cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
C ndiwooo!! Uongeze na cku za kupumua. [emoji23][emoji23][emoji23]Mi nachekaga tu [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
C ndiwooo!! Uongeze na cku za kupumua. [emoji23][emoji23][emoji23]Mi nachekaga tu [emoji16]
Ungekua mpare labda, wachaga enyewe siku mmekua vidampa mie nirudi upya class kujifunza, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nataka nikupumulie kiso [emoji16]
Eeeh sisi sote wa kiume, ndo maana nkakuuliza unataka tukoboaneee?Mi wa kiume aiseee wewe si wakiume pia astgfuraiiiiiii [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23] habari ndo hiyoo!!Unazingua dogo [emoji2]
mkuu habari za siku mingiHii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Njema kabisa habari yako?mkuu habari za siku mingi
Aisee 🤔Hii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
Bora arudi alivyoku maana mdomo kama kitako cha kuku..Hii ni non surgical procedure inaitwa lip fillers na sio permanent hivyo baada ya muda anatakiwa akafanye touch up ama sivyo anarudi kama alivyokuwa
🤣🤣🤣Labda uvimbe ukiisha atakaa sawaBora arudi alivyoku maana mdomo kama kitako cha kuku..
KiiiiiinnngggggAngebaki vile vile aisee ,ka zombie ila hajui.