Tamthilia ya Zahanati Kijijini

Tamthilia ya Zahanati Kijijini

[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana mtoto.


Kinachombeba kingine ni elimu.
Licha ya kipaji alichonacho,elimu pia anayo.


Yaani ukikaa ukiangalia kazi yake unaona kabisa jamaa ameipanga safi,katumia zile sijui flashback,flash-forward amezipanga vizuri mno.,,tofauti na waandaaji wengine kama akina Duma,,kazi za kuungaunga mno..msinipopoe jamani,ni maoni yangu.
Yeah kamesoma na kana enthusiasm na kitu anachofanya.

Duma bora akacheze porn itamlipa
Anapuyanga. Tatizo la watu wetu kama ilivyo sekta nyingine ni ujuaji. Ukute hapo Duma alishaelezwa mapungufu yake ila anakaza fuvu. Mtu kusoma hutaki, kuelekezwa pia hutaki, kutumia walio na elimu pia hutaki.

Duma kama mwenzake Ray. Ni wangese kabisa.
JB anajua, anajitahidi sana. Inabidi akina Seko Shamte wawape darasa, na kule Tasuba sijui hawapaoni hawa akina Duma.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila bi Ubwa
Shkamoo
Shkamoo mwenyewe
Humo kwenye fuko umebeba Nini?
Nimebeba nywele zako[emoji1787]
Hamnipati ng'' ng''"[emoji38]

Hee mwenzetu na fuko Hilo vipi?
Vitatange nyie[emoji23]wagonjwa wamejaa nje mpo mnafakamia chai
Najua ni wivu tu mimi kutumia maji ya bure ambayo manispaa inalipa.
 
Shkamoo
Shkamoo mwenyewe
Humo kwenye fuko umebeba Nini?
Nimebeba nguo zako[emoji1787]
Hamnipati ng'' ng''"[emoji38]

Hee mwenzetu na fuko Hilo vipi?
Vitatange nyie[emoji23]wagonjwa wamejaa nje mpo mnafakamia chai
Najua ni wivu tu mimi kutumia maji ya bure ambayo manispaa inalipa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We noma,kumbe unaweza kuzhika script namna hiyo khaaaaa!itabidi tukutafutie nafasi pale zahanati ujiunge na bi Ubwa
 
Yeah kamesoma na kana enthusiasm na kitu anachofanya.

Duma bora akacheze porn itamlipa
Anapuyanga. Tatizo la watu wetu kama ilivyo sekta nyingine ni ujuaji. Ukute hapo Duma alishaelezwa mapungufu yake ila anakaza fuvu. Mtu kusoma hutaki, kuelekezwa pia hutaki, kutumia walio na elimu pia hutaki.

Duma kama mwenzake Ray. Ni wangese kabisa.
JB anajua, anajitahidi sana. Inabidi akina Seko Shamte wawape darasa, na kule Tasuba sijui hawapaoni hawa akina Duma.
Duma ni opportunist,,ila kipaji na uwezo wa kuandaa hana.Target yake kubwa ni hela.
Nilisema humu fundi ni mchezo wa hovyo,na ilivyofika katikati ilianza kuboa sana ila nilionekana hater..
Huwezi weka mchezo haueleweki,yeyote anaweza andaa ule mchezo..hakuna modification kabisa pale,licha ya characters aliwaweka kujitahidi sana kucheza.
Heri Ray anajitahidi kudirect,uzoefu na ukongwe pia unambeba.

Abdul naona ana passion na kazi yake,Shule pia ipo..
Kanamwagaga kiingereza kama chote kanavyoongea (Samahani wasomi msinipopoe, Kiingereza pekeyake siyo ndio kwamba umesoma,lakini sifa mojawapo ya msomi ni kujua angalau kingereza kiasi)


Abdul labda kama atavuruga huko mbele,lakini hadi sasa anakimbiza ..kazi imesimama kwa kweli..changamoto ndogondogo sana zimeonekana.
Na safari hii kazi yake amezoa watazamaji wote,tofuati na zile sijui mama kimbo mambo ya vigodoro si wote tunapenda.

JB shule imo kichwani pia..
Amesoma nadhani hadi chuo, tena amepita hadi advance baba ECA.
Kipaji pia kinambeba.
Shida yake anachezesha watu muda wote wamejikandika usoni na mimake-up.

Muandaaji mzuri ni yule anayebebwa na kipaji, bidii, pamoja na shule.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We noma,kumbe unaweza kuzhika script namna hiyo khaaaaa!itabidi tukutafutie nafasi pale zahanati ujiunge na bi Ubwa
Alivyomchamba Mauja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema kichwani amejaa mvi kama amevaa Pamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Bi Star anasema kwahiyo Mwanangu umeamua kumpa Bibi kizee kombe[emoji38]
Unazidiwa hadi na litutusa limayasa[emoji1787]
Amemkwapua mzee Milanzi,Bi Ubwa na ujanja wake wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Yaani huu mchezo mimi unanivunja mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alivyomchamba Mauja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema kichwani amejaa mvi kama amevaa Pamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Bi Star anasema kwahiyo Mwanangu umeamua kumpa Bibi kizee kombe[emoji38]
Unazidiwa hadi na litutusa limayasa[emoji1787]
Amemkwapua mzee Milanzi,Bi Ubwa na ujanja wake wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Yaani huu mchezo mimi unanivunja mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee una kitu pia kwenye uigizaji wewe😂😂
Ila bi Star nae anamtesa yule binti jamani,"eti tumia sumaku zako mwanangu,we mwanamke mwanangu" 🤣🤣🤣🤣ukipata mama kiswaswadu Kama yule kazi ipo
 
Aisee una kitu pia kwenye uigizaji wewe[emoji23][emoji23]
Ila bi Star nae anamtesa yule binti jamani,"eti tumia sumaku zako mwanangu,we mwanamke mwanangu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukipata mama kiswaswadu Kama yule kazi ipo
Anasema nyota yako naiona kabisa ipo Kwa Yule Dokta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi anasema nimeenda,ghafla akabadilika akawa kama anaishiwa nguvu.
Bi Star anacheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti Asante Nyangunguti,chezea Nyangunguti wewe
Nilijua tu[emoji38][emoji38][emoji38]
.....
Yaani mimi hoi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yule mama Fundi sana[emoji119]
Hakuna character alipewa akapwaya yule mama.

Waigizaji wengine wanakuwaga hovyo,mfano kama mchezo wa kosa Moja
Sijui hata yule main character alipewaje ile nafasi,najiuliza sipati majibu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana mtoto.


Kinachombeba kingine ni elimu.
Licha ya kipaji alichonacho,elimu pia anayo.


Yaani ukikaa ukiangalia kazi yake unaona kabisa jamaa ameipanga safi,katumia zile sijui flashback,flash-forward amezipanga vizuri mno.,,tofauti na waandaaji wengine kama akina Duma,,kazi za kuungaunga mno..msinipopoe jamani,ni maoni yangu.

Rushen basi picha yake tumuone
 
Rushen basi picha yake tumuone
Huyo ndo Abdul
IMG-20230401-WA0015.jpg
 
Leo tena kwa Tausi
Makubwa Yarabii
Mtoto una ngendebwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akija mama yako anamtaka Mbiki
Wewe ukija unamtaka Tausi
Sisi wengine tukalale majumbani kwetu?
 
Leo tena kwa Tausi
Makubwa Yarabii
Mtoto una ngendebwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Akina mama yako anamtaka Mbiki
Wewe ukija unamtaka Tausi
Sisi wengine tukalale majumbani kwetu?
Nilicheka sana
 
Ankashaa anachezewa mchezo na vaibav kapoor hakuna cha kuigiza wala nin tena anapotezewa muda Tu[emoji23][emoji23][emoji23] kaenda shule kumuona mtoto wake mtoto kamkimbia hataki kumuona [emoji23][emoji23] team manav tupo vizuri tunaimarika sasaaa
Mbele huoni Ankashaa akirudi kwa Manav?
 
Back
Top Bottom