Tamko: Sitaki shobo

Ndio nataka bia na mimi jamani, ila tafadhali tu brenda18 asijerudi na uzi hapa akinisuta.

Umeona sasa ulivyo na kiherehere....mi brenda18 nilimuacha nyumbani...hizi kelele zako zitamleta na utakoma
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
nilimiss hichi kipindi heheee..muda mrefu sijaona msuto humu ndani..
napita tu bora mie bwanaangu anakunywa soda na juice.
 

Kumbe hata hunu JF kuna ma Bar made....................
 

nimekuja mbea mpe heading..atatiririka yotee....evelyn salt si umtaje tu...roho yako iridhike...hahah madam B kizuri kula na mwenzio walah...sharing is caring...ndukyyy ngoja nikazisakeee mie
 
nimekuja mbea mpe heading..atatiririka yotee....evelyn salt si umtaje tu...roho yako iridhike...hahah madam B kizuri kula na mwenzio walah...sharing is caring...ndukyyy ngoja nikazisakeee mie

Sa nyie mwataka shea vyangu tu vyenu vipo nyuma ya keyboard teh
 
nilimiss hichi kipindi heheee..muda mrefu sijaona msuto humu ndani..
napita tu bora mie bwanaangu anakunywa soda na juice.

Ha ha ha kwani akinywa juice ndo hatoi ofa ya bia?
 
Duuuh mwalimu kunani tenaaaaa!!! Hivi rep power inatolewaje? I realy need to know.

Hamna kitu ni tamko tu....
kwenye thread mtu alipo comment chini ya jina lake kuna kibahasha cha kusend pm na kinyota
unaclick hicho kinyota kusend rep power
ukipewa rep power zama pm kushukuru na kutoa namba
safari moja huanzisha nyingine
 
Hamna kitu ni tamko tu....
kwenye thread mtu alipo comment chini ya jina lake kuna kibahasha cha kusend pm na kinyota
unaclick hicho kinyota kusend rep power
ukipewa rep power zama pm kushukuru na kutoa namba
safari moja huanzisha nyingine

Ooooh!! Thanx for that.

Sasa kumbe ni mpaka nipewe mimi ndio nishukuru na kuomba bia!! Haya jamani nihongeni hizo rep power mie nijipatie kabia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…