi ya cdm kwakuwa tu sasa ww ni Covid 19, na hufaidiki tena na cdm bali na mfumo.

Terrible mistake of fact.

Kwa mawazo yako kati ya wale unaowaita COVID19 yupo mwenye "mwandiko" unaouona kwenye mabandiko ya akaunti hii?

Think again.
 
Badala ya kuongelea ukweli niliousema unaongelea kwa nini nimesema ukweli huo.
This is a tangential argument.
Ishia hapo.

Huo ukweli ulianza juzi ulipokuwa covid 19?
 
Wakala gani labda, hao waliotishiwa kupotezwa na kuharibiwa shughuli zao za kuwaingizia vipato? Haya tuliyoona kwa macho hatuhitaji yawe na mashiko kwako, maana hata yakiwa na mashiko kwako utafanya nini.
 
Wakala gani labda, hao waliotishiwa kupotezwa na kuharibiwa shughuli zao za kuwaingizia vipato? Haya tuliyoona kwa macho hatuhitaji yawe na mashiko kwako, maana hata yakiwa na mashiko kwako utafanya nini.
Topic closed.
Anzisha bandiko linalojitegemea juu ya topiki hii ya COVID19 plz
 
Back
Top Bottom