Tanasha atua nchini, gari la Diamond lampokea

Chanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee
Diamond mjinga sana
 
Sasa kaka mbona mama peter kanizalia
 

 
Anaongea tu huyo sababu mondi hajamfata akamtongoza na kutaka amzalie.....
 
Ndobiashara hiyo.
Kama kawaida tamasha tarehe 30 sasa kila kick muhimu sana ndio wakati wake huu na bado tutaona mengi kukiwa na dalili za kupungua kuongelea ataita press sasa kuongelea ya baba yake muhimu kick mwanzo mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…