Tamko la Rais ni sheria: Je, Mawaziri wakiiba pesa za umma bila kuvimbiwa, wanaweza kushtakiwa?

Tamko la Rais ni sheria: Je, Mawaziri wakiiba pesa za umma bila kuvimbiwa, wanaweza kushtakiwa?

Si kasema kwamba anajua watu wanakula, ila wanavimbiwa, hiyo maana yake nini? Hujui maana ya nene ‘ulaji’ as in ‘kula’ ?
Ulaji upo dunia nzima. Ni heri yeye anakiri hadharani kuliko JPM aliyekuwa mkali kwa wasaidizi wake jukwaani lakini alikuwa na chain kubwa ya wapigaji.
 
Back
Top Bottom