TANAPA yatangaza kifo cha Faru Rajabu (mtoto wa Faru John) katika Hifadhi ya Serengeti

Kuna muda Dunia haiko fair kabisa

Yaani ulimwengu mzima unajua faru Rajabu amekufa

Wakati siku Kuna binadamu chungu mzima wanakufa na hawajulikani

Kweli acha watu wagombane kuusaka umaarufu
 
Akaungane na John aliyekufa mwaka jana.
 
Hawa Kina John, Rajabu n.k. au kama huyu Rajabu pia ana mtoto tukiwatumia vizuri huendwa tukakuza sana utalii wa ndani...

Mfano huyu John huenda alikuwa famous kuliko hata Olduvai Gorge kwa mtanzania wa kawaida
 
Asante kwa taarifa,tutawataarifu na wengine ili nao waweze kushiriki kwa ukamilifu katika shughuli za mazishi,ikiwa ni pamoja na kutuma michango kwa kupitia namba yangu amabayo nitaitoa baadaye...
Picha ya marehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…