Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tuusikilize wimbo Rail On wa Papa Wemba, Kisha tuendelee na uchangiaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa kifipa!
We upo insane?johnthebaptist unawapa tabu sana kina Bia yetu au Kawe Alumni kina USSR;@nawatafuna ambae ni buku 7 mpya kipara kipya chagu wa malunde;@ magonjwa mtambuka na wengineo .
Kwa kweli wanapata tabu sana wanafikiri umewasaliti. Haki ya nani hupati mgawo leo
na sisi wananchi tunataka 1.5tr yetu iliyokwibwa na awamu ya 5!!Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
Umeishapeleka vielelezo vyako? Basi we ndio wakwamisha.Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
Umeishapeleka vielelezo vyako? Basi we ndio wakwamisha kwa porojo zako.Eti anajitolea!
Anakitengenezea chama madeni hewa ili ajilipe. Huyu Mbowe arudishe pesa na afukuzwe chama
Umeishapeleka vielelezo vyako? Basi we ndio wakwamisha.Wazee washapewa ya sukari
Baraza la wazee wa Chadema limetoa tamko lake la kumtetea Mwenyekiti wa chama hicho dhidi ya njama ovu zinazotekelezwa na wabunge waliohamia CCM wakimtumia Mwita Waitara aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe.
Katika tamko lake baraza la wazee limetaja sifa kuu 3 za Mbowe:
Mosi Mbowe ni mwenyekiti pekee wa chama cha siasa barani Afrika ambaye hapokei posho wala malipo yoyote kutoka kwenye chama chake anaitumikia Chadema kwa kujitolea.
Pili, Mbowe ndiye Mwenyekiti pekee wa chama cha siasa nchini anayeaminiwa na chama pamoja na wanachama ambao wameamchagua mara zote na amedumu katika uongozi kwa takribani miaka 25.
Tatu, Mbowe ndiye kiongozi pekee nchini aliyeingia katika uongozi akiwa tajiri na serikali kumfanyia figisu hadi anafilisika bila kuogopa wala kukata tamaa tofauti na wenyeviti wa CCM mzee Mwinyi, mzee Mkapa na mzee Kikwete ambao waliingia wakiwa maskini na kuondoka wakiwa matajiri.
Mwisho wazee hao wamemtaka Mwita Waitara kama ni mzalendo na siyo mnafiki anayejipendekeza, aanze kuhoji ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM.
Source: Ayo TV
Maendeleo hayana vyama
Johnthebabtist sio mwanaccmjohnthebaptist unawapa tabu sana kina Bia yetu au Kawe Alumni kina USSR;@nawatafuna ambae ni buku 7 mpya kipara kipya chagu wa malunde;@ magonjwa mtambuka na wengineo.
Kwa kweli wanapata tabu sana wanafikiri umewasaliti. Haki ya nani hupati mgawo leo.
Astakafilah we kijana johnthebaptist njoo umuone huyu mpudhii [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Johnthebabtist sio mwanaccm
Jibu hoja kwa hoja, hapo inaonesha namna ambavyo vijana hatufikirii vema.Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake
Kama kawaida yako!Mbowe arudishe bilion nane. Aache kuwatumia wazee kuhalalisha ufisadi wake