TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

mtoa mada we ni stupid! Yan pengo umeona ndo wa kumtolea mfano humu! We hujui kama mtu akizeeka sana akili yake inachanganyikiwa? Hujiuliz why now kuna cardinal mpya? Yule now n kama mtoto wa miaka saba! Muachen apumzke
 
Ndugu Kamwaga haandamani dhidi ya "collective responsibility" ya taasisi....laa hashaa [emoji1787]

Ukisoma kwa utulivu UTAMAIZI kuwa amelenga kututanabahisha kuwa kuna wakati hizi NYARAKA za TAASISI zina malengo mengine kabisa....mbali na yale yanayoonekana na sisi "laymen" [emoji1787]

Na kufikia hayo malengo wako radhi wasigane vyovyote....rejea hilo la 2018....

Sasa kwa wao huwa wana "punda afe mzigo ufike" ila DOLA isiwe na "punda afe mzigo ufike"?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

DOUBLE STANDARDS gani hii ?!! [emoji1787]
 
Hivi wewe una maana gani? Issue ya mwaka 2018 unaileta leo ili ionekane ni kuwa ni hii ya kuhusu Bandari. Ukweli ni kuwa kuhusu tamko la juzi, Mwadhama Cardinal Pengo hakuwemo maana ni Askofu Mstaafu. Kwa rejea lipo hapo chini
Kutokuwemo kunazuia mfanano kati ya 2018 na 2023?
 
mtoa mada we ni stupid! Yan pengo umeona ndo wa kumtolea mfano humu! We hujui kama mtu akizeeka sana akili yake inachanganyikiwa? Hujiuliz why now kuna cardinal mpya? Yule now n kama mtoto wa miaka saba! Muachen apumzke
Mkuu kumbuka ni mwaka 2018? alikuwa ameshezeeka tayari kama alivyo sasa?
 
Siku zote ili kuelewa walichoandika ni sahihi kuwajua walioandika
 
Unajua kilichomkuta Pengo kwa hatua ile, au unadhani alistaafu? Kuna usichokijua.
Wenzio wale hawakurupuki ,
Baraza la Maaskofu lina mfumo na misingi yake kwenye kufikia maamuzi ya pamoja.
Sawa....

Kwao "punda afe mzigo ufike" ni sawa?!!!

Ila kwa dola na serikali si sawa ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi kweli wazazi wetu wametupeleka shule kujifunza "ungeseee wa fikra"?!!! [emoji1787]
 
mtoa mada we ni stupid! Yan pengo umeona ndo wa kumtolea mfano humu! We hujui kama mtu akizeeka sana akili yake inachanganyikiwa? Hujiuliz why now kuna cardinal mpya? Yule now n kama mtoto wa miaka saba! Muachen apumzke
Ha ha ha ha ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Argumentum ad hominem....

Hata aje malaika hakuchomoi "hapa jandoni"....zunga lako kabaki nalo Ezekiel Kamwaga [emoji1787]
 
Mkuu mimi nimeleta hoja ya kujadili, na ninaiongezea nyama kwa marejeo mbalimbali. Wewe umekuja na ufafanuzi, jambo jema kabisa. Acha mjadala uendelee
 
Umeandika
Moja ya vitu a,bavyo ni muhimu kwako Mleta mada linapokuja suala kam hili usiwe mrahisi kuweka nadharia zako kisha na kuaminisha wengine kisa tu huko nyuma ilikuwa imetokea hivyo.
Hata sisi tumeyasoma unayoelezea na kwa taarifa yako usipotoshe watu kuw Pengo alikiri kuwa wameamua ila hawakubaliana nanyo.
Sijui kama u mkatoliki au lah maan mambo mengine ni Mafundisho ya Kanisa. Kila jimbo katolili liko na ile mamlaka (AUTONOMY) ya kuamua tofauti na maamuzi ya maaskofu wenzake na hakuna Askofu mwenye mamlaka ya kumwajibisha askofu mwingine maana umemuweka pengo kama kiranja mkuu wa Kanisa katoliki Tanzania ili hali sio.Hata askofu akiandaa taarifa ya Jimbo lake inapelekwa Roma sio kwa maaskofu wenzie. Ukadrinali ni nafasi tu ya kuweza kupoga kira ya kumchagua baba mtakatfu kwa walio na sifa kiumri na kutoa hizi daraja za kiaskofu inapotokea na sio Mkuu wa kanisa ndo maana hata pale Dar anatakwa Ruwaich kama askofu mkuu na hata kwenye sala za kuliombea kaisa anatajwa Ruwaich na sio Pengo maana Umemshadadia kama msemaji wa kanisa katoliki Tanzania. Kama jambo hulielewi fanya jutafita au uliza usiongee ka mpagani tu.
Tunajua huyo pengo alivyokuwa mempenda mwenda zake na ni haki yake hatuchagulii mtu marafiki wa karibu au maadui.
Maaskofu wana vikao vyao wanavijua wao vya kamati na plennary na hasainiwi mtu kama ulivyoleta porojo humu.
Maaskofu kwa Hitimisho wanajua walichoandika na kusaini.
Hakuna Askofu angekubali kila jumapili parokia zote zisome kitu asichokielewa,
Umesoma mpaka Drarsasa la ngapi Kwanza////
 
Ila wa sasa si hakuna Askofu aliyejitokeza Kuupinga? Si unaona hata rais wa TEC anapigilia Msumari?
 
Umemjibu vema sana, ungemuongezea na tusi.
 
Ila wa sasa si hakuna Askofu aliyejitokeza Kuupinga? Si unaona hata rais wa TEC anapigilia Msumari?
Mkuu tunawajua ma Baba Askofu na misimamo yao- kwa colective responsibility sawa, lakini wako wenye misimamo binafsi
 
Acha kumchafua Kardinali wetu...

Uongo mweupe huo.....

Mzushi wewe....mzushi haswaa....

Mkishindwa hoja mnakimbilia UONGO na "tarnishing image of other people" kwa visingio vya kitoto [emoji15][emoji15][emoji15]


Alichokieleza ni ukweli mtupu usio na chembe ya doa.

kumbuka Gwajima alipomvaa Pengo kuwa amekula maharage ya wapi vile, hajui. Pengo aliwaruka wenzie kwny waraka kama hivi ila ilikuwa ni kwa magufuli
 
Ninachojua ni kwamba kila mwaka Kanisa Katoliki hutoa waraka wakati wa Kwaresimu na nyakati zingine "primarily" kulingana/kuendana na mahitaji ya "Kanisa mahalia" (local church). As far as I know, kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961 Kanisa Katoliki lilikuwa likitoa nyaraka kuhimiza mambo fulani mema au kukosoa mambo fulani yaliyokuwa yakifanyika enzi hizo. Records zangu zinaonyesha mwaka Julai 11, 1959 Kanisa Katoliki lilitoa wakara unaoitwa "Africans and the Christian Way of Life". Wakati wa Mwalimu Juliua Nyerere liliendelea kutoa nyaraka pia za kuhimiza/kukosoa mambo ambayo yalihitaji kuangaliwa kwa makini. Mfano, mwaka 1972 lilitoa waraka unaoitwa "Peace and Mutual Understanding" (Septemba 1972). Vivyo hivyo, katika awamu zingine had leo.

Kwamba wakati wa Benjamin Mkapa (1995-2005) TEC hawakuwahi kutoa waraka (which means kwa miaka 10 walikuwa TEC wali'mute' (hawakusema chochote) hapa ushahidi unahitajika kwa sababu kwenye any "claim" ni vizuri ku'justify'. Kanisa Katoliki enzi na enzi lina namna yake ya "kuinjilisha" which includes addressing socioeconomic, cultura, political and even moral dilemma issues (kama human cloning, genetic engineering, abortion, euthanasia, withdrawal of feeding to the terminally ill persons (whose are in "a vegetative state", homosexuality, extramarital intercourse, rape etc), ambayo siyo lazima iwe sawa au iendane na madhehebu mengine ya Kikristo au hata dini zingine. Hivyo, mtu hawezi kulichagulia Kanisa namna linavyoweza kuwasiliana au kufikisha ujumbe wake kwa waumini wake. It is impossible! Kanisa pia haliwezi kuwachagulia viongozi wa dini zingine namna wanavyoweza kuwasilisha ujumbe wao au kuwahubiria waumini wao. Kila kiongozi yuko huru kuhubiri au kutoa waraka kwa waumini wake kulingana na mahitaji ya waumini wake kama hiyo ni njia mojawapo ya kuhubiri kwa hao viongozi wa hizo dini. "Uniform preaching" (uniformity) naikuta tu hapa kwetu ambao viongozi wa dini wakiwa na jambo watumie njia fulani kufikisha ujumbe wao kwa waumini wao.

Wanasiasa wao wanakuwa huru kusema kile wanachoona kinafaa kwa wapiga kura wao. Kama mtu anakuwa na maoni yake kuhusu jambo fulani katika nchi yake, kwa nini viongozi wa dini nao wasiwe huru kutoa maoni yao kuhusu hilo jambo. Ubaya uko wapi au wanakuwa wamekiuka sheria au utaratibu gani? Hapa kutoa maoni, includes "constructive criticism". Ushauri wangu ni kwamba kujua namna Kanisa linavyoendesha mambo yake jifunze kutoka kwa Kanisa lenyewe (if you can and if you wish) na siyo kutoka kwa maoni ya watu wengine kwa sababu kila mtu ana maoni yake na unaweza ukali'judge' kanisa siyo kwa sababu liko wrong, bali kwa sababu kwa maoni ya mtu au watu wengine liko wrong, which is also wrong in itself. So, we shouldn't be prejudiced, but remain objective if at all we see ourselves objective or impartial critics. Ningekushauri uende kwenye archives za Kanisa Katoliki na ucheki nyaraka zake kuanzia miaka 1950s hadi sasa, halafu ndipo uje useme kwamba miaka ambayo walikuwa viongozi Wakatoliki TEC wali'mute' (hawakukosoa). Pili, kama Kanisa likitoa waraka leo it is useless kusema kwa nini miaka ya nyuma huko hawakutoa nyaraka (if at all it happened). Nikiamua kufanya jambo fulani leo ni uselss mtu kuniambia kwa nini sikufanya mwaka uliopita au mtu akiamua kuanza kuandika makala leo tuanze kusema kwa nini hukuandika mwaka jana au miaka iliyopita. It is illogical!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…