babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Mama yule mwanae punga analiwa anampigia vigelegele itakua zuchu.Analiwa tu....
huyo mama mswahili
mwanawe kugawa mbunye kwake issue ndogo
Umeona Zari alivyorecord video na kingbae tena.Yaani Hawa wanawake Ni bure kabisaHawa wanawake wanazalilika Sana kisa umaarufu na hapo wanashindana hamna ambaye atagoma kwenda. Yani wanawake wakishakuwa wake wenza akili huwatoka kabisa
Daudi Mchambuzi huyu hapa innocent dependant ndani ya jezi mpyaUmeona Zari alivyorecord video na kingbae tena.Yaani Hawa wanawake Ni bure kabisa
hahah dogo inno huwa sio mvumilivu na hii ID ataikimbia tenaMmmh zari tena!!!??? kwan haruhusiwi kuwa na mwanaume mwingine? Punguza chuki za kike inno
Daudi Mchambuzi huyu hapa innocent dependant ndani ya jezi mpya
hahah dogo inno huwa sio mvumilivu na hii ID ataikibia tena
aisee maisha ya uchawa yanamtesa sana dogo inno 🤣 🤣 🤣😂😂😂😂kabadili ID ila uchawa bado upo pale pale
Hiv huyo inno Ni Nani ?Mmmh zari tena!!!??? kwan haruhusiwi kuwa na mwanaume mwingine? Punguza chuki za kike inno
Daudi Mchambuzi huyu hapa innocent dependant ndani ya jezi mpya
Hiv huyo inno Ni Nani ?
aisee maisha ya uchawa yanamtesa sana dogo inno 🤣 🤣 🤣
Mchezo upi Sasa? Dada unijui lakini unajifanya kunijua kuliko ninavyojijua MimiWewe 😂😂😂😂😂acha michezo ya mbuni kuficha kichwa,huku kiwiliwili kinamuumbua
Ampeleke chato, sehemu pekee duniani isiyofikiwa na covid21Ampeleke Jimbo la "Tombaktu"...ooh sorry Timbuktu akatalii![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunaanza kukuhurumia wewe.Chanzo mojawapo Cha stress Kama ni mimi nakata mawasiliano kabisa, dah zari alikuja akajiona so special sasa tanasha kaja Kati ya wanawake wakuhurumiwa ni hawa waliozaa na diamond aisee
Mchezo upi Sasa? Dada unijui lakini unajifanya kunijua kuliko ninavyojijua Mimi
Hivi huwa unaona raha gani kuandika personal attack za uongo humu JF. Usipende kuzalilisha wengine Ili kutafta ur inner peace, jiheshimu tafadhaliTunaanza kukuhurumia wewe.
Domo ni Kama maji usipokunywa utayaogae, pia wenyewe sidhani ka wako kiupendo watakuwa wako kimasilahi ya umaarufuUmeona Zari alivyorecord video na kingbae tena.Yaani Hawa wanawake Ni bure kabisa
hahah umemdaka Inno ugoniLeo umepanic hahahahaaa nyooo unajikutaga mjanja. Nyuzi zako zinakuumbua inno
Show ya Diamond mjini Kahama
Show yako ya kahama was lit ile ndio definition ya msanii wa kimataifa tume enjoy mpaka watu wakataka usiondoke jukwaani ubunifu ulikuwa wa Hali ya juu, sound ilikuwa nzuri, jukwaa lilikuwa lime setiwa vizuri na pia performance yako ilikuwa babkubwa.www.jamiiforums.com
Wasafi media leo watafanya tukio kubwa
Mkurugenzi na CEO wa Wasafi media Diamond Platnumz amethibitisha leo kutakuwa na press pale Wasafi head quarter kwa kampeni inaitwa " Chuma kimeingia" .Tukio Hilo litarushwa kuanzia saa 5 Asubuhi wasafi tv, Wasafi FM na Channel yao ya YouTube Wasafi media haijulikani nikutambulisha mtangazaji...www.jamiiforums.com
Nandy amsifia Zuchu
Msanii Nandy asifia uwezo wa Zuchu kimziki "Mimi Kama mwanamziki inaweza kuwa ngumu kusifia kazi za mwenzangu lakini kwa Zuchu kiukwel anajua Sana, Cha msingi ajitahidi kufanya vizuri atafika mbali Sana maana Mimi Ni mshabiki wake pia" Ikumbukwe pia nandy na Zuchu walikuwepo wote kwa pamoja...www.jamiiforums.com
Haya bisha kama wewe sio innocent dependant. Kutwa upo kwenye matako ya zari
Hivi huwa unaona raha gani kuandika personal attack za uongo humu JF. Usipende kuzalilisha wengine Ili kutafta ur inner peace, jiheshimu tafadhali
Kukuhurumia wewe ni personal attack ?Hivi huwa unaona raha gani kuandika personal attack za uongo humu JF. Usipende kuzalilisha wengine Ili kutafta ur inner peace, jiheshimu tafadhali
Shida sio kuzaa na wanawake wengi, shida ni huyo mwanaumw akiwa worth $6 Million na nchi na ulimwengu mzima unamjua. Hapo ndipo wenzio walipokwama.
Kwa mie kajamba nani sina jina mjini wala pesa za kuzidi ni rahisi kufanya maamuzi ya kunipiga chini. Najua utabishana ila nimeamua kwenda straight to the point. Mwanamke hakuzalii kama huna kitu special kwenye jamii, either respect, money or fame!