Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Huo nyimbo inamaanisha nini sjuagi eti wakacha warere😂😂😂Wareree wakacha in kenya voice.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo nyimbo inamaanisha nini sjuagi eti wakacha warere😂😂😂Wareree wakacha in kenya voice.....
Ndugu yangu nilikuwa nasikiliza tu zuchu akiimba kwenye ule wimbo wake wa zawadi hata sijui maana yake......labda tutafute taratibu tutajua icho ni kilugha cha kikuyu au kikamba au kijaluo 😅Huo nyimbo inamaanisha nini sjuagi eti wakacha warere😂😂😂
Kwa kweliNdugu yangu nilikuwa nasikiliza tu zuchu akiimba kwenye ule wimbo wake wa zawadi hata sijui maana yake......labda tutafute taratibu tutajua icho ni kilugha cha kikuyu au kikamba au kijaluo 😅
Hahaha mi sio mshekuuSawa msheku 😅
Bora arudi kama alivyokuwa sio hicho kituko alichonacho sasa.Hii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Tanasha kawa DOMO-TanashaView attachment 2974086View attachment 2974087View attachment 2974088Hello jukwaa la celebs
Siku za hivi karibuni recently...Mwanamama Socialite wa Kenya Tanasha Dona ambaye ni mwanamziki wa miondoko ya rapper, ambaye alikuwa na mahusiano na msaani maarufu nchini Diamond platnumz vile vile walibahatika kupata mtoto.......
Bi dada huyo ametrend kwenye social media za east africa akiwa katika mwonekano huu unaosemekana eti kaongeza Lips kwa kufanya surgery.
Wale visokorokwinyo eti kwani nini wanaume wanagossip piteni mbali maana kama uko hapa na wewe ni mwanaume mmbeya kama mimi.......changes are innevitable kwa hii dunia huwezi ishi kutegemea ushamba wako utakuwa kila siku.
Wewe kwa upande wako unaona kapendeza au kazingua hapa.
Anapenda matunyetunyeHii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Ahaaaa ndo maana ,sawasawaMimi mkibosho nifunze kirombo sijui kimarangu😆😆
Anajiharibu tuAnapenda matunyetunye
Amani mkuu..nmejiuliza huyu anajua neno mshekuu mbona kama nduguKumbe nimezingua 😁
Thubutuuu!! [emoji23][emoji23][emoji23]Acha mambo haya mbona mwana born town sana nina krismas nyingi sana dsm, bado kabla ya dar mkoani nimeishi miini kati [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Nshajamba, mbrrrr mbrrrr mbrrrrKidogooo ujambe ulivosema thubutuuuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]