ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mchinga Lindi ilipoigiziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Ila bi UbwaMsaada jamani
Watu hawanipendi Mimi[emoji23][emoji23][emoji23]
Nililala ndani mimi
Watu wa Mwembetogwa wabaya,nimewafanyia nini mimi jamani
Yeah kamesoma na kana enthusiasm na kitu anachofanya.[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana mtoto.
Kinachombeba kingine ni elimu.
Licha ya kipaji alichonacho,elimu pia anayo.
Yaani ukikaa ukiangalia kazi yake unaona kabisa jamaa ameipanga safi,katumia zile sijui flashback,flash-forward amezipanga vizuri mno.,,tofauti na waandaaji wengine kama akina Duma,,kazi za kuungaunga mno..msinipopoe jamani,ni maoni yangu.
Shkamoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila bi Ubwa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣We noma,kumbe unaweza kuzhika script namna hiyo khaaaaa!itabidi tukutafutie nafasi pale zahanati ujiunge na bi UbwaShkamoo
Shkamoo mwenyewe
Humo kwenye fuko umebeba Nini?
Nimebeba nguo zako[emoji1787]
Hamnipati ng'' ng''"[emoji38]
Hee mwenzetu na fuko Hilo vipi?
Vitatange nyie[emoji23]wagonjwa wamejaa nje mpo mnafakamia chai
Najua ni wivu tu mimi kutumia maji ya bure ambayo manispaa inalipa.
Duma ni opportunist,,ila kipaji na uwezo wa kuandaa hana.Target yake kubwa ni hela.Yeah kamesoma na kana enthusiasm na kitu anachofanya.
Duma bora akacheze porn itamlipa
Anapuyanga. Tatizo la watu wetu kama ilivyo sekta nyingine ni ujuaji. Ukute hapo Duma alishaelezwa mapungufu yake ila anakaza fuvu. Mtu kusoma hutaki, kuelekezwa pia hutaki, kutumia walio na elimu pia hutaki.
Duma kama mwenzake Ray. Ni wangese kabisa.
JB anajua, anajitahidi sana. Inabidi akina Seko Shamte wawape darasa, na kule Tasuba sijui hawapaoni hawa akina Duma.
Alivyomchamba Mauja [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We noma,kumbe unaweza kuzhika script namna hiyo khaaaaa!itabidi tukutafutie nafasi pale zahanati ujiunge na bi Ubwa
Aisee una kitu pia kwenye uigizaji wewe😂😂Alivyomchamba Mauja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema kichwani amejaa mvi kama amevaa Pamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bi Star anasema kwahiyo Mwanangu umeamua kumpa Bibi kizee kombe[emoji38]
Unazidiwa hadi na litutusa limayasa[emoji1787]
Amemkwapua mzee Milanzi,Bi Ubwa na ujanja wake wote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani huu mchezo mimi unanivunja mbavu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anasema nyota yako naiona kabisa ipo Kwa Yule Dokta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee una kitu pia kwenye uigizaji wewe[emoji23][emoji23]
Ila bi Star nae anamtesa yule binti jamani,"eti tumia sumaku zako mwanangu,we mwanamke mwanangu" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukipata mama kiswaswadu Kama yule kazi ipo
[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaonekana mtoto.
Kinachombeba kingine ni elimu.
Licha ya kipaji alichonacho,elimu pia anayo.
Yaani ukikaa ukiangalia kazi yake unaona kabisa jamaa ameipanga safi,katumia zile sijui flashback,flash-forward amezipanga vizuri mno.,,tofauti na waandaaji wengine kama akina Duma,,kazi za kuungaunga mno..msinipopoe jamani,ni maoni yangu.
Huyo ndo AbdulRushen basi picha yake tumuone
Nae huwa si anaigiza huyuHuyo ndo AbdulView attachment 2572790
Mmh sidhaniNae huwa si anaigiza huyu
Nilicheka sanaLeo tena kwa Tausi
Makubwa Yarabii
Mtoto una ngendebwe wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akina mama yako anamtaka Mbiki
Wewe ukija unamtaka Tausi
Sisi wengine tukalale majumbani kwetu?
Mbele huoni Ankashaa akirudi kwa Manav?Ankashaa anachezewa mchezo na vaibav kapoor hakuna cha kuigiza wala nin tena anapotezewa muda Tu[emoji23][emoji23][emoji23] kaenda shule kumuona mtoto wake mtoto kamkimbia hataki kumuona [emoji23][emoji23] team manav tupo vizuri tunaimarika sasaaa
Wakianza mambo yao ya kihind watanichoshaMbele huoni Ankashaa akirudi kwa Manav?