Ninachojua ni kwamba kila mwaka Kanisa Katoliki hutoa waraka wakati wa Kwaresimu na nyakati zingine "primarily" kulingana/kuendana na mahitaji ya "Kanisa mahalia" (local church). As far as I know, kabla ya Tanganyika kupata uhuru 1961 Kanisa Katoliki lilikuwa likitoa nyaraka kuhimiza mambo fulani mema au kukosoa mambo fulani yaliyokuwa yakifanyika enzi hizo. Records zangu zinaonyesha mwaka Julai 11, 1959 Kanisa Katoliki lilitoa wakara unaoitwa "Africans and the Christian Way of Life". Wakati wa Mwalimu Juliua Nyerere liliendelea kutoa nyaraka pia za kuhimiza/kukosoa mambo ambayo yalihitaji kuangaliwa kwa makini. Mfano, mwaka 1972 lilitoa waraka unaoitwa "Peace and Mutual Understanding" (Septemba 1972). Vivyo hivyo, katika awamu zingine had leo.
Kwamba wakati wa Benjamin Mkapa (1995-2005) TEC hawakuwahi kutoa waraka (which means kwa miaka 10 walikuwa TEC wali'mute' (hawakusema chochote) hapa ushahidi unahitajika kwa sababu kwenye any "claim" ni vizuri ku'justify'. Kanisa Katoliki enzi na enzi lina namna yake ya "kuinjilisha" which includes addressing socioeconomic, cultura, political and even moral dilemma issues (kama human cloning, genetic engineering, abortion, euthanasia, withdrawal of feeding to the terminally ill persons (whose are in "a vegetative state", homosexuality, extramarital intercourse, rape etc), ambayo siyo lazima iwe sawa au iendane na madhehebu mengine ya Kikristo au hata dini zingine. Hivyo, mtu hawezi kulichagulia Kanisa namna linavyoweza kuwasiliana au kufikisha ujumbe wake kwa waumini wake. It is impossible! Kanisa pia haliwezi kuwachagulia viongozi wa dini zingine namna wanavyoweza kuwasilisha ujumbe wao au kuwahubiria waumini wao. Kila kiongozi yuko huru kuhubiri au kutoa waraka kwa waumini wake kulingana na mahitaji ya waumini wake kama hiyo ni njia mojawapo ya kuhubiri kwa hao viongozi wa hizo dini. "Uniform preaching" (uniformity) naikuta tu hapa kwetu ambao viongozi wa dini wakiwa na jambo watumie njia fulani kufikisha ujumbe wao kwa waumini wao.
Wanasiasa wao wanakuwa huru kusema kile wanachoona kinafaa kwa wapiga kura wao. Kama mtu anakuwa na maoni yake kuhusu jambo fulani katika nchi yake, kwa nini viongozi wa dini nao wasiwe huru kutoa maoni yao kuhusu hilo jambo. Ubaya uko wapi au wanakuwa wamekiuka sheria au utaratibu gani? Hapa kutoa maoni, includes "constructive criticism". Ushauri wangu ni kwamba kujua namna Kanisa linavyoendesha mambo yake jifunze kutoka kwa Kanisa lenyewe (if you can and if you wish) na siyo kutoka kwa maoni ya watu wengine kwa sababu kila mtu ana maoni yake na unaweza ukali'judge' kanisa siyo kwa sababu liko wrong, bali kwa sababu kwa maoni ya mtu au watu wengine liko wrong, which is also wrong in itself. So, we shouldn't be prejudiced, but remain objective if at all we see ourselves objective or impartial critics. Ningekushauri uende kwenye archives za Kanisa Katoliki na ucheki nyaraka zake kuanzia miaka 1950s hadi sasa, halafu ndipo uje useme kwamba miaka ambayo walikuwa viongozi Wakatoliki TEC wali'mute' (hawakukosoa). Pili, kama Kanisa likitoa waraka leo it is useless kusema kwa nini miaka ya nyuma huko hawakutoa nyaraka (if at all it happened). Nikiamua kufanya jambo fulani leo ni uselss mtu kuniambia kwa nini sikufanya mwaka uliopita au mtu akiamua kuanza kuandika makala leo tuanze kusema kwa nini hukuandika mwaka jana au miaka iliyopita. It is illogical!