Tamko rasmi la Yanga kuhusu kutotendewa haki na waamuzi katika Ligi Kuu Bara

Tamko rasmi la Yanga kuhusu kutotendewa haki na waamuzi katika Ligi Kuu Bara

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Hii ni taarifa rasmi kwa umma kutoka Klabu ya Yanga juu ya malalamiko yao kwa waamuzi.

IMG-20220208-WA0022.jpg
 
NAWEKA USHABIKI PEMBENI ILA KIUKWELI SIO KWA YANGA TU, HAWA WAAMUZI WETU WA MCHONGO WAJITAFAKARI. Baadhi ya maamuzi yao yamekuwa yakitia dosari soka letu la Tanzania hasa katika mechi kubwa zenye tension/attention ya hali ya juu..

Kuvurunda kwao kunaichafua brand ya LIGI KUU TANZANIA BARA na huko kimataifa tunaonekana si lolote, ndio maana hata kwenye mashindano makubwa mfano AFCON, CHAN, CAF CL, CAF CC Waamuzi wetu hawachukuliwi kutokana na uvurundaji wao katika kutafsiri sheria 17 za soka na kutoa maamuzi yenye utata.

TFF, Bodi ya Ligi pamoja na kamati za marefarii waweke mpango mkakati maalumu wa kurejesha ''heshima ya waamuzi'' katika soka letu na waamuzi wetu wasionekane ni wa mchongo (kupendelea timu fulani tu). Hii itasaidia kuondoa malalamiko haya kutoka vilabu mbalimbali na pia itasaidia kuboresha soka letu la Bongo.

Pia siasa na figisu figisu za ajabu ziepukwe na uwajibikaji uwepo kutimiza lengo mama la maendeleo ya soka hapa nchini
 
Hii ni taarifa rasmi kwa umma kutoka Klabu ya Yanga juu ya malalamiko yao kwa waamuzi.

View attachment 2112919
Hii imekaaje? Jana Mdhamini wao mkuu amekuja na ngonjera zake na leo mdhaminiwa anaonewa!

Yanga hii walisema wamekataa Unyonge leo hii wanaita Press badala ya kuzungumzia Transformation yao wanaizungumzia Simba?
 
Mmeanza kujinyea nyea na mko kileleni?
NAWEKA USHABIKI PEMBENI ILA KIUKWELI SIO KWA YANGA TU, HAWA WAAMUZI WETU WA MCHONGO WAJITAFAKARI. Baadhi ya maamuzi yao yamekuwa yakitia dosari soka letu la Tanzania hasa katika mechi kubwa zenye tension/attention ya hali ya juu..

Kuvurunda kwao kunaichafua brand ya LIGI KUU TANZANIA BARA na huko kimataifa tunaonekana si lolote, ndio maana hata kwenye mashindano makubwa mfano AFCON, CHAN, CAF CL, CAF CC Waamuzi wetu hawachukuliwi kutokana na uvurundaji wao katika kutafsiri sheria 17 za soka na kutoa maamuzi yenye utata.

TFF, Bodi ya Ligi pamoja na kamati za marefarii waweke mpango mkakati maalumu wa kurejesha ''heshima ya waamuzi'' katika soka letu na waamuzi wetu wasionekane ni wa mchongo (kupendelea timu fulani tu). Hii itasaidia kuondoa malalamiko haya kutoka vilabu mbalimbali na pia itasaidia kuboresha soka letu la Bongo.

Pia siasa na figisu figisu za ajabu ziepukwe na uwajibikaji uwepo kutimiza lengo mama la maendeleo ya soka hapa nchini
 
NAWEKA USHABIKI PEMBENI ILA KIUKWELI SIO KWA YANGA TU, HAWA WAAMUZI WETU WA MCHONGO WAJITAFAKARI. Baadhi ya maamuzi yao yamekuwa yakitia dosari soka letu la Tanzania hasa katika mechi kubwa zenye tension/attention ya hali ya juu..

Kuvurunda kwao kunaichafua brand ya LIGI KUU TANZANIA BARA na huko kimataifa tunaonekana si lolote, ndio maana hata kwenye mashindano makubwa mfano AFCON, CHAN, CAF CL, CAF CC Waamuzi wetu hawachukuliwi kutokana na uvurundaji wao katika kutafsiri sheria 17 za soka na kutoa maamuzi yenye utata.

TFF, Bodi ya Ligi pamoja na kamati za marefarii waweke mpango mkakati maalumu wa kurejesha ''heshima ya waamuzi'' katika soka letu na waamuzi wetu wasionekane ni wa mchongo (kupendelea timu fulani tu). Hii itasaidia kuondoa malalamiko haya kutoka vilabu mbalimbali na pia itasaidia kuboresha soka letu la Bongo.

Pia siasa na figisu figisu za ajabu ziepukwe na uwajibikaji uwepo kutimiza lengo mama la maendeleo ya soka hapa nchini
Hapo marefa kutokuchaguliwa kuchezesha mechi kubwa za CAF umetudanganya pakubwa sana labda kama FRANK KOMBA aliyeenda kuchezesha AFCON ni wa Burundi
 
Hapo marefa kutokuchaguliwa kuchezesha mechi kubwa za CAF umetudanganya pakubwa sana labda kama FRANK KOMBA aliyeenda kuchezesha AFCON ni wa Burundi
SIKATAI,TOFAUTI NA HUYO UNA KUMBUKUMBU INGINE?
 
Press ya leo ningeona Ina mashiko km wangezungumzia na lile tukio la yanga vs Namungo.
Ajabu press nzima ilijaa neno Simba ,hapa inaleta picha kuwa wamekuja kuzima issue ya udhamin wa mchongo.

Unapomlalamikia mwenzio jipime na wewe km huna makosa ,dawa hapa wangejiorodhesha na wao ingeleta maana ,saiz press yao inaonekana Ni propaganda ya kuzima mchongo wao feki.
 
Paragraph ya mwisho nimecheka

Kwamba kuna possibility za GSM kujitoa udhamini kwasababu ya makosa ya waamuzi kwenye mechi?

Halafu hayo malalamiko hawajayaweka specific kwamba wanamlalamikia nani wakuchukua hatua kudhibiti hilo tatizo

Ni kwamba waliogopa kuitaja TFF kwasababu bado wanamaumivu ambayo wana amini yalisababishwa na TFF

Halafu sijajua kama wanaji snitch au namna gani, maana matukio ya waamuzi kuibeba timu yalianzia kwao na record tunazo

Sasa kwanini lawama hizi zimekuja kwa kuchelewa? Kwanini siku ambayo wanapewa penati ya ufuska kwenye mechi ya namungo kesho yake hawakuweka malalamiko kukemea?
 
Wamekuja kuzima issue ya GSM kutangaziwa biashara yake bure kwa miezi mitatu.

GSM acha ujanja ujanja toa hela. Ulitaka kushindana na MO naona upepo umekata.
 
Paragraph ya mwisho nimecheka

Kwamba kuna possibility za GSM kujitoa udhamini kwasababu ya makosa ya waamuzi kwenye mechi?

Halafu hayo malalamiko hawajayaweka specific kwamba wanamlalamikia nani wakuchukua hatua kudhibiti hilo tatizo

Ni kwamba waliogopa kuitaja TFF kwasababu bado wanamaumivu ambayo wana amini yalisababishwa na TFF

Halafu sijajua kama wanaji snitch au namna gani, maana matukio ya waamuzi kuibeba timu yalianzia kwao na record tunazo

Sasa kwanini lawama hizi zimekuja kwa kuchelewa? Kwanini siku ambayo wanapewa penati ya ufuska kwenye mechi ya namungo kesho yake hawakuweka malalamiko kukemea?
Wao wamependelewa moja tu wakati wenzao kila mechi.
Kosa moja haliachi mke unaweza kulichukulia ni mtelezo lakini ikiwa kila siku hiyo tena ni makusudi



Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Wao wamependelewa moja tu wakati wenzao kila mechi.
Kosa moja haliachi mke unaweza kulichukulia ni mtelezo lakini ikiwa kila siku hiyo tena ni makusudi



Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hiyo hiyo moja inatosha sana kukutia hatiani

Kama kosa moja haliachi mke, basi kwa simba ni ndoa ya kikristo mke haachwi mpaka kifo kitenganishe

Makosa yaliyofanywa na marefa kwenye mechi za simba haijalishi ni mengi kiasi gani lakini bado hayawezi ku justify kama pigo kwa club au adhabu kwa hao marefa
 
Wamekuja kuzima issue ya GSM kutangaziwa biashara yake bure kwa miezi mitatu.

GSM acha ujanja ujanja toa hela. Ulitaka kushindana na MO naona upepo umekata.
Bodi ya ligi ishafikisha hilo swala kwa wanasheria wakw kwa hiyo tusiwe na hofu

Na kulingana na yule wakili wao aliyesimamia kesi ya morrison naskia kwamba ndio wakili wao tegemezi, sijui itakuwaje
 
Ni upumbavu mkubwa kumkemea mwenzako kwamba kwanini kameza nyama ya binadamu huku wewe mwenyewe una damu ya binadamu mdomoni.
 
Back
Top Bottom