Unadhani marekani ndio Tz kwamba kila Kitu ni Rais?[emoji23][emoji23]D.Trump hana huo muda wa kushughulika na Siasa za Tanzania, acheni kujidanganya, ...
Mimi ni Mtanzania, na sina imanibna Magufuli na simpi kura yangu mbaguzi mkubwa huyu, ni zaidi ya kaburu.Yani hilo tamko na huo ujumbe ulioweka wewe haviendani kabisa, ovyoooo ovyooo ovyooo, uozo uozo uozo. Watanzania wana imani na CCM, na wana imani na Magufuli. Na watampigia kura Magufuli.
Asante kwa barua hii najua ni mwanzo mzuri kwa mtu yule kuchukuliwa hatua kali manake lazima ataiba kura tu.Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!ππππ
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Hii imeandikwa na ubalozi wa marekani?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Wewe ni mtanzania mmoja, mimi nimekwambia watanzania wao ni wengi, hivyo tegemea ushindi wa kimbunga. Magufuli atapata kura za kutosha.Mimi ni Mtanzania, na sina imanibna Magufuli na simpi kura yangu mbaguzi mkubwa huyu, ni zaidi ya kaburu.
Unadhani marekani ndio Tz kwamba kila Kitu ni Rais?[emoji23][emoji23]
Aliyempiga Travel ban makonda ni Trump?
Mark my words here.
Matukio yote hapa yanarekodiwa
Mwisho wa Siku Kuna watu utasikia wanaitwa The Hague, kuwekewa sanctions.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].........sawa banaUsihofu haya tu ni makubaliano. Nitakutumia usihofu
Bichwa hajajibu bado waraka huu?Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!!ππππ
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Toa tamko lako litakaloishia manzese hapoNa sisi tutatoa tamko letu kama Tanzania katika uchaguzi utakaoenda kufanyika Marekani hivi karibu
Thubutuuu yake πππBichwa hajajibu bado waraka huu?
Akijibu mnitonye
ππππ ninavyowajua marekani lazima wamfanyie mtu kama walivyomfanyiaga raisi Noriega wa PanamaHao si ndio wanaitwa mabeberu, ngoja tuone nguvu ya mabeberu sasa, Ccm washeni moto.
Jidanganye tu!!! Unafikiri Marekani ndo Tanzania??? Marekani Mfumo ndo unaendesha nchi sio RaisiNdiyo, ni lazima hiyo ni policy ya Raisi wa USA, USA haiwezi kuiwekea nchi xyz sanctions bila ya Raisi wa USA kukubali, na Trump na USA hawana maslahi Tanzania, hizo barua ni secretary Ubalozini anachapa kila mtu anweza kuzipata, ...
Nyie ambayo mpaka matundu ya vyoo yanajengwa Kwa hisani ya watu Wamarekani?Na sisi tutatoa tamko letu kama Tanzania katika uchaguzi utakaoenda kufanyika Marekani hivi karibu
Swali lililopo ni je, mnao hao watu wa kupiga kura zitakazotosha kumpeleka Lisu Ikulu?Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Marekani ameshasema lolote baya litakalofanyika kwenye uchaguzi wa mwaka huu lazima liwe na matokeo kutoka kwake!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili na jicho la tatu tumeshaona, sijui wengine kama mmeshaona
Wale mliopanga kupiga mabomu watu, kubadiri matokeo ya uchaguzi, kuiba ushindi wa wagombea wengine, majibu yameshatoka, mwaka huu lazima kutakuwa na matokeo ya matendo yenu mabovu!!!
Cc.Mkuu wa TISS, IGP, CDF et all!!
Mwaka huu watanzania tusiudharau, tukapige kura kwa wingi na tulinde kura zetu
View attachment 1586980
Asipoenda anakufa? Familia yake ina kosa mlo?Fix?
Uliza kama makonda anaweza kukanyaga USA baada ya kumpa katazo asikanyage.
Umeanza mwaka huu kushiriki chaguzi za Tanzania??? hivi vitu vipo kila uchaguzi unapofika lakini kuanzia tarehe 4 NOVEMBER hawa hawa unaowashobokea watakua wakitoa congraturatory Notes kwa JPM kwa ushindi mnono na watakuwa wakisema USA iko tayari kudumisha ushirikiano na URT. Chuma chetu a.k.a Ng'wanasusana leo yuko Tunduma atashiriki na wanaTunduma kusherehekea mafanikio ya awamu ya kwanza ya serikali ya awamu ya tano. Wote semeni CCM Hoyeeeeeeee
bichwa ana mkosi sanaThubutuuu yake πππ
Wanamchoraa tu