Tamko la waumini wanaopinga Parokia ya Kawe kuendeshwa kinyume cha taratibu za Kanisa Katoliki

Tamko la waumini wanaopinga Parokia ya Kawe kuendeshwa kinyume cha taratibu za Kanisa Katoliki

Heri ya Noeli ndugu Waumini toeni sadaka kwa wingi tulitegemeze jimbo tusitegemee Mabeberu
 
Ukiwa mkatoliki kweli uwezi kugomea misa, labda ukasali kwingine lakini ugome na umeshafika kanisani, labda na padri huyo asianzishe misa, sadaka inalisha nani? Hata ikifika benki anaenda kuchukua ni nani?.
Shida kubwa sana ya uongozi hapo Kawe, kanisa mama lililoanzisha parokia nyingi sana zilizokuwa vigango vyake, hebu muombeni huyo Mt.Mikaeli malaika mkuu awaombee kwa Mungu awatoe kwenye matakataka hayo. Na nyinyi wana Kawe tafuteni kujua ukatoliki kwa bidii, huo ujinga wa barua usingekuwepo na kama huyo paroko asingekuwepo Kawe.
 
Aisee hizi kadhia kumbe hulikumba pia kanisa katoliki.

Huyo paroko alipaswa awe ameshatoweshwa hapo,iwe tuhuma hizo ni za ukweli ama la..

Nachofahamu kanisa katoliki halina kulembe lemba kwenye hayo makitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
parokia ya kawe tangu aondoke Fr. Mshanga haijabahatika kupata tena paroko ila vitimbwi kila uchao
 
Hao kamati ya ufuatiliaji ni akina nani?

Sijaona kama wana busara kumshurutisha kuhani wao hivyo..
Na inaonekana ni kikundi cha watu wachache tu..

Ila hapo baba paroko alipo taja siri za dhambi za mzee wa watu kama kweli basi alizingua sana.
Ahaaa nimecheka sana yaani nimewaza ila nimecheka daah Padre mbea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingawa mimi si mkatoliki ila hii njia uliyoitumia kuweka hadharani hivi huu mgogoro siyo sahihi labda kama mngetumiana wakatoliki wenyewe, Jaribuni kutatua migogoro yenu wenyewe ndanindani kwa ndanindani pasi na kuonyesha watu wa nje ambao wengi badala ya kuwasaidia watawadhiaki na kuwakashfu na hivyo lengo kutofikiwa

Nina imani malalamiko yenu viongozi wenu wanayashughulikia kama mlishawaeleza kuweni na subira majibu au hatua wakati mwingine zinachukua muda kulingana na tatizo husika
Mbona yeye katoa Siri za watu kwenye kitubio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii porojo tuu. Kuna sehemu baadhi ya walei wahuni wamebanwa. Kamati tendaji sometimes wana vihelehele vya kutaka kuligeuza Kanisa mali yao. Roma haindeshwi hivyo.

Kuna baadhi ya Parokia wanaendekeza hawa watu na mara nyingi wamejikuta wakilihamisha Kanisa kwenye ajenda za msingi, wanahimiza makusanyo na mali as if huo ndiyo msingi wa Kanisa la Mungu. Kanisa halipaswi kuendeshwa kwa maamuzi ya vikao vya Kamati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa ni moja hilo juu.

Mengine yako ndani ya mamlaka yake
Si kweli askofu hasipojibu kama mnavyotaka hapo mnakosea,

Toma alikuwa Kijana kuliko Paulo, walipokimbia kwenda kaburini, toma alifika mapema na hakuingia kaburini akamsubir MZEE na kiongozi wao afike kwa muda wake na kwa mwendo wake, pia ni toma aliyesubiri mpaka Paulo aone na kuhakikisha ndipo naye akaingia na kushuhudia pia

Mwachen askofu ajifunze kwa kina juu ya paroko na ninyi waamini kadri atakavyoona inafaa bila shinikizo; mnajua kwa nn mnaitwa "lay" ( layman) Roma ilijua hamuwez kuongoza kanisa kwa hoja ya UTII
Askofu anaweza kuchukua mapadri wake na kuwaachia parokia yenu, je mtafanya nn?
Mtaenda kuomba tena padri?

Huu mgogoro mlipaswa mtumie busara na utii I'll mvune mnachotaka na daima n ngumu askofu kuhamisha paroko kwa shinikizo LA waamini, hivyo mgogoro huu utadumu ili mjifunze fadhila ya unyenyekevu na uvumilivu
 
Back
Top Bottom