Tamko la Rais ni sheria: Je, Mawaziri wakiiba pesa za umma bila kuvimbiwa, wanaweza kushtakiwa?

Si kasema kwamba anajua watu wanakula, ila wanavimbiwa, hiyo maana yake nini? Hujui maana ya nene ‘ulaji’ as in ‘kula’ ?
Ulaji upo dunia nzima. Ni heri yeye anakiri hadharani kuliko JPM aliyekuwa mkali kwa wasaidizi wake jukwaani lakini alikuwa na chain kubwa ya wapigaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…