TANAPA yatangaza kifo cha Faru Rajabu (mtoto wa Faru John) katika Hifadhi ya Serengeti

Ila faru John nae alianza kugegeda mapema sana yaani akiwa na miaka kumi tu kishatia mimba ya Rajabu
 
Pesa za rambirambi afikishiwe Steve Nyerere popote alipo
 
Kwa sisi wenye mapenzi na wanyama
Tumesikitika sana

Ova
 
Huyo Faru Rajabu alisilimishwa nini? maana baba yake ambaye ni Faru John ni Mkristo.
 
Ni aina ya faru, ambao ni tofauti na faru tuloyowazoea
Na idadi yao ilikuwa chache sana duniani

Ova
 
Faru john alikua baba akiwa na miaka mitatu tu.
 
Kwa heshima azikwe na pembe zake mazishi yawe live kwenye tv
 
Haujamuelewa maana yake ni kwamba baba kapata mtoto akiwa na miaka mitatu ila kihesabu ni alikuwa na miaka minne ndio akampata huyo rajabu
Hapana , sio mitatu mkuu
2015 faru John alikufa umri ukiwa 47,
Meanwhile faru rajabu umri ukiwa 36
Kwa mwaka huo

Kama Niko sawa lakni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…