Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Hamas si walipata upenyo wa kutobowa jela tu, wapalestina wanauliwa kila siku ya mungu, kwenye ardhi yao wenyewe.
Siku mkipata akili mtaelewa
Ibrahim baba yao mnachukiaje wajukuu halafu mnapenda babu
Hekalu limejengwa na babu zai(mtoto wa Daudi)
Ardhi waliuza wenyewe kwa Ibrahimu
Sasa wanataka nini