Hiyo hiyo moja inatosha sana kukutia hatiani
Kama kosa moja haliachi mke, basi kwa simba ni ndoa ya kikristo mke haachwi mpaka kifo kitenganishe
Makosa yaliyofanywa na marefa kwenye mechi za simba haijalishi ni mengi kiasi gani lakini bado hayawezi ku justify kama pigo kwa club au adhabu kwa hao marefa