Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Hizi nyingine nyingi watu mda woote wapo na makeup.. Hadi muda wa kulala[emoji23][emoji23] adi unashangaa ni kwelii jamanii?

Ndo maana kuna mdau alisema kuwa japokuwa ni sanaa lakn wanaigiza kuigiza maisha[emoji23][emoji23]
Mimi nikiona mamakeup sijui magari makali
Ofisini muda wote
Kwa kweli huwa sifatilii.

Hatia na zahanati vimenirudisha kuangalia bongo movie.


Bi Ubwa
Unaona kabisa habebwi na kitu kingine chochote zaidi ya kipaji chake tu.
 
Bi Star,mama Mwazani
Hana kazi mbovu yule mama,, halafu ni mkali sana hasa anapocheza na wasanii wachanga au wazembe wasio serious na kazi.
Yeye ukipangwa naye jiandae kumeza script na ujipange kweli maana anawapiga msasa wenzie kabla director hajaanza.
Hataki uzembe kabisa yule mama..
Ukiwa mzembe lazima Cha moto ukione kucheza naye [emoji1787]
Ila anajua mnoo
 
Mimi hata siipendi [emoji2][emoji2][emoji2] naona ni preference

Mie maybe Fungu Langu, Kosa Moja na ile mpya Mwanamziki

Mie tamthiliya inayoonyesha dhiki kila saa hapana yaan plot yake imebase mazingira duni akaa mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Upo kama mim movie za vijijin,vita wanajeshi wengi sipendii
 
Yaani hii scene
Na ile ya J5 hii
Alikuwa amebeba fuko la nguo

Mgonjwa anamwambia shkamoo
Anajibu shkamoo mwenyewe[emoji1787]
Umebeba Nini
Eti nywele zakoo[emoji23]

Yaani yule mama ni boonge la comedian
Bahati mbaya waandaaji wengi wameacha watu wenye vipaji kama Hawa
Ila wanatujazia watu ambao hata kuigiza hawawezi, kisa tu jitu Lina mwenekano mzuri.

Kuna yule dada wa kwenye fungu langu anaitwa chelsea hajui kuigiza hata kidogoi
 
Yaani hii scene
Na ile ya J5 hii
Alikuwa amebeba fuko la nguo

Mgonjwa anamwambia shkamoo
Anajibu shkamoo mwenyewe[emoji1787]
Umebeba Nini
Eti nywele zakoo[emoji23]

Yaani yule mama ni boonge la comedian
Bahati mbaya waandaaji wengi wameacha watu wenye vipaji kama Hawa
Ila wanatujazia watu ambao hata kuigiza hawawezi, kisa tu jitu Lina mwenekano mzuri.
Kiukweli director wa hii series yupo vzr mnoo
 
Ila anajua mnoo
Yule mama kazi zake zote ni nzuri sana.

Hata ile iliyoisha ya hatia, alicheza kama mama Mboga.. alivaa character ya kipole.. unaangalia hadi unatokwa na machozi.


So far zahanati ya kijiji my best characters ni Huyu mama na Bi Ubwa, then wengine wanafatia.


Nilipenda alivyocheza muda ule kimbembe mfupa umemkaba[emoji23]
Huyu mama kipaji kipo kwenye damu[emoji119],, angekuwa na kielimu elimu kiasi angeweza kuandaa kazi zake mwenyewe.
Mungu amsaidie afikie hiyo hatua.
 
That’s the whole point![emoji23]

Sasa namna walivyokuwa wanajibizana asee ni kaka kweli hawaigizi, Bi. Ubwa na wenzao wako very natural wallah siwezi ikosa kutazama [emoji23][emoji23][emoji23]

Unazizungumziaje zile love story za
Mbiki na Msichoke
Tausi na Masalu
Ombeni na yule bi mzee (hii naipenda sana)[emoji23][emoji23]
Bado Yule babu kibonge( MZEE MILANZI) na Yule bibi muuza duka la dawa
 
Mimi hata siipendi [emoji2][emoji2][emoji2] naona ni preference

Mie maybe Fungu Langu, Kosa Moja na ile mpya Mwanamziki

Mie tamthiliya inayoonyesha dhiki kila saa hapana yaan plot yake imebase mazingira duni akaa mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi mwenyewe mchezo ya vijijini sipendagi
Na ilivyoanza nilikuwa naona mbaya sana Kwa kweli, haikunivutia.
Ila kadiri ilivyoendelea mbele ikachanganya.
 
Back
Top Bottom