Mkuu, Jpm alikuwa na makosa mengi lkn msimamo wake ulisaidia mengi.Majangili yamefufuka baada ya kuondoka Chuma
Huyu Rajab yeye alibadili dini au ilikuwaje, maana baba yake John alikuwa Mkristo
Ya benk au ya simu?Tuma namba plz
Akaungane na John aliyekufa mwaka jana.Shirikia la Hifadhi la Taifa Tanzania (TANAPA) limetangaza kifo cha Faru Rajabu aliyekuwa na umri wa miaka 43, leo Jumatatu Machi 21, 2022 akiwa katika Hifadhi ya Serengeti sababu ikitajwa kuwa ni uzee.
Faru Rajabu alikuwa mtoto wa Faru John ambaye alifariki mwaka 2015 akiwa na miaka 47.
Faru Rajabu ambaye alizaliwa mwaka 1979 eneo la Ngorongoro, mwaka 1993 alihamishiwa katika Hifadhi za Taifa ya Serengeti, ameacha watoto, wajukuu na vitukuu kadhaa.
TANAPA imeeleza kuwa wastani wa maisha ya faru Weusi ambao wapo katika kundi la Wanyama walio katika hatari ya kutoweka hukadiriwa kuwa na kati ya miaka 35 hadi 40.
View attachment 2159078
Ya simu rahisiYa benk au ya simu?
Picha ya marehemu.Asante kwa taarifa,tutawataarifu na wengine ili nao waweze kushiriki kwa ukamilifu katika shughuli za mazishi,ikiwa ni pamoja na kutuma michango kwa kupitia namba yangu amabayo nitaitoa baadaye...
Ya simu makato ni mengi bora benk, au unaweka na ya kutolea?Ya simu rahisi
NdioYa simu makato ni mengi bora benk,au unaweka na ya kutolea?
Wewe unaamini lipi?Huyu si amekufa kwa uzeee ama ujangili ?