Ni kama 117 hivi achilia mbali parokia teule! Tunawasubiri hao Msimbazi tarehe 23Novemba,2019 tuone wao watakuwa na madhara gani katika kulitegemeza kanisaJimbo kuu la Dar es salaam Lina Parokia zaidi ya 75. Hiyo Ni Parokia Moja tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama 117 hivi achilia mbali parokia teule! Tunawasubiri hao Msimbazi tarehe 23Novemba,2019 tuone wao watakuwa na madhara gani katika kulitegemeza kanisaJimbo kuu la Dar es salaam Lina Parokia zaidi ya 75. Hiyo Ni Parokia Moja tu.
Mnaweza tu kumpa nafasi ya PolepoleNdio maana tulisema kumstaafisha Pengo sio sahihi
Yule ni Kiongozi anajua jinsi ya kutatua changamoto
Katoliki kila kitu kinauzwa ndoa inauzwa lazima utoe pesa,mazishi Yanauzwa lazima utoe pesa nk makanisa mengine hizo huduma haziuzwiHapo walei wametafuta mwanya wa kupiga sadaka na miradi ya kanisa Padre anaonekana kathibiti kila kona sasa wanaamua kumpiga majungu. Nani aliwaambia kuwa kuna demokrasia katika kanisa? kuna usemi wa kilatini usemao ROMA LUCUTA CAUSA FINITO maana yake ni kwamba kiongozi wa juu katika kanisa akitamka hakuna kupingwa, linguine kanisa ni tajiri wa waumini haliangaingi kufanya promo ta maupako, kutoa mapepo wala kubeba waamini kwa magari, kama kanisa limewashinda? kuna makanisa mengi hapo mjini akina gwajima , mzee wa upako, kakobe ,mwamposa wote wanataka waumini na kule mtapata hiyo democresia ya kuwapangia mapato na matumizi
Hawajui tu..wengine humo ni maajenti wazuri tu.ila wao wanawaungamia dhambi zao!Hilo la kitubio linawez kumtoa upadre
Ametaka kuaibishwa!Mama Amon, sidhani kama kulikuwa na haja ya kuweka hapa hili swala cz mmeshalifikisha pahala husika.
Mmlichokifanya ni kumuaibisha kiongozi wenu wa kiroho.
Kundy kabila gani? Halafu kesi anapelekewa nani?Dah very sad parokia yangu miaka hiyo na miss uwepo wa paroko yuda shayo, fr pol, Fr France na Paroko mshanga
Mara ya kwanza, Padre Nicholas Bahati Kundy alizuiwa kusoma misa tarehe 19 Mei 2019. Waumini walitumia mbinu hii kufikisha ujumbe wao kwake. Polisi waliitwa, wakaingilia kati, hali ikatulia, na hatimaye akapata fursa ya kusoma misa, lakini kwa kuchelewa.
Mkuu Nalendwa,
Kwa Mtazamo wangu; waamini inaonekana wana kiburi. Kanisa lina njia za kutatua migogoro kama hii:
• Walipaswa kuwa watii kwa kiongozi na Mchungaji Mkuu wa Jimbo. Kama wamepangiwa appointment na ikashindikana, haiwapi tiketi ya kutafuta umaarufu.
• Hakukuwa na sababu ya press release kwa mambo ya ndani na ambayo yanafuatiliwa. Athari yake kwa Mama Kanisa ni kubwa kuliko faida.
• Hata kama mtu amekosea, kuna namna ya kuwasilisha hoja hizo kwa unyenyekevu, busara na Ukristu wa hali ya juu. Hakuna mkamilifu, ninakuhakikishia, hata wao sio wakamilifu.
• Waamini hawana subira na wana mihemuko mithili ya vijana wanaobalehe. Hawalijui vizuri Kanisa letu.
• Wanapaswa kujua kuwa mwenye maamuzi ya mwisho juu ya Jimbo ni Askofu ambaye hawezi kuingiliwa na Askofu mwingine yeyote, hata Askofu wa Roma (Baba Mtakatifu), hivyo, wanapaswa kumheshimu Kiongozi wa Kanisa Mahalia.
• Zaidi ya yote; Kanisa Katoliki siku zote huwa halina haraka, na haliendeshwi kwa kufuata hisia za waamini.
Huwa linachukua muda kujihakikishia ukweli kabla ya kufanya uamuzi. Kwanini wanashindwa kuwa wavumilivu?
Kanisa Katoliki sio chama cha siasa.
Viambatanisho A na B vitawekwa hapa punde....
Ulikuwa unaitafuta hii point ya kuchepuka umeikosa!! Pole, na usilazimishe tuhuma!Kwa kashfa hizo huyo Padre Atakuwa ashachepuka na waamuni wa kike hapo??
Ova
Mkuu mbona nilisoma mahali kuwa pengo aliomba kustaafu mwenyewe?Ndio maana tulisema kumstaafisha Pengo sio sahihi
Yule ni Kiongozi anajua jinsi ya kutatua changamoto