Siri wa Imwaga
Member
- Jul 29, 2021
- 6
- 8
Mosi, hadi sasa ni Askofu nani amelikana Hilo TAMKO?
Pili, kama Mkapa hakushauri ndio inaondoa uhalali wa SAMIA kushauriwa Leo? Je umelisoma TAMKO au na wewe umepita mbimbio tu? Hujasoma mahala wameandika kuhusu madhara ya uuzaji na WA rasilimali uliofanywa huko nyuma?
Je ni ulishawahi kuona siku Moja TEC Wametoa TAMKO la pamoja na viongozi wa dini nyingine? Na je kama hawakuafikiana? Na mwitiko wa hao viongozi wengine baada ya TAMKO haitoshi kukwambia kuwa hao viongozi wengine hawakukubaliana na TEC ?
Pili, kama Mkapa hakushauri ndio inaondoa uhalali wa SAMIA kushauriwa Leo? Je umelisoma TAMKO au na wewe umepita mbimbio tu? Hujasoma mahala wameandika kuhusu madhara ya uuzaji na WA rasilimali uliofanywa huko nyuma?
Je ni ulishawahi kuona siku Moja TEC Wametoa TAMKO la pamoja na viongozi wa dini nyingine? Na je kama hawakuafikiana? Na mwitiko wa hao viongozi wengine baada ya TAMKO haitoshi kukwambia kuwa hao viongozi wengine hawakukubaliana na TEC ?