Tamthilia ya Huba haiendani na jina lake. Kinachoendelea ni upotoshaji na uhuni

Mkuu nilishangaa sana kumsikia Jimmy Mponda akisema kuwa vipande vya mapigano baina yake na Seba ilikuwa ni ukweli kabsa sio green screen. Walikuwa wakizichapa haswa na ndivyo tulivyokuwa tukiona kwenye luninga! sasa kipindi hiki mara fulani anamuomba ngono fulani! mara fulani anataka kutoa mimba! yaani ujinga juu ujinga chini
 
MAUA YAKO MKUU 🌹🌸
 
MAUA YAKO MKUU [emoji257][emoji254]
Asante sana Ndugu yangu. Uwe na Ijumaa njema.

Lakini usiache kupinga Ujinga kwa Nguvu zote kila ukisikia au kuuona pahali popote.

Tukiwakalia kimya wajinga watadhani wako sahihi.
 
Kuna Jamba moja sijalielewa, huku kwenye film hii nmeona kama watu wenye kipato ndani ya tamthilia wanazitafta kwa kuua watu na kafara, je mnataka kutuaminisha Kila kupata pesa lazma uloge au utoe kafara, Tamthilia nzur kimuonekano lkn ukiichunguza sana hutaiangalia.
 
Asante sana Ndugu yangu. Uwe na Ijumaa njema.

Lakini usiache kupinga Ujinga kwa Nguvu zote kila ukisikia au kuuona pahali popote.

Tukiwakalia kimya wajinga watadhani wako sahihi.
Kitaalamu upo sahihi Mkuu!
A luta continua
 
Mdogo wangu hapa nakuunga mkono kiukweli hata ukisema hiyo movie inatoa funzo gani siwezi kukwambia,movie nzima ni watu kupendana hovyohovyo,nashangaa wanavoikuza kumbe hamna kitu
Kuna lijamaa eti mpali na huba eti huba ni kali

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu!
Sio kweli wote wanapata fedha au Mali kupitia uchawi au ulonzi (Hapa nadhani Mshana Jr ) anaweza kunisaidia.
Ila nikupe zoezi kidogo katazame tamthilia ya Lupin, inayomhusu Assane Diop kutoka Senegal, ndani humo utaona utamu wa uandishi wa visa na mikasa wa huyu mwamba akisumbua Jiji la Paris . Shida kubwa ni kuwa waandishi wa visa na mikasa hawaumizi vichwa kwenye kutafuta mada zenye uzito kwa jamii. Nijeria wnaingiza filamu na tamthilia za Kichawi ila sio wote Mkuu.
 
Mamangu hataki kuonana king'amuzi Cha DSTV sababu hakuzoea filamu za kiswahili kama hizo. Ndio maana filamu za Azam za kituruki zitabaki kua family friendly daima.
 
Mamangu hataki kuonana king'amuzi Cha DSTV sababu hakuzoea filamu za kiswahili kama hizo. Ndio maana filamu za Azam za kituruki zitabaki kua family friendly daima.
Marehemu Bibi mpaka anafariki alipenda sana kutazama tamthilia za Kinejira kutoka kituo cha Iroko TV. Ila hizi za kina Hemed PhD alikuwa akikataa katu katu!
 
Huba ni filamu ya ma socialite na ma model kushow off, hakuna filamu pale. Filamu zipo kenya angalia magic east sisi ni wababaishajii
 

Yaani umegusa sehemu muhimu sana kwenye mapungufu ya filamu zetu, sehemu ambayo wengi hatupendi kuiongelea. Unajua social media na entertainment industry e.g.music etc zinatakiwa pia zi-shape thinking na direction ya fikra za watazamaji ambao ni wananchi mbali ya kuburudisha Ukiangalia kwenye upande wa phychology , hizi platform zikitumiwa vibaya zinaweza kushape social-culture ya jamii negatively na zikitumiwa vizuri zinaweza kupromote good culture na behaviour za community at large ambao ndio watazamaji na ni wengi ajabu.

Ebu tumulike tochi kwenye maneno/ujumbe wa miziki pendwa ya kibongo (bongo fleva), twende tuangalie video zao;hakuna tofauti na porno iliyohalishwa, kwenye upande wa tamthiliya umekwisha elezea vizuri hapo juu. Uko sahihi uzoefu ni muhimu kwa waandishi na madirector wa tamthiliya zetu lakini elimu husika,utaalamu husika ni muhimu zaidikuwawezesha kwenda beyond entertaining audience na kujikita kutoa mafunzo, ufahamu, elimu kwa walengwa watazamaji.
 
Hii kazi yao haina mvuto hata misamiati ya sanaa (literary jargon) hakuna, maneno mengi ni kama ya form one B wa kule kwetu Marendego.
Mkuu Mtibeli Taikon hivi main Character ni nani kwenye hiyo huba?
Ha ha ha ha Kwa akili za mtunzi utakuta Tima na Yule jamaa msomali
 
Huba ni filamu ya ma socialite na ma model kushow off, hakuna filamu pale. Filamu zipo kenya angalia magic east sisi ni wababaishajii
Sasa ni heri waseme kuwa HUBA ni Reality Show tu kama vile Young, Famous & African halafu waweke na PG au Rated X kabsa maana tunafundisha watoto wetu upumbavu.
 
"Ukifuatilia kinachoendelea kwenye tamthilia hiyo utagundua kinachoendelea ni umalaya, uhuni na tamaa mbaya. Na wala hakuna kitu kinachoitwa Huba kama jina la tamthilia lilivyo.

Umalaya, uchafu, na uasherati uliovuka mipaka ndicho kinachoendelea humo ambapo ni kinyume cha Huba. Kuchukuliana Mabwana, kuchukuliana Wake.
Mara Mama anatoka na Kijana wake wakiume.
Mara Baba "JB" anatoka na Mke wa Mkwe wake "Tima" yaani uchafu uchafu tuu. Filamu inanuka uchafu tuu. Hakuna huba hata sehemu moja"


Hapa umemaliza Mkuu.
 
Cmnt zako nmezikubali

Ukweli mtupu unayosema

Ova
 
Asante sana Ndugu yangu. Uwe na Ijumaa njema.

Lakini usiache kupinga Ujinga kwa Nguvu zote kila ukisikia au kuuona pahali popote.

Tukiwakalia kimya wajinga watadhani wako sahihi.
Agiza kinywaji aise ntakuja kukulipia

Ova
 
Huba ni filamu ya ma socialite na ma model kushow off, hakuna filamu pale. Filamu zipo kenya angalia magic east sisi ni wababaishajii
Wadangaji tu wote hao

Wauza papa tu na wanaume mariooo

Ova
 
HIVI MTU NA AKILI TIMAMU KWELI,UNAWEZA KUANGALIA HAYO
MATAMTHILIA

ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…