Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Duh fisi alivyo mlafi hatafuni watuWatu wanaenda mwezini na kurudi, kule Singida fisi watu kibao wanawafuga,Wanyamwezi wanaofuga chatu, India Tembo wanabeba watu, na Nyati wanabeba mizigo na kulima, hapa duniani nothing is impossible....
Duh fisi alivyo mlafi hatafuni watu
Duh ya kweli hayo? Mbona naskia habari za watu kuliwa na fisi? hivi hawa hawa wa kwenye zoo ndio hawa hawa wa mbungani na wakufugwa kwa ukubwa/kimo?nenda shinyanga mkuu utashuhudia huwa haipiti muda mrefu fisi zinaonekana na mwenye nayo anajitokeza, ma fisi mengi ni maoga sana yanakutafuna kama ukikimbia tu
Ninadhani kuna elements chache za imani za kishirikina miongoni mwa hao wanaojihusisha na ufugaji wa fisi majumbani mwao...Duh ya kweli hayo? Mbona naskia habari za watu kuliwa na fisi?
Ndio hao hao mkuu sema wanakuwaga na imani fulani potofuhivi hawa hawa wa kwenye zoo ndio hawa hawa wa mbungani na wakufugwa kwa ukubwa/kimo?
Anafugwa kama mbwa?
Wasukuma watakuja kukushambulia mkuu hahahahaaaaanenda shinyanga mkuu utashuhudia huwa haipiti muda mrefu fisi zinaonekana na mwenye nayo anajitokeza, ma fisi mengi ni maoga sana yanakutafuna kama ukikimbia tu
Ushamuuliza failure Kigwangala hili swali lako?Kwanini TANAPA hawana "Mobile Zoos semi trailer trucks" kwa ajili ya kubebea wanyama pori wepesi kwa ajili ya maonesho?...
WELCOME TO MY IGNORE LIST FOR THE SECOND TIME.Ushamuuliza failure Kigwangala hili swali lako?
You're so inferior brother..WELCOME TO MY IGNORE LIST FOR THE SECOND TIME.
Kuna visa vingi sana vya baadhi ya watu kushambuliwa na mnyama fisi wanaokaa nao kwa minadi ya kufugwaDuh fisi alivyo mlafi hatafuni watu
Hahahahaaaaa...Acha ulafi mkongo petit
Ndio mkuu nimepata mwanga kwa mbaaaaaali. Asante sana.Nadhani utakua umepata mwanga kidogo.
Bado hakutoshi. Wanapaswa kuwa na "mobile zoos" pia...wanyama kuwaona Safari TV kunatosha
Niliwahi kusikia waziri wa maliasili anazungumza kuhusiana na hii issuenyama ya tembo,swala na twiga ziuzwe kwenye bucha
Mkuu, kwenda mbugani bado kutabaki kuwa na umuhimu kwa maana kule mtu anaweza kuangalia pia mazingira pori ukiachilia mbali wale wanyamaKweli aisee!,wakiweka hiyo mobile zoo,mimi.sitaenda hifadhini kutalii.
Mkuu, mbona sasa huwa tuna wachinja kisha tunapika nyama zao na tunakula kama issue ni suala la haki?...Ni jambo mbalo haliwezekani na tukirudi kwenye haki za wanyama ndio Haiwezekani kabisa
Tunachinja na kuwala lakini tunafanya kwa viumbe vilivyozeeka au dhoofu au kuumwa na wala si vyenye umri mdogo mkuu lakini tukirudi kwenye swala lako halitohitaji aina ya viumbe tunaowachinja na kuwala litahitaji wale wazima na wenye afya imara.Mkuu, mbona sasa huwa tuna wachinja kisha tunapika nyama zao na tunakula kama issue ni suala la haki?...
Sawa mkuu...Tunachinja na kuwala lakini tunafanya kwa viumbe vilivyozeeka au dhoofu au kuumwa na wala si vyenye umri mdogo mkuu
Hao hao wazima na wenye afya imara ndio ambao tunatakiwa kuwaweka katika hizo "Mobile Zoos"Tunachinja na kuwala lakini tunafanya kwa viumbe vilivyozeeka au dhoofu au kuumwa na wala si vyenye umri mdogo mkuu lakini tukirudi kwenye swala lako halitohitaji aina ya viumbe tunaowachinja na kuwala litahitaji wale wazima na wenye afya imara.