TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

TAMKO la TEC: Upo uwezekano baadhi ya ma Baba Askofu hawajui kilichomo

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Unajua humu ndani kuna wasomi....na si watoto wa sekondari....

Umebana "P M B U" na kujikakamua kuja na utetezi huu wa kindezi ?!!!

Unapiga "dochi" mpira wa kuusukuma tu ?!!

Ujue humu tuko WAJAMAA tuliosomea "CUBA" [emoji1787][emoji1787]

Kwa bandiko hili hata mumlete malaika hatochomoa [emoji1787]

Karibu Wanzuki hapa kwa mama Lilly [emoji120]
Wala sijaelewa. Naona kama unadandia treni. Ni point gani hapo inayoonyesha wewe ni msomi kama hujajitekenya tu na kujichekesha?
 
Ninachojua ni kwamba kila mwaka Kanisa Katoliki hutoa waraka wakati wa Kwaresimu na nyakati zingine "primarily" kulingana/kuendana na mahitaji ya "Kanisa mahalia" (local church). As far as I know, kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961 Kanisa Katoliki lilikuwa likitoa nyaraka kuhimiza mambo fulani mema au kukosoa mambo fulani yaliyokuwa yakifanyika enzi hizo. Records zangu zinaonyesha mwaka Julai 11, 1959 Kanisa Katoliki lilitoa wakara unaoitwa "Africans and the Christian Way of Life". Wakati wa Mwalimu Juliua Nyerere liliendelea kutoa nyaraka pia za kuhimiza/kukosoa mambo ambayo yalihitaji kuangaliwa kwa makini. Mfano, mwaka 1972 lilitoa waraka unaoitwa "Peace and Mutual Understanding" (Septemba 1972). Vivyo hivyo, katika awamu zingine had leo.

Kwamba wakati wa Benjamin Mkapa (1995-2005) TEC hawakuwahi kutoa waraka (which means kwa miaka 10 walikuwa TEC wali'mute' (hawakusema chochote) hapa ushahidi unahitajika kwa sababu kwenye any "claim" ni vizuri ku'justify'. Kanisa Katoliki enzi na enzi lina namna yake ya "kuinjilisha" which includes addressing socioeconomic, cultura, political and even moral dilemma issues (kama human cloning, genetic engineering, abortion, euthanasia, withdrawal of feeding to the terminally ill persons (whose are in "a vegetative state", homosexuality, extramarital intercourse, rape etc), ambayo siyo lazima iwe sawa au iendane na madhehebu mengine ya Kikristo au hata dini zingine. Hivyo, mtu hawezi kulichagulia Kanisa namna linavyoweza kuwasiliana au kufikisha ujumbe wake kwa waumini wake. It is impossible! Kanisa pia haliwezi kuwachagulia viongozi wa dini zingine namna wanavyoweza kuwasilisha ujumbe wao au kuwahubiria waumini wao. Kila kiongozi yuko huru kuhubiri au kutoa waraka kwa waumini wake kulingana na mahitaji ya waumini wake kama hiyo ni njia mojawapo ya kuhubiri kwa hao viongozi wa hizo dini. "Uniform preaching" (uniformity) naikuta tu hapa kwetu ambao viongozi wa dini wakiwa na jambo watumie njia fulani kufikisha ujumbe wao kwa waumini wao.

Wanasiasa wao wanakuwa huru kusema kile wanachoona kinafaa kwa wapiga kura wao. Kama mtu anakuwa na maoni yake kuhusu jambo fulani katika nchi yake, kwa nini viongozi wa dini nao wasiwe huru kutoa maoni yao kuhusu hilo jambo. Ubaya uko wapi au wanakuwa wamekiuka sheria au utaratibu gani? Hapa kutoa maoni, includes "constructive criticism". Ushauri wangu ni kwamba kujua namna Kanisa linavyoendesha mambo yake jifunze kutoka kwa Kanisa lenyewe (if you can and if you wish) na siyo kutoka kwa maoni ya watu wengine kwa sababu kila mtu ana maoni yake na unaweza ukali'judge' kanisa siyo kwa sababu liko wrong, bali kwa sababu kwa maoni ya mtu au watu wengine liko wrong, which is also wrong in itself. So, we shouldn't be prejudiced, but remain objective if at all we see ourselves objective or impartial critics. Ningekushauri uende kwenye archives za Kanisa Katoliki na ucheki nyaraka zake kuanzia miaka 1950s hadi sasa, halafu ndipo uje useme kwamba miaka ambayo walikuwa viongozi Wakatoliki TEC wali'mute' (hawakukosoa). Pili, kama Kanisa likitoa waraka leo it is useless kusema kwa nini miaka ya nyuma huko hawakutoa nyaraka (if at all it happened). Nikiamua kufanya jambo fulani leo ni uselss mtu kuniambia kwa nini sikufanya mwaka uliopita au mtu akiamua kuanza kuandika makala leo tuanze kusema kwa nini hukuandika mwaka jana au miaka iliyopita. It is illogical!
Mkuu asante kwa mchango mzuri unaojenga kutafuta tabia ya TEC kutoa waraka, tabia inayowafanya watabirike. Swali ni kwa nini wakati wote wa MKapa (1995-2005) hawakutoa waraka? Could it be due to the fact that Mkapa was fear?/was Catholic? Lakini walifanya hivyo wakatiw Nyerere ambaye alikuwa maktoliki pia. Aidha walifanya hivyo ka JPM mkatoliki na seminariani kama Mkapa? kwanini wana tabia ambayo si rahisi kutabirika?
 
Pengo aliwahi kusema tamko la kanisa katoliki huwa linatolewa na TEC. Wake maaskofu wore wameweka sahihi, pia maaskofu sio vilaza was kuweka sahihi kwa kitu wasichokijua.
Labda tumuulize Kamwaga Kama amekuwa msemaji was maaskofu au Kuna maaskofu wamemtuma akawasemee.
Kwa kifupi yeye ni chawa anayetafuta fursa ya kuonwa na uongozi uliopo.
 
Kumbe Kamwaga nae ni chura wa Mama,

Anafikiri kupata uasikofu ni iazi nyepesi
 
Kuna ukweli ndani ya maneno yako....
emoji120.png


Ni sahihi kabisa kwa mama yetu "kuhamanika" kwa kukosa usingizi kwani TEC si taasisi ndogo ...ni taasisi kubwa na yenye heshima adhimu.....

Taasisi kama hiyo inapoandaa mpango wa KUMPINGA kiongozi mkuu wa nchi ni lazima ashtuke na sote tushtuke kwani USHAWISHI WAO NI MPANA SANA...na hizi nchi ni rahisi kuingia katika MITIFUANO isiyo kikomo pale inapoanzishwa na taasisi kama hizo......

JK ni mtanzania kama ulivyo wewe na mimi na anajua athari za maneno ya TEC....

Mwisho wa siku nchi ni lazima iendelee kuwa tulivu vyovyote iwavyo....upo mkuu ?!!

Karibu Wanzuki hapa ubandani kwa mama Lilly
emoji120.png

Mkuu asante kwa mchango mzuri unaojenga kutafuta tabia ya TEC kutoa waraka, tabia inayowafanya watabirike. Swali ni kwa nini wakati wote wa MKapa (1995-2005) hawakutoa waraka? Could it be due to the fact that Mkapa was fear?/was Catholic? Lakini walifanya hivyo wakatiw Nyerere ambaye alikuwa maktoliki pia. Aidha walifanya hivyo ka JPM mkatoliki na seminariani kama Mkapa? kwanini wana tabia ambayo si rahisi kutabirika?
Una unakika kwamba hawakutoa waraka au unasema hivyo kwa sababu baadhi ya watu wanasema hivyo? Unaweza kuthibitisha au huyo aliyeandika kwamba kwa miaka 10 hawakuwahi kutoa waraka? Burden of proof iko kwa mtu anaye'claim' kwamba kwa miaka 10 hawakutoa waraka. Can you prove it?
 
Ila wa sasa si hakuna Askofu aliyejitokeza Kuupinga? Si unaona hata rais wa TEC anapigilia Msumari?
....maslahi ya sasa ni makubwa zaidi kwao zaidi ya ule utetezi wao wa mikutano ya hadhara na uwanda wa demokrasia....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Una unakika kwamba hawakutoa waraka au unasema hivyo kwa sababu baadhi ya watu wanasema hivyo? Unaweza kuthibitisha au huyo aliyeandika kwamba kwa miaka 10 hawakuwahi kutoa waraka? Burden of proof iko kwa mtu anaye'claim' kwamba kwa miaka 10 hawakutoa waraka. Can you prove it?
Likewise can you disprove it?
 
Umemjibu vema sana, ungemuongezea na tusi.
Ameongea porojo tu....

Amezunguukaa weeee....

Nani anaubeza usomi bobezi wa maaskofu?!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hoja ni hii....

Unataka mtuaminishe kuwa ASKOFU , MSOMI ,SHEIKH hawezi KUPOTOSHA kwa kuitumia vyema elimu yake ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mathalani ndani ya ule waraka kuna sehemu inasema "...kwa miaka 60 Tanzania haijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje....." [emoji1787]

Hili ni kweli ?!!!
 
Alichokieleza ni ukweli mtupu usio na chembe ya doa.

kumbuka Gwajima alipomvaa Pengo kuwa amekula maharage ya wapi vile, hajui. Pengo aliwaruka wenzie kwny waraka kama hivi ila ilikuwa ni kwa magufuli
Uzushi tu....

Ushahidi huna....
 
Pengo aliwahi kusema tamko la kanisa katoliki huwa linatolewa na TEC. Wake maaskofu wore wameweka sahihi, pia maaskofu sio vilaza was kuweka sahihi kwa kitu wasichokijua.
Labda tumuulize Kamwaga Kama amekuwa msemaji was maaskofu au Kuna maaskofu wamemtuma akawasemee.
Kwa kifupi yeye ni chawa anayetafuta fursa ya kuonwa na uongozi uliopo.
Kwenye tamko la bandari uliloliona umeoana saini zao au majina yao tu? Mie nimeona majina yao tu.
 
Kumbe Kamwaga nae ni chura wa Mama,

Anafikiri kupata uasikofu ni iazi nyepesi
Argumentum ad hominem

Kwa hiyo ukiwa askofu unakuwa "infallible"?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi shule mlikwenda kusomea "ungeeeseeer"?!!!
 
Pengo aliwahi kusema tamko la kanisa katoliki huwa linatolewa na TEC. Wake maaskofu wore wameweka sahihi, pia maaskofu sio vilaza was kuweka sahihi kwa kitu wasichokijua.
Labda tumuulize Kamwaga Kama amekuwa msemaji was maaskofu au Kuna maaskofu wamemtuma akawasemee.
Kwa kifupi yeye ni chawa anayetafuta fursa ya kuonwa na uongozi uliopo.
Argumentum ad hominem....

Utetezi wako dhaifu kupindukia....

Hoja si maaskofu hawajui mambo....hoja ni wao kuamua kusimamia MASLAHI yao kwa kuitumia DINI na wananchi kwa ujumla....

Hebu angalia hili....

Ndani ya ule waraka wao wanadai kuwa kwa miaka 60 Tanzania kutowahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka "NJE"...[emoji1787][emoji1787]

Hili ni kweli ?!!!!

Nijibu
 
Una unakika kwamba hawakutoa waraka au unasema hivyo kwa sababu baadhi ya watu wanasema hivyo? Unaweza kuthibitisha au huyo aliyeandika kwamba kwa miaka 10 hawakuwahi kutoa waraka? Burden of proof iko kwa mtu anaye'claim' kwamba kwa miaka 10 hawakutoa waraka. Can you prove it?
Hoja si kutoa waraka...

Wana haki ya kuendelea kutoa waraka....

Nani kasema kuwa kila wanachokitoa kinakosa UKWELI NA UBAINIFU ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Ila...

Kila waraka tunafuatilia "contents" zake..ni hilo tu....

Ona hizi "contents zao"...

".....kwa miaka 60 Tanzania haijawahi kupata mwekezaji wa bandari kutoka nje...."

Huu ni ukweli ?!!!

Prove me wrong so that I can now call them "infallibles" [emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Wala sijaelewa. Naona kama unadandia treni. Ni point gani hapo inayoonyesha wewe ni msomi kama hujajitekenya tu na kujichekesha?
[emoji1787][emoji1787]

Kwanini TEC haikuwahi kutoa waraka wowote kipindi cha awamu ya 3 ya utawala wa nchi hii....

Eager to know[emoji1787]
 
Hakuna mbulula wa kihivo ndani ya TEC labda upande ule👉 ndio 'wengi' wamejaa huko!
Kila Padre ni mwanasheria.
Kila Askofu ni nguli wa sheria.
 
Back
Top Bottom