Tamu ya Force Account, watendaji Muheza watimuliwa kazi, TAKUKURU kufanya uchunguzi, shule haijakamilika

Tamu ya Force Account, watendaji Muheza watimuliwa kazi, TAKUKURU kufanya uchunguzi, shule haijakamilika

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594

Kwa wanasayansi, wanasema" don't re-invent the wheel".

Ndicho tunachoona kwa baadhi ya miradi ya serikali kwa sasa inayojengwa kwa FORCE ACCOUNT.

Serikali mkoani Tanga inalia na watendaji wake.

Waliagizwa huko Muheza kujenga shule ya sekondari, darasa moja kwa milioni 20, wao kwa ubishi na weledi wao kiutendaji wakaongeza (inasemekana ) 12 za kwao kwa kila darasa na darasa moja kuwa milioni 32!

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Tanga ndg Mgumba.

Kwa staili ya Force Account tunashindwa kuelewa msingi wa kila darasa kuwa milioni 20, sijui kama kuna BOQ hapo(hesabu za gharama halisi).

Na mkaguzi wa kazi, mpitisha malipo ya fundi Maiko sijui ni akina nani hapo?

Lakini watendaji wanne wameisha sajiliwa na TAKUKURU kwa uchunguzi.

Force Account inawamaliza watendaji serikalini re-inventing the wheel!
 
Kwa Tanga ambako simenti ipo chini na vifaa vingine vya ujenzi hao wamepiga pesa milioni 20~ 25 inatosha kujenga chumba kimoja cha darasa.
 
Turudi kwa contractors tu hamna namna, haya mambo ya Force account pamoja kwamba yanadhaniwa yanapunguza gharama yanahitaji mfumo mzurj WA usimamizi.
Na kama Kuna changamoto ya bei kwenda juu kuliko makisio serikali isikimbilie Takukuru iwaconsult watalaam WA hiyo fani mf quantity surveyors etc ili kupata uhalisi.
Wasiwe wepesi kuwafustrate watumishi.
Sio Kila ongezeko la gharama ni wizi tuwe makini.
 
Kwa Tanga ambako simenti ipo chini na vifaa vingine vya ujenzi hao wamepiga pesa milioni 20~ 25 inatosha kujenga chumba kimoja cha darasa.
Tupe mahesabu mkuu.
Kwa nini kila darasa lisiwe milioni tano?
 
Expansion joint zipo sanaaa, angalia usijekuwa ni chambo
 
View attachment 2395666
Kwa wanasayansi, wanasema" don't re-invent the wheel".
Ndicho tunachoona kwa baadhi ya miradi ya serikali kwa sasa inayojengwa kwa FORCE ACCOUNT.

Serikali mkoani Tanga inalia na watendaji wake.
Waliagizwa huko muheza kujenga shule ya sekondari, darasa moja kwa milioni 20, wao kwa ubishi na weledi wao kiutendaji wakaongeza (inasemekana ) 12 za kwao kwa kila darasa na darasa moja kuwa milioni 32!

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Tanga ndg Mgumba.

Kwa staili ya Force Account tunashindwa kuelewa msingi wa kila darasa kuwa milioni 20, sijui kama kuna BOQ hapo(hesabu za gharama halisi).
Na mkaguzi wa kazi, mpitisha malipo ya fundi Maiko sijui ni akina nani hapo?
Lakini watendaji wanne wameisha sajiliwa na TAKUKURU kwa uchunguzi.

Force Account inawamaliza watendaji serikalini re-inventing the wheel!
Firce Account imekuwa mwuba
 
Back
Top Bottom